Mke wangu kanifanya nianze kupiga punyeto na sasa siwezi tena kuacha

1. Jua mahusiano ni mtaa wa njia mbili, mkeo ana njia yake na wewe una njia yako , ni kweli njia yako kwasasa imeziba inakubidi itafute njia mbadala usonge mbele kwenye shida zako za kingono umeshapata njia mbadala na unasonga mbele.

2. Kazi ya mume ni kutoa huduma za msingi kwa familia yake chakula, malazi na makazi na kwasasa hali yako ya ki hali na mali haikovizuli tafuta shughuli yakufanya hatakama haina hadhi kubwa jikaze uanze kuingiza kipato.

3. Kamwe usishinde nyumbani wala vijiwe vya kalibu na nyumbani mara kwa mara na hakikisha unakuwa nadhifu fua nguo zako zinyooshe , nyoosha roho yako usimwekee kinyongo.

4. Acha kuomba unyumba maana ni haki yako na hakikisha ukilala nae usimsumbue kwa lolote kwa maana amelaaniwa yeye amtegemeae mwanadamu usimtegemee kukupa furaha , furaha jipe mwenyewe.

5. " Asie fanya kazi na asile " mume kukaa kwenye nyumba usiyo iudumia ni sawa na kuwaibia wanafamilia yani unamwibia mke wako na watoto sasa mke atakupaje unyumba mwizi 🤣🤣🤣.

6. Nikweli ndugu unapitia kwenye kipimo chako cha kwenda kufanikiwa kaa chini usiwaze ya nyuma kabisa wala usimwangalie anaekwambia umekwama unaweza unaweza unaweza na na amini utavuka ila anza na chochote mkononi maana tofauli juu ya tofali baada ya tofali ni nyumba
 
Kuna madhara yake
( 1 ) Kuwa shoga
( 2 ) Kuwa na stress
( 3 ) Kuwa na mawazo Hasi
( 4 ) Sauti ya ndani inaonangezeka na inakuwa ipo ktk uhasi
 
Nakushauri ununue vaseline kubwa kama hii yangu.... itakupunguzia matumizi mkuu.
Hongera pia na nakutakia mechi njema...ata kama zako ni own goals.
 

Attachments

  • 16599438519743362414354428576569.jpg
    520.8 KB · Views: 10
Ok.pole kwa maisha magumu Sasa unahitaji tukusaidie Nini mkuu mafuta ya vaseline katoni,au ya Nazi lita mbili au unataka site za porno tukupe ili uendeleze gurudumu la maendeleo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Aisee [emoji22][emoji22]

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Nyumba zinamambo huyo sista Ako si arudi kwao Tu Dah
 
Yaan acha tu, haya maisha unajikuta upo chumbani kwa ex wako mliyeachana miaka 10 iliyopita,kwasababu ya haya mateso ya ndoani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Katika maisha nimejifunza jambo moja, usiwe na kitu kimoja tu,
Kuwa na wanawake wawili, nyumba mbili, gari mbili na kila unachofanya hakikisha kinafanyika mara mbili hutojuta.
Ukiwa na nyumba mbili mwanamke akikuudhi na mkashindwa kuelewana unahamia nyumba nyingine umamuacha hapo, Ukiwa na wanawake wawili mmoja anapokusumbua mwingine anakupa faraja, Ukiwa na magari mawili moja likisumbua unachukua jingine.
 
Badae unakuwa shoga. Hapo ni kwamba nguvu zinaisha zote misuri inapasuka na mapepo yanachukua nguvu maana si unavuta hisia, means unazama rohoni ni dhambi kubwa unafanya.

Kama unanyimwa unyumba ni hamna ndoa tena hapo talaka
Umeshakula au njaa bado inakutafuna
 
Dah ehee Mola wangu mpendwa naomba nijalie afya njema na akili ya kufanya maamuzi magumu ata kama sitakuwa na Mia mbili ya Kula ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…