Mke wangu kaninasa kibao, nifanyeje?

Ndiyo maana ndoa za vijana siku hizi hazidumu. Yaani hamjui wapi muyapeleke matatizo yenu.

Kama uko home mwambie akupige kingine,au ukirudi mwambie akupige kingine.
 
Kanye chooni
 
Huwa nawaambia sittng room n kwa ajili ya wagen, mke na watoto tu,ss ww unakaa na mke wako mnawatch wkt unajua we n wa wanawake wengi,hapo amekukumbusha tu kuwa next tme inatakiwa ukakae kijiaeni na wanaume wenzako
 

Asa ushasema kaingia chumbani mwenyew bado Huelew ufanyaje axa umeoaa ili iwejee......
 
Ndio yule uliyemkuta chumbani akicheza muziki uchi?😂😂😂😂Na utaendelea kupigwa tu...
 
Alitakiwa kuvunja na hiyo simu halafu akuongeze na kofi la pili.... Maana hauna akili.....
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huu u- 'senior member' JF unapatikanaje?..tunashushiana heshima bana
 
Yuko sawa na hutakiwi kukijibu hicho kibao. Mlaumu huyo mtani wako au hawara yako.

Odhis *
 
Wewe ungekuta msg kwenye simu yake ya kijana waliozoea kutaniana anamwita wife, ungemuuliza akakueleza hivyo ungeelewa? Kwanini unataka akuelewe kwa jambo ambalo wewe huwezi kulielewa.
 
Mfate huko chumbani alafu chukua sheria kiunoni usichukue sheria mkononi.
 
Ujinga kabisa

Utan wakuitana Husb na Wife..na unajua Unamke???


Ngoja tuendelee Kuwatombea wake zenu
 
Acha ujinga na wewe... Uitwe husband alafu useme ni utani aisee!!!! Unastaili kibao kingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…