Mke wangu kanipa wakati mgumu

Da , kuwaita wazee wenzangu tena,?

Sasa hapo si ndio nimetangaza mtaa mzima, bora hapa
 
Wiseman
 
Mimi mkiachana au kuuwana inanisaidia nini?? Hakuna nakupa ushauri kwani unanilipa unajua siku hizi anzeni naombeni ushauri sio mke wangu ananipa wakati mgumu wakati mnakenyuliana meno ulikuja kupost mke wangu ananikenyulia meno wacha hizo tabia kaa na shida zako au shirikisha shida zenu namliokula pilau nakeki
 
Achana na simu za wanawake halafu unaweza Kuta hiyo number unayo kwenye simu yako mbona hwajaongela kuhusu duduling
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…