Mke wangu kanisave "Mbwa" kwenye simu yake

Kwa hiyo imekuuma mimi kuwa account NETFLIX nimevitaja hivyo kwa sababu nimemuwekea mtoto wangu mazingira ya kile anachopenda TO BE AN ACTOR
 
Sante, niliandikishwa fulani mpumbavu huku sijui, kajisahau katuma screenshot mwenyewe akinitumia picha.
kucheck sender ni yeye.
Kumuuliza karuka futi 5000.
Ntampiga tukio hatasahau milele.
Nipe maujuzi sasa
 
Bila shaka unapenda dog style, kwa nini asikuite mbwa [emoji23][emoji23]
Ndo maana sitaki kumuuliza haraka haraka nataka ning’amue nini sababu mwenyewe anaweza niruka nikajiona mjinga
 
Wewe usilalamike sana, dawa yake na wewe msevu namba yake kwenye simu yako kwa jina la Mbwa jike. Tena hakikisha yeye anajua hilo. Dawa ya moto ni kuuzima tu kwa maji.
Nachukua hii
 
Kama hilo jina mbwa limetokea kwenye simu yako inamaana wewe ndio umemsevu mkeo mbwa. Vinginevo ungesema uliona kwenye simu yake wakati unaibip simu yako.
 
Soma vizuri tuliitafuta chumbani kwetu ndipo uamuzi wa kuibeep ukaja ikaita kwa dogo TATIZO LIPO WAPI HAPO
 
Poa mbwa😂😂😂
 
Badala uliamshe apo nyumbani unaweka mkia matakoni alafu
Unakuja kubweka umu JF
Kwa hiyo mi MBWA sio naona unakomelea msumari kwenye kidonda changu
 
Kama hilo jina mbwa limetokeakwenye simu yako inamaana wewe ndio umemsevumkro mbwa. Vinginevo ungesema uliona kwenye simu yaje wajati unaibip simu yako.
Rudi shule
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanaume mnatabia za kimbwa mbwa aisee ndio maana kakusave hivo Kuna kitu ulimfanyia si bure[emoji23][emoji23] ila Leo nimecheka bila kutarajia
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…