Mke wangu kalipendea nini hili jitu?

Acha kumtamani mdogo wa mke wako
Umeshaoa dada ake mdogo wake hupaswi kumuonea wivu
Jamaa akila its non of yur bisness
 
"Akili za kuambiwaaaaa, changanya na za kwako........"
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mkuu unaliogopa hilo jitu la miraba minne, lifukuze tuu kama linakukera
 
Hahaaaa. Hapo mrahis kuliwa ni shemeji yako na house girl, si ajabu ameshakula au ndio maandalizi.
Wanaume tukikutana na Ke tuna mbwembwe balaaa.
Hili ni fundisho, mgeni wa kiume akija kwako unamuachaje anaangalia TV na mkeo?
Yani nikifkiria story ya ili jitu napata hasira za kurudi tena kucomment.

Mijitu mingi ya mkoani akili zao zipo mikononi kwa ajili ya kilimo. Sasa ili jitu linaanzaje kushinda na boxer bila shati ugenini? Au ndio joto?
 
Yani kwa ufupi ilo jitu ni kulifukuza tu. Unaliita sebleni wakati ushakusanya nguo zake pamoja ili baada ya maongezi lisepe. Linaendaje beach mke wa mtu alafu mwenye mke hapewi taarifa?
 
inabidi nicheke tu ila umeandika kwa hisia sana! hilo jitu la ukweli sana linarudisha fadhila kama linafua lipo poa na mkeo ila ww uoga wako tu but be cautious ukute mkeo kadondoka tayari make a research first laasivyo kama huna uvumilivu mtimue aende zake
 
Waheshimiwa nina mgeni ambae sasa anaelekea kumaliza wiki akiwa hapa kwangu, ni binamu yangu huwa anaishi mkoani amekuja kwa shughuli zake binafsi, ataondoka atapokamilisha yaliyomleta.
Kikulacho kaka? Kikulacho, mwanaume yakishaanza machale kwenye boma lako hasa kwenye haya mambo ya mapenzi fanya hima, mwambie yeye na kifua chake na vyuma vyake aende au arudi alikotoka afanye hayo anayoyadandia hapo, wanaume tuko hivyo, hasa wale wasio na wake na makazi, tuko kama wanyama, usishangae jamaa ataanza kusikilizwa kuliko wewe, ghafla mambo yote unayofanyiwa wewe ataanza kufanyiwa yeye, wewe subiri tu, punde utasikia limebadilisha mawazo linaendelea kukaa likikupa sababu tele, tupa kule mkuu, those are red lights flashing in front of your eyes..usidharau hisia zako kabisa..heri awe adui kuliko kuleta tafrani hapo..
 
Huyu jamaa hajiamini tu ,kama mkewe ana mpango wa kumsaliti hata jamaa akiondoka wata-do tu
Yawezekana maana mkewe alikuwa akimwambia na wewe fanya mazoezi utoke kifua kama binamu yko ni hii ushaidi tosha kwamba mkewe anamkubali binamu kiaina alafu jamaa mtoa Uzi kasema yeye anakitambi kikubwa hahaha!!!! bado tu anang'ang'a macho!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…