Mke wangu kalipendea nini hili jitu?

Usicheze na mijitu ya mikoani hapo ukizubaa tu na kama ulikuwa unapiga kamoja ndo basi tena.
 
Ninaamshukuru mungu kwani ni Binamu yako na sio Binamu wa mkeo.
 
kitu cha ajabu ni kwamba, unaruhusu mtu mzima aje kuishi nyumbani kwako, hilo kosa huwa silifanyi na sitakuja kulifanya, na nikilifanya huyo anayekaa kwangu lazima nimuweke chini nimpe vigezo na masharti ya kuishi pale ndani, hata kama kwa mwezi mmoja lazima atimize vigezo na masharti ili aondoke tukiwa rafiki. la sivyo, na kama ni mfanya kazi aende akapange guest ili tusivunjiane heshima. kitendo tu cha mtu mzima kuja kuishi au kufikia kwako kinaonyesha hana heshima huyo hivyo unaweza kumfukuza tu hana umuhimu huyo. binafsi kwamfano mimi nikisafiri sehemu, hata kwa dadangu tu hata awe na nyumba kubwa namna gani siwezi fikia. nitakosa uhuru halafu tunawezavunjiana heshima, kulinda heshima yangu huwa sifanyi hilo kosa, sasa yeye kama mtu mzima na hajiongezi namna hiyo ujue huyo hana umuhimu kwako na hana faida kwasababu uelewa au akili yake ndogo, fukuza tu hilo halitaelewa kama limefukuzwa halina akili. au mkanye.
 
tajiri! kuwa na amani na wageni! Huwa hawafanani! Humdhaniaye ndiye huwa siye
 
Huyu atagonga mkeo na mdogo wake mke wako watajijua wote wamegongwa na jamaa na hawatakuwa na shida wataendelea kugongwa kila mtu na muda wake..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni lijitu au binadamu punguza chuki kujaa kifuan kwanza lol
 
Yoo look very experienced miss Chagga
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].....[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119].....
 


Kwa hayo Macare kwa Mke wako huna lako.. Utakuja Kutupa Mrejesho...
 
Hivi ni Binamu kwa Upande wa Nani wa wewe au wa Mke? Kama ni Upande wa Ke, huyo ni Mume mwenza Byeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…