Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Yah piga chini tu huyo anamatatizo ya problem ndio maana alizalishwa akaachwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnasema tu sababu hayajawakuta,hivi unawezaje kuishi na mtoto ambaye unatumia jina la mwingine huku wewe ukimuhudumia kila kitu??kati ya vitu nawaombea watoto wangu ni kutokuzaa kabla ya kuolewa. huyo dada yupo sahihi, huwezi kuchukua nafasi ya baba halisi, zaa wa kwako mzee.
Acha Kutuuliza Maswali Ya ajabu ajabu......aliyekwambia Uvamie Kiwanja Chenye Migogoro ni Nani?Mnasema tu sababu hayajawakuta,hivi unawezaje kuishi na mtoto ambaye unatumia jina la mwingine huku wewe ukimuhudumia kila kitu??
Umeandika kila nilichokuwa nafikiria mkuu...barikiwaWewe na singo maza wako wote mmekosea.
Tukianza na wewe ni kweli unahudumia mtoto, ila hukupaswa kubadilisha ubini bila kukaa na mwenzio mkakubaliana. ULIKOSEA KUFANYA MAAMUZI PEKE YAKO.
Tuje kwa singo maza wako, HAJIHESHIMU NA HAKUHESHIMU, ni kweli ulimkwaza na kumkosea ila ilitakiwa akwambie bila kutumia maneno makali kama "zaa wa kwako"
Kumuacha inawezekana ni sahihi au sio sahihi, hayo majibu yake yanatia mashaka.
Kusomesha mtoto na kufanya kila kitu, FANYA KAMA UNAMLEA YATIMA NA USITARAJIE LOLOTE, UKISHINDWA KUFANYA HIVYO NI BORA UACHE KABISA MAANA UTAUMIA ZAIDI YA HAPO.
Ni mimi singo maza mstaafu.
Toa mbegu upate mtoto wa ubini wako. Hilo ndio Jambo la msingi. Huyo mtoto wa kibaka yupo na muache.... Hakuhusu kiasi cha kumbadilisha jina lake la ukoo.Kama angekuwa anajielewa angetulia asingezaa na vibaka wanaoshindwa kuhudumia watoto,