Mke wangu kaninasa kibao, nifanyeje?

[emoji3][emoji3]
 
We kenge sa ujinga wanan boya wew
Et tunaitanaga wife na husband
Tena akuongeze lingne kimav wewe
 
Harafu mnasema wanawake wanachepuka sana mnashindwa kuanglia na waowaji walivo
 
Wanawake mko na huruma sana. Mngekua serious, watu aina ya mleta mada wangekufa bila kujua papuchi inafanana vipi. Ni vile tu mko na huruma kupitiliza!
 
Mapigo yote haya kama fumanizi vile daaah
 
Wanawake wenzio wamekushaurije kwani!!?๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š
 
utoto
UMEOA kweli wewe KENZY, je ungekuta sms ya dume linamsifia kwa mchezo wa jana si ndio ungepasua jeneza lake ili tu umuue vizuri
 
Aisee unastahili kabisa, iv wewe unajua kabisa Kuna mtu mnataniana anakuitwla kabisa husband na mke wako hajui , afuu kirahis tu unamwachia simu nanhapo alikuonea huruma angechukua tu mchi akutwange
Isitoshe umevunja sheria ya mabaharia ile ya nane kifungu kidogo cha tatu kwamba "usimuruhusu mkeo ashike simu yako iwe unachepuka au laaa"
Umetuangusha aisee
 
Umemzingua kakuzingua๐Ÿ˜€
 
Vua nguo Lala uchi.
Ukifanya hvyo kwa muda wa siku 3 atakusamehe.

Usisahau kuleta mrejesho
 
Angekubomoa na hayo meno,mbuzi wewe

Subiri na yeye akatafute mtu wa kumtania kumuita "my beautiful wife"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ