Mke wangu kanifanya nianze kupiga punyeto na sasa siwezi tena kuacha

Mke wangu kanifanya nianze kupiga punyeto na sasa siwezi tena kuacha

1. Jua mahusiano ni mtaa wa njia mbili, mkeo ana njia yake na wewe una njia yako , ni kweli njia yako kwasasa imeziba inakubidi itafute njia mbadala usonge mbele kwenye shida zako za kingono umeshapata njia mbadala na unasonga mbele.

2. Kazi ya mume ni kutoa huduma za msingi kwa familia yake chakula, malazi na makazi na kwasasa hali yako ya ki hali na mali haikovizuli tafuta shughuli yakufanya hatakama haina hadhi kubwa jikaze uanze kuingiza kipato.

3. Kamwe usishinde nyumbani wala vijiwe vya kalibu na nyumbani mara kwa mara na hakikisha unakuwa nadhifu fua nguo zako zinyooshe , nyoosha roho yako usimwekee kinyongo.

4. Acha kuomba unyumba maana ni haki yako na hakikisha ukilala nae usimsumbue kwa lolote kwa maana amelaaniwa yeye amtegemeae mwanadamu usimtegemee kukupa furaha , furaha jipe mwenyewe.

5. " Asie fanya kazi na asile " mume kukaa kwenye nyumba usiyo iudumia ni sawa na kuwaibia wanafamilia yani unamwibia mke wako na watoto sasa mke atakupaje unyumba mwizi 🤣🤣🤣.

6. Nikweli ndugu unapitia kwenye kipimo chako cha kwenda kufanikiwa kaa chini usiwaze ya nyuma kabisa wala usimwangalie anaekwambia umekwama unaweza unaweza unaweza na na amini utavuka ila anza na chochote mkononi maana tofauli juu ya tofali baada ya tofali ni nyumba
 
Kuna madhara yake
( 1 ) Kuwa shoga
( 2 ) Kuwa na stress
( 3 ) Kuwa na mawazo Hasi
( 4 ) Sauti ya ndani inaonangezeka na inakuwa ipo ktk uhasi
 
Nilipatwa na mkasa wankuondolewa kazini kwa vyeti feki, uzuri nilikuwa na kijiakiba change, nikaingia kwenye sekta ya ajira isiyo rasmi. Nikanunua kirikuu na nikawa nalaza hadi elfu themanini kwa siku.

Mwezi uliopita gari imepata ajali, nahangaika kuirudisha rodi, ila mke wangu kawa mkali, hamna unyumba, hamna Amani.

Nikaanza kujipururua mbele yake, akasema niendelee tu, maana hana hamu Tena na Mimi na Wala Hani feel Tena.

Basi Kila siku usiku najitwanga kamoja Kisha nalala. Nikishtuka usiku wa manane Nina kengine na alfajiri najipendelea pia.

Kwa kweli simsumbui na ninaona raha sana.

Hii kitu ni tamu sana na imenisahaulisha kabisa ladha ya papuchi ambavyo nilikuwa naipata kwa manyanyaso.

Hela Sina, nitafute mchepuko wa Nini?
Nakushauri ununue vaseline kubwa kama hii yangu.... itakupunguzia matumizi mkuu.
Hongera pia na nakutakia mechi njema...ata kama zako ni own goals.
 

Attachments

  • 16599438519743362414354428576569.jpg
    16599438519743362414354428576569.jpg
    520.8 KB · Views: 10
Ok.pole kwa maisha magumu Sasa unahitaji tukusaidie Nini mkuu mafuta ya vaseline katoni,au ya Nazi lita mbili au unataka site za porno tukupe ili uendeleze gurudumu la maendeleo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hizi nyumba zina mambo mazito sana huwa yanaendelea huko ndan. Hata mm kwangu hakuna tofauti sana na kwa mtoa mada yaani naweza nikapewa mara moja kwa week mbili, sometimes hata mwezi unaweza katika hana kitu umepata.

Sema mm nimejitafutia ka mchepuko kangu ka kupunguzia nyege, nikiona tu zimejaa naenda kuzimwaga huko narudi naendelea na kazi. Maana nilishambembeleza huyu mtu hadi nikanyoosha mikono, tumebaki tunalea watoto tu akinipa poa asiponipa po vile vile.
Aisee [emoji22][emoji22]

[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Nyumba zinamambo huyo sista Ako si arudi kwao Tu Dah
 
Yaan acha tu, haya maisha unajikuta upo chumbani kwa ex wako mliyeachana miaka 10 iliyopita,kwasababu ya haya mateso ya ndoani.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Katika maisha nimejifunza jambo moja, usiwe na kitu kimoja tu,
Kuwa na wanawake wawili, nyumba mbili, gari mbili na kila unachofanya hakikisha kinafanyika mara mbili hutojuta.
Ukiwa na nyumba mbili mwanamke akikuudhi na mkashindwa kuelewana unahamia nyumba nyingine umamuacha hapo, Ukiwa na wanawake wawili mmoja anapokusumbua mwingine anakupa faraja, Ukiwa na magari mawili moja likisumbua unachukua jingine.
 
Badae unakuwa shoga. Hapo ni kwamba nguvu zinaisha zote misuri inapasuka na mapepo yanachukua nguvu maana si unavuta hisia, means unazama rohoni ni dhambi kubwa unafanya.

Kama unanyimwa unyumba ni hamna ndoa tena hapo talaka
Umeshakula au njaa bado inakutafuna
 
Ndoa hizi Kuna mkaka rafiki yangu nae Ana niambia mkewe hampi tendo kwa muda Sasa kwa kuwa jamaa ana pitia changamoto kazini yupo tuu home! Wife Sasa ndiye Ana toa pesa ya kula anasema Ana simangwa! Na Hilo duka analo tambia mtaji kapewa na mume we doh
Dah ehee Mola wangu mpendwa naomba nijalie afya njema na akili ya kufanya maamuzi magumu ata kama sitakuwa na Mia mbili ya Kula ndani
 
Back
Top Bottom