Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunapenda tatizo uwezo dear uwezo. Yeye anajua kaolewa na mwanaume fukara asitake mambo makubwa ataishia sononeka tuuHapana, ukishakuwa na familia lazima uwe na Usafiri utakaobeba watu wengi kwa wakati mmoja.
Unatakiwa kujitahidi kwa njia yoyote ile ufanikishe.Tunapenda tatizo uwezo dear uwezo. Yeye anajua kaolewa na mwanaume fukara asitake mambo makubwa ataishia sononeka tuu
Mnataka waune zenu tuanze kuuza mikunduz sasa🤣🤣🤣🤣.Unatakiwa kujitahidi kwa njia yoyote ile ufanikishe.
Huwezi kukosa sababu, ila usisahau neno HOBI, mwambie una HOBI na ndege au meli, sio magari, kwahiyo unasubiri kibaba kijae ununue chopa au boti kama ya Barlesa.Nipe pointi bhana!
Nipo KURASA ya Kwanza hapa
Twende Iran kwa Ayatolah...🤣🤣🤣 aisee wanaume wa tz inabidi tupelekwe afghanistan tukajifunze kwa talibans jinsi ya kuhandle mwanamke.
Kwahiyo pesa ni exchange ya kuhudumiwa na mkeo? What if ukifulia ukashindwa kutoa pesa, na huduma zinatakiwa zikome?Pesa anatoa nani?? Yan pesa nitoe na kupika nikupikie ety kisa unanipa kibumbu how come??
Kule naona wanawake wao wameanza ubabeTwende Iran kwa Ayatolah...
Kwani huna mchepuko iwe sababu ya kwanza?Haki vile.
Sasa hiyo miaka tisa tuliyoishi naye yeye hajaziona sababu za Mimi kutokuwa na gari?
Uzuri upi unamaanisha tena?Mnataka waune zenu tuanze kuuza mikunduz sasa🤣🤣🤣🤣.
Wewe kama unataka magarinolewa na wanaune wenye huo uwezo pia hakimisha nawe mzuri kweli maana wenye hela wanaoa wanawake wazuri wazuri.
Mie mzabzab uwezo wangu pikipiki aridhike na hilo asilete tamaa za kingese. Dont ask blood from stone
Kwani huna mchepuko iwe sababu ya kwanza?
Mwambie aende kwao kwa muda,ukinunua gari utamtaarifu arudi maana yeye kwake gari ni moja wapo ya msingi wa ndoa.
Ahahaha...😂😂😂...
Lakini kumbuka ulisema mwanaume asiye na uwezo wa kuingiza milion 2 Kwa mwezi haruhusiwi kuoa
Simple tu kila kurasa andika jina la gari moja na bei yake ( hakikisha unaweza Yale magari ya bei kubwa Sana) halafu mwambie achague kati ya hizo uone reaction yake. msisitize hayo ndo magari unayataka