Usimwongopee. Hana haki ya kumwita ubin wa kwao. Pia hawezi kulazimisha mtoto aitwe ubin wa kwake. Mtoto ana baba yake regardless haishi na mama wa mtoto. Hata kama hamhudumii.Hamna ndoa hapo!! Bado anampenda baba mtoto kuliko wewe, na hiyo ni dalili yenye ujumbe kutoka moyoni mwake.
Wakati mwengine, ni busara kumwangamiza adui kabla hajakufikia.
Yaani ataweza kujisifia kuwa ana mtoto? Kuwa amemwa-adopt nini??!!