Mke wangu kalipendea nini hili jitu?



Nahisi huyu ni mume mwenzio, ulikuwa tu hujuwi mchezo uko vipi. Haiwezekani mwanaume na akili zake avue nguo zake abakie na chupi tu akifua nguo zake na mke wa mtu mwingine. Kama ulichelewa, huenda ulishaliwa tayari na pengine jamaa anakusanifu tu.
 
yani mgeni anavaa boxa mbele ya mkeo?pathetic


Huyo mgeni alishamla huyo Mama mwenye nyumba, sema jamaa alikuwa hajashituka tu. Mwanamme unavaa chupi kwa mke wa mwenzio, just analyze hiyo picha kwanza.
 
binamu mbona mm sikua na nia mbaya mm nilimuelewa tu mdogo wa mkeo

kama vp ngoja nimalize na wife wako ili uwe unanilaumu ki haki
 
Ndo shida ya wanaume wa dar..!! sasa wew kifua tu kimekutisha., hadi unaliacha linakutawala kiasi icho.. linakoelekea litakufukuza sasa hapo ndani na huo mkitambi wako...!!
Ni suala la muda tu mkuu
 
Nyumba ni yako alafu mgeni akupande kichwani!!! Unashindwa nini kumuita kando na kumwambia avae nguo!?
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] wanaume wengine shida
 
huu ushauri unaompa nadhani humtakii mema..yaani bro nyumba inaungua kabisa na wewe unamshauri mwenye nyumba achochee kuni?!!
 
Chezea vidume wa mikoani wanatengeneza sex body
Midume ya dar inabuluza vitambi tu nguvu za kiume zenyewe zimeuliwa na chips mayai ya kizungu na kachori
 
Kumbe yule Udakuztz Kule Instagram anatoaga story kujitagutia Followers.Story kama ilivyooo.
 
Acha misifa
 
Nilipoiona hii story Kule Insta.Udakuz tz ameidakaaj.Nilichekaaaa.Jamaa kwanza punguza hasira.Huyo Jamaa ananenepa wewe unakonda ndani ya nyumba yako mwenyewe.Ushauri.Weka Camera ya Kificho.Utapata jibu.Kuliko Kubunibuni.Utakuja gombana na ukoo Bure.Just do that.
 
Nahisi huyu ni mume mwenzio, ulikuwa tu hujuwi mchezo uko vipi. Haiwezekani mwanaume na akili zake avue nguo zake abakie na chupi tu akifua nguo zake na mke wa mtu mwingine. Kama ulichelewa, huenda ulishaliwa tayari na pengine jamaa anakusanifu tu.
Ushauri mbaya sana
.Je unataka wakauane??kuwa na Huruma.
 
[emoji3] [emoji3] [emoji3] amsha dudeeee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…