Mke wangu kalipendea nini hili jitu?

[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106] [emoji106]
 
Ni kitendo cha kumuita na kumwambia bhana hiki na hiki ctak hayo ndo yatakua maamuz ya busara
 
Mkuu hii story kweli au?imekaa kuchekesha chekesh tu.Hilo jitu kweli balaa linajipa ukichwa wa familia kmyakmya.Liambie moja kwa moja liache ujinga utalitimua likiedelea.Ulivolielezea ni kam naliona hivi limekaa sebuleni limeshika remote.[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
anatengeneza mazingira...utani utani utakuta mkeo kashaliwa pamoja na mdogo wake.shtuka mkuu mapema usije bakia na manyoya.
 
Mkuu ukienda kucheza bonanza mwambie binamu twende wote hapa nyumbani utashinda na watoto wa kike haifai, akikaa jikoni mwambie binamu njoo sebuleni tupige stori usipende kukaa jikoni huku shemeji zako wanakaaga vibaya na wakati mwingine wanakuwa na mastori yao ya kike wewe hayakufai mtoto wa kiume. Lakini na wewe pia piga zoezi sio unalala unakuza ndambi tu kama una minyoo au mjamzito.
 
Ni bora alitoe baruti, akimwambia mkewe ndio atazidi kuharibu hata kama hakuwa amefikiria kufanya ndio atafanya kweli... Shida ya mapenzi ya kuzungukana ndani ya nyumba huwa hakuna kutongozana, ni utani utani tu mara mtu anafukunyua mzigo.
Kweli kabida mkuu.
 
Dah ilo jamaa linakukosesha vipi amani wakati hapo ni kwako?

Lichane ukweli tu,hakuna state or country without rules. Liambie sheria zako hapo home,likiweza likae likishindwa lirudi kijijini.
 

Hapo kwenye bold, red italic, Message sent and delivered. ooooh, shemeji shemeji
 
Hahah hahah duh hilo Jitu ningelitoa baru mbaya
 
alafu mazingira ya namna hiyo unaweza pata mzigo kirahisi sana,wanawake wanapenda watu wanao saidia kazi ndogo ndogo
 
Hahaaaa. Hapo mrahis kuliwa ni shemeji yako na house girl, si ajabu ameshakula au ndio maandalizi.
Wanaume tukikutana na Ke tuna mbwembwe balaaa.
Hili ni fundisho, mgeni wa kiume akija kwako unamuachaje anaangalia TV na mkeo?
 


Alikuwa anataka kumuonyesha mkeo kitu chake, mkuu mitego iko mingi sana ndani ya jamii....angalia mkeo asiteleze.
 
Hapa ni kucheka kwanza ili siku iishe vizuri,badae nikiboreka nitakuja kufurahi,,hahahaaaaa

Mijamaa mingine bana!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…