Mke wangu mtarajiwa hataki mtoto wake aliyempata kabla hatujakutana atumie ubini wangu

Mke wangu mtarajiwa hataki mtoto wake aliyempata kabla hatujakutana atumie ubini wangu

Acha niendelee na mambo yangu ya kitoto,ada ya shule na vitu vyote vya msingi alipie baba yake mzazi
Ndio. Baba mzazi atalipa ada. Nani alikwambia ujipendekeze kulipa na kununua madaftari kwa gia ya kubadilisha ubini wa mtoto.

Endelea na ratiba zako huku ukineemesha mbegu za uzazi upate mtoto wa kumwita ubini wako huko mbele ya safari.
 
Kama angekuwa anajielewa angetulia asingezaa na vibaka wanaoshindwa kuhudumia watoto,tunawasitiri tu nyie single mother

Ingekua tupo kijiweni unatupa hii stori ningekulamba vibao vya kutosha asee una bahati sana

Kuishi na singo mama ni laana labda awe amefiwa mume wake ila huyo ambae bwanaake yupo we unaishi nae wa nn sasa? Yan kamshinda mwanaume mwenzako tena alianza nae akiwa hana mtoto we unaenda kujibebesha limwanamke shindikanaa likiwa na mtoto kabisa?$
Atakuja kijiweni kesho nitakuonyesha ana kichwa fulani hivi kama Mzinga wa nyuki
 
Huna mbegu za kumzalisha mtoto wa kumwita ubini wako? Acha ubinafsi uliopindukia.

Piga chini ndio. Mwanamke amefanya maamuzi sahihi kabisa. Wanaume wapo tuu.... Tena wa kutosha kwa wanawake wanaojielewa.
Hivi single maza huwa anajielewa?
Maana mi mpaka leo nimedate nao wa 5 sikuona "Kujielewa?"

Huyo ajaachana na baby daddy wake ndio maana.

Mi Kuna mmoja kila siku "Nakupenda" ila asichojua ni kwamba najua "anaendelea kuchat na ukaribu na baby daddy wake"

#YNWA
 
Huna mbegu za kumzalisha mtoto wa kumwita ubini wako? Acha ubinafsi uliopindukia.

Piga chini ndio. Mwanamke amefanya maamuzi sahihi kabisa. Wanaume wapo tuu.... Tena wa kutosha kwa wanawake wanaojielewa.
Wewe Uko kundi gani?
 
Toa mbegu upate mtoto wa ubini wako. Hilo ndio Jambo la msingi. Huyo mtoto wa kibaka yupo na muache.... Hakuhusu kiasi cha kumbadilisha jina lake la ukoo.
Naona huna tofauti na demu wa mleta uzi.
Naona wengi mnamrushia jamaa lawama lakini mnasahau kuwa kuna jamii zingine ambazo zina desturi hiyo; kwamba ukioa singo maza automatically wale watoto wanakuwa wako.
 
Natarajia kuoa hivi karibuni na mke mtarajiwa ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto namhudumia kwa kila kitu na namuonesha upendo wote kama baba yake mzazi.

Kuna shida imejitokeza baada ya kumpeleka mtoto aanze shule (nursery school ). Katika kujiandikisha nikampa jina langu la ukoo (Eg. Ngwengwe) madaftari full mkoba jina nimeandika Kelvin Ngwengwe.

Bhana eeh, mama yake alivyoona madaftari amechana chana, kumuuliza kisa nini mbona umechana madaftari ya mtoto?? Jibu alilonipa limeniacha hoi.

Namnukuu "Huyu mtoto baba yake yupo hai kwanini usitumie jina la ubini wa baba yake mzazi badala yake umetumia jina la ubini wa kwenu! Zaa mtoto wako umuite jina la kwenu"

Maamuzi niliyochukua ni kumpiga chini tu

Hakuna kitu kinakera kama unajipinda na hali hii ilivyo ngumu kumlipia school fees na matunzo mengine mtoto wa single mother kwa sababu uko na mama yake kwenye mahusiano then midaftari yote imeandikwa majina ya mwanaume mwingine ambaye yuko bussy na mambo yake uko. Then mbaya zaidi mtoto awe anamfanana baba yake [emoji817] ndo inakera zaidi. Yaani ukimuona mtoto unamuona mme mwenzako in full effect [emoji4][emoji4]
 
Natarajia kuoa hivi karibuni na mke mtarajiwa ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto namhudumia kwa kila kitu na namuonesha upendo wote kama baba yake mzazi.

Kuna shida imejitokeza baada ya kumpeleka mtoto aanze shule (nursery school ). Katika kujiandikisha nikampa jina langu la ukoo (Eg. Ngwengwe) madaftari full mkoba jina nimeandika Kelvin Ngwengwe.

Bhana eeh, mama yake alivyoona madaftari amechana chana, kumuuliza kisa nini mbona umechana madaftari ya mtoto?? Jibu alilonipa limeniacha hoi.

Namnukuu "Huyu mtoto baba yake yupo hai kwanini usitumie jina la ubini wa baba yake mzazi badala yake umetumia jina la ubini wa kwenu! Zaa mtoto wako umuite jina la kwenu"

Maamuzi niliyochukua ni kumpiga chini tu
Mkuu,unaonaje ukamuasili ,awe wako kisheria..?..
Hapo mama mtu akikataa ana lake jambo..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Natarajia kuoa hivi karibuni na mke mtarajiwa ana mtoto wa miaka 5. Huyu mtoto namhudumia kwa kila kitu na namuonesha upendo wote kama baba yake mzazi.

Kuna shida imejitokeza baada ya kumpeleka mtoto aanze shule (nursery school ). Katika kujiandikisha nikampa jina langu la ukoo (Eg. Ngwengwe) madaftari full mkoba jina nimeandika Kelvin Ngwengwe.

Bhana eeh, mama yake alivyoona madaftari amechana chana, kumuuliza kisa nini mbona umechana madaftari ya mtoto?? Jibu alilonipa limeniacha hoi.

Namnukuu "Huyu mtoto baba yake yupo hai kwanini usitumie jina la ubini wa baba yake mzazi badala yake umetumia jina la ubini wa kwenu! Zaa mtoto wako umuite jina la kwenu"

Maamuzi niliyochukua ni kumpiga chini tu
Itoshe kusema usimuonee huruma mwanamke
 
Ukweli mchungu ila ni hivi

Hakuna mechi inayoanza timu pinzani ikiwa inaongoza goli 1-0

*But kwa situation hii yako solution yake n ndogo sana, kama wewe ndio unaelipa ada basi inatakiwa mke wako akuheshimu na utumie jina lako as mtoto anavyo spend ada yako, kama hataki baba mtoto aanze kutoa ada

Note: Don't treat a woman like a celebrity because she will treat you like her fan

JamiiForums mobile app
 
Mmmh!!! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ila mwamba ulikua kasi mno, hilo jambo ilitakiwa ushauriane nae kwanza akubali kubadili ukoo wa mtoto kwa maslahi mapana mfano ungemwambia ili uweze kumwandalia bima ya afya, anufaike na urithi pia akue akijisikia ni ndugu na wazaliwa wa hapo kwako kwakua wote watatumia jina moja.
 
Back
Top Bottom