Alitakiwa akuvunje taya kabisa umezingua na hamna namna ya kujitetea unamkula huyo aliekutumia message na kama hujamla ulikuwa kwenye process za kumla,ninavyojua hakuna utani wa namna hiyo kati ya mwanaume na mwanamke halafu mtu asiliwe labda kama una vi-element vya ulaini flan hivi ndio mtakuwa marafiki.unatakiwa upigwe tena ili kesho ukae chini ufikirie vizur uwe na mbinu za kibaharia za kuweza kuongoza kundi la wanawake unaowagegeda.