Mke wangu mtarajiwa hataki mtoto wake aliyempata kabla hatujakutana atumie ubini wangu

We m- sverge ikke godt for I gor
Hyo ni dhambi hata kama baba amemtelekeza. Ulipaswa ujadili nae kabla
 
Toa mbegu upate mtoto wa ubini wako. Hilo ndio Jambo la msingi. Huyo mtoto wa kibaka yupo na muache.... Hakuhusu kiasi cha kumbadilisha jina lake la ukoo.
Amefanya la maana kumpiga chini mapemaaa ili arudi huko kwa aliyemzalisha, namshauri asiguse tena single mothers ni pasua kichwa.
 
We m- sverge ikke godt for I gor
Hyo ni dhambi hata kama baba amemtelekeza. Ulipaswa ujadili nae kabla
Hon är dumhet jag gör vad som helst för henne och hennes barn,hon är hjär tlös
 
Huna mbegu za kumzalisha mtoto wa kumwita ubini wako? Acha ubinafsi uliopindukia.

Piga chini ndio. Mwanamke amefanya maamuzi sahihi kabisa. Wanaume wapo tuu.... Tena wa kutosha kwa wanawake wanaojielewa.
Umejibu kirahisi Sana. Sasa kama baba yake yupo kwa Nini analipiwa ada, nguo, madaftari, malazi, matibabu n.k na baba wa kambo?
Na pia kila mtu hukosea Ila majibu ndiyo yanaonesha mtu huyu anafaa au hafai.
 
Huu ni ushauri mbovu kabisa ...
Ukiendeshwa na hisia za mapenzi badala ya kutumia akili kinachofuata nimaumivu tu !
 
"Kachana madaftrai yote kwa hasira", "zaa wa kwako"
mkuu mtu 7nayedeal nae hapa no hatari kwa maisha yako ya mahusiano na ndoa..

Watu wamepoteza maisha au kuharibikiwa kwakujihusihsa na mahusiaono mabaya..

Umefanya jambo la msingi kuachana nae ..

Now inabidi upate binti mdogo aliyetulia ambaye hajadanga sana na kukubuhu!
 
Nazidi kukazi Kama anataka mtoto wa kumpa ubini wake , akazane kupiga mashine,kubadili ubini wa mtoto asiye damu yako kwa kigezo Cha kumlipia vijisenti vya Ada Ni upumbavu wa kiwango Cha lami,nampongeza mwanamke kwa kuwa mwelevu.

Mimi hapa Hadi napata kazi nimesomeshwa na wasamalia wema kwa asilimia 98 lakini hakuna hata mmoja aliyetaka nibadili ubini wangu eti kisa ananilipia gharama za masomo.
 
Takataka huyo mwanamke hana shukrani! Mkuu nimeona hekima yako ya dhati, Hutakiwi kupepesa macho mpige chini aende kwa huko baba wa mtoto alie hai...
 
Vijisenti vya ada? Mbona baba mzazi wa mtoto kashindwa kuvilipia?
Kalelewa mtoto wake toka ana mwaka 1 mpaka sasa hivi anayo 5

Halafu bado mnasema vijisenti
 
Vijisenti vya ada? Mbona baba mzazi wa mtoto kashindwa kuvilipia?
Kalelewa mtoto wake toka ana mwaka 1 mpaka sasa hivi anayo 5

Halafu bado mnasema vijisenti
Amwache hivyo hivyo wapo wenye Nia ya kusaidia watu bila mashariti ya ajabu ajabu,nyie ndo huwa mnasaidiwa watu wa jinsia ya kike baadae mnawataka huduma ya ngono!!!
 
Ukiangalia kwa jicho la 3

Mama mtu uwezo wa kukataa kumpa ubini wako mtoto wake hana, hata kama anao ila wema uliomtendea wa kumlea mtoto toka ana mwaka 1 kwa moyo wa mwanamke lazima asingegoma

Why anagoma?

Lazima bado anawasiliana na baba mtoto wake, na huyo baba mtoto wake kamwambia chonde chonde mtoto wangu asibadilishwe jina (wakati huo hajui hata kula ya mtoto, matibabu, wala kuishi ya mtoto wake), ajabu huyo mwanamke ana m protect

Why ana m protect

Bado ana m protect kwa sababu bado huenda anampenda au ana hisia nae, na kitendo cha ku m protect ni indicator moja wapo kua huenda jamaa bado hua anakula mali yako.

Lazima ujifunze ku reason vitu, haiwezekani from no where tu mwanamke akakukatalia tena kwa reaction kubwa hivyo ya kuchana hadi daftari.

Huenda picha ipo hivi unless labda mtoa uzi useme kama baba mtoto yupo hai, au amefariki au ana changamoto yoyote
 
Amwache hivyo hivyo wapo wenye Nia ya kusaidia watu bila mashariti ya ajabu ajabu,nyie ndo huwa mnasaidiwa watu wa jinsia ya kike baadae mnawataka huduma ya ngono!!!
nyie ndo huwa mnasaidiwa watu wa jinsia ya kike baadae mnawataka huduma ya ngono!!!

[emoji115] >> [emoji3][emoji3][emoji3]

Sina neno cause I know who I am, ila kama umeandika kwa kuamini, basi nikujulishe kua sipo hivyo kabisa.

Sema tumefofautiana tu mtizamo na mawazo na kitu ambacho sio dhambi
 
dah pole sana. Baba ake yupo na huduma anatoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…