Mke wangu ni msumbufu, mwenye ulimi mkali na mkorofi

[emoji375][emoji375][emoji375]
 
Shida inaanzia hapa, mlionesha kujilegeza kwa wanawake, sisi ni viumbe complicated sana, tuko wired tofauti mno na ninyi.!
Huwa tunaanza kuwagusa kidogo kupima kina cha maji, ukilia lia tunazamisha miguu yote tunatembea, shauri yenu.!

Mh I see 🤔
 
Watu mna moyo wa uvumilivu sana aisee, nikigundua hata jirani yangu kama ni mtu mgomvi mwenye mdomo, napiga block.
Nime mshangaa Sana aisee kitu ambacho siwezi katka maisha no violence panapo violence lazima nikimbie
 
Huyo sio mkeo Tena ni mke wetu [emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Africa ukiwa loyal/gentle katika mahusiano hawa gals wa kiafrica Wana kuchukulia kuwa boya yaani haujiwezi kwake umekufa umeoza ,kumbe masikini hiyo ndio inborn character yako [emoji16][emoji16]
 
Ni ngumu sana hakika, Nini kinapaswa kifanyike sasa kaka mkubwa maana hali inazidi kuwa mbaya kila uchwao..!
[emoji16][emoji16][emoji16] tumeshachelewa , Maendeleo pia Yana faiada na hasara zake , imagine hapo ndio watu tumepitia ktk mafundisho ya kiimani ambayo yapo kwaajiki ya kuwaandaa watu kuwa watiiifu na wanyenyekevu lakini balaa lke ndio Kama Hilo unalo liona ndoa zimekua Jela ,,

I think it's better watu waache haya mam o ya kuoana oana Ndio amani itakuepo tuwe tuna zalishana tu then kila mtu aishi kivyake. No stress at all
 
Wewe kama haupo Africa hiyo goma huiwezi kuicheza, wewe endelea kulinda haki za wanao tu......na huku unalia kimya kimya tu.
[emoji16][emoji16][emoji16]naked truth
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Ndugu process talaka mahakani chap, watoto watateseka kwa muda lakini maumivu yataisha.

Biblia yenyewe inashauri ni vema kuishi juu ya dari kwa amani kuliko kukaa na mwanamke mgonvi.
 
Mimi sijifanyi bandidu. Kwa akili yangu ilivyo siwezi kupelekeshwa kiwaki asee. Ndio maana nikasema labda nilogwe. Otherwise hakuna kiumbe kitaweza kuniambia kitu.

Ukinizingua unapita alolo chap kwa haraka..
Good! Utapelekeshwaje na mtu anakojoa akiwa kachuchumaa bhana? Anatoa damu kila mwezi, ni ungese. Tupo pamoja katika hili, mimi wangu now nimemjengea uoga japo alitaka kuleta drama kama za mke wa mtoa post at the beginning

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Africa ukiwa loyal/gentle katika mahusiano hawa gals wa kiafrica Wana kuchukulia kuwa boya yaani haujiwezi kwake umekufa umeoza ,kumbe masikini hiyo ndio inborn character yako [emoji16][emoji16]
Ni mas €ng€ mno haya masichana yaliyo mengi ya kiafrika hasa ya apa Tz, nawapongeza mno babu zetu wa Mara!

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Mbadilishie style .. mkuu kama mlikuwa mnakufa wote kifo cha mende.. badilika mpige katerelo-dogstyle, popo kanyea mbingu, tufani, kipipa,zimamoto au mbagara mwisho.. ataacha kidomo domo na atakuheshimu mkuu.. niamini
 
Mkuu utakimbilia wapi hao viumbe kwa 90% wanafanana uko unako kimbilia utagukia kwa mwenye udhaifu mchanganyika balaa, komaa nae hivo hivo unajinsi sie kaka zako tulisha kisea hivo hivo.
 
Mkuu acha dharau za ki jinsia hao ni mama zetu ukianza kuwa dhalilisha, unadhalilisha mama ako shangazi bibi yako na wanao toa ushauri kama unao tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…