Mke wangu wa kwanza baada kuona naingiza pesa nyingi alijazwa upepo tuaachane ili apate pesa kirahisi

Mke wangu wa kwanza baada kuona naingiza pesa nyingi alijazwa upepo tuaachane ili apate pesa kirahisi

Hata babycare haibebi mimba
 
Umefanya jambo la msingi ila ni ngumu sana kuishi na huo uwongo kwa zaidi ya miaka 5 ya ndoa.

Mtavurugana tu siku moja na atakusimanga kwamba mideni yako haishi dume zima ilooo😂😂😂
Hivyo ni nzuri sana.
Hao wanawake wa kutoa kashfa usipompa anachotaka kwa wakati wake nina sindano yao ya tartiibu😂
 
Mapenz hayataki akili ila kimazingira yanataka akili, mfano jamaangu anasema ana wanawake wawili mmoja msomi, mwingine average, msomi kichomi, huyu average muelewa, msomi inaweza pita days hakuna kol hakuna sms, huyu average asipopigiwa simu anacomplain, yan ambae hajasoma anajua communication ni nini kwenye mapenz and all that, hii kitu imemchanganya jamaa, msomi income ipo juu ila wote hawaombi ela ovyo ovyo, yan inapokuja swala la wanawake kufanya mambo yako wanavyofanyaga wana equalize yan alosoma na aloishia darasa la saba b, hata uwe profesa janabi unajua ule nini kwakweli. Anyways baada ya kumshayri jamaa akaapa kuwa haji kumbembeleza mtu wala kumconvince mtu kwa nguvu kubwa , yanga imrongoza naomba niendelee kuangalia mpira
 
Msiwege mnaoa.

Eti akaambulia milioni 40. Milioni 40 unaiona ndogo mkuu? Hata kama una hela yani mwanamke anachukua milioni 40 yako kwa sababu gani?
Kuna ile hoja kwamba sheria inamlipa mwanamke kwa juhudi zake alizoweka kwenye mahusiano(kuzaa na kulea, kutunza nyumba, kutofanya kazi kwa wengine ili wahudumie ndoa)

Lakini sasa unajiuliza hivyo vitu ke anafanya kumnufaisha nani si karidhia mwenyewe?

Halafu ni kwamba mnagawana 50/50 bila shauri au kuna vigezo kama muda mliodumu, watoto, mmeachana vipi... eti Mgeni wa Jiji DR Mambo Jambo
 
Sawa ila mkija kuachana kwa sababu yeyote nyingine hutokua na ujanja mtagawana tu

Njia pekee ya kuzuia hii changamoto ni kuoa mtu uliyefanana nae kiuchumi, tajiri kwa tajiri, maskini kwa maskini

Ukikubali kuoa umekubali kugawana mali, sharti hilo

Halafu eti wanaiita ndoa taasisi ya kiroho, imeanzishwa na mungu, wakati ina mapungufu yote hayo

Ndoa ni utapeli.
Naam! NDOA NI ULAGHAI, UNYONYAJI KWA MWANAUME, UMASIKINI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kuwa na mke tuliachana 2020, kuna kipindi kifupi hapo nyuma niliwahi kuwa na biashara naingiza almost milioni 6 kila mwezi niliiacha baada ya ushindani kujaa kiasi kwamba hata laki 5 ikaanza kutafutwa kwa tochi, pesa zilimchanganya sana mke wangu akaajazwa upepo tuachane japo aliambulia pesa milioni 40, gari, kiwanja, n.k.... wenzake walimjaza upepo wa umalkia wa nguvu / miss independent.. Iliniuma ila ilikuwa funzo. >> Jinsi jinamizi la mafanikio kiuchumi lilivyomfanya mke wangu kuwa kiburi, jeuri na hatimae ndoa kuvunjika kisa tamaa ya mali

Kwa sasa nipo na mwanamke mwengine natumia mbinu nyingine kuishi nae hata akiniona na pesa apunguze tamaa ya kukimbilia mahakamani kunipiga pasu kwa pasu (mahakama zina upendeleo wa hali ya juu sana kwa wanawake)

So far so good i cant complain,, Ni kwamba huwa namwambia nina madeni niliyowekea bond nyumba, kiwanja, magari, mashamba, n.k. lengo ni yeye kujua kwamba hata akipata hizo mali ajue hataweza kuzimiliki,

Ila kuna muda hii mbinu huwa ina backfire mfano kawahi kuniambia auze shamba lake la urithi huko kwao anishaidie kupunguza marejesho, kawahi kunipa milioni 1 cash aliniambia alikuwa anazitunza kwenye hela nazompa zinisaidie marejesho, ananiombea sana kwa kitu ambacho hakipo, Nikimnunulia kitu kizuri huwa inabidi nimbembeleze sana akipokee huwa namwambia ni kweli nadaiwa ila kwavile nampenda siwezi jibana kwake, ni sharti lazima nile nyumbni au niondoke na chakula hii kitu alipiga sana kelele migahawa inanimalizia pesa, n.k.

Advantage nazopata nadhani ni Loyalty ya yeye kuweza kuishi nami huku akijua hata tukiachana anaweza asiambulie hata sahani, Kwa upande wa sex nampa 10/10 ni sehemu ambayo labda kaiona aitumie kunitolea mawazo ya madeni, mara nyingi huniomba pesa za vitu muhimu tu,She is very supportive na huwa ananipa peace of mind
Sasa huyu si ndiyo mke bora sasa anayetakiwa umzingatie!

Halafu si kila mwanamke ana mawazo ya talaka na mgawanyo wa mali.

Pamoja na kuwa tayari umekwisha jifunza kutokana na changamoto ya ndoa yako ya kwanza, kuna jambo laweza kukukuta bila wewe kutarajia na mkeo huyo akashindwa kunufuaika na chochote na kupoteza haki zake kwa kutokuelewa uhalisi wa umiliki wako wa vitu ama mali.

Je wafahamu kuna kifo cha ghafla?

Umejipangaje na hilo?
 
Sheria zote za dunia ni katili dhidi ya Wanaume,sio Ulaya sio Afrika.usipo gawana mali atakudedisha kwa sumu.

Inauma sana,una sota na jua,mvua matusi mahangaiko yote halafu Mwanamke anatafuta namna ya kubaki na vyote hivyo.
Sometime,tukiwaona akina Elon Musk,Jeff bezo,Bilget Dangote hawana wanawake tusiwaone wajinga
 
Bora huyo wa mwanzo
kuna kipindi kifupi hapo nyuma upepo wa fedha ulinipitia, niliwahi kuwa na biashara naingiza almost milioni 6 kila mwezi, nilishaiacha baada ya ushindani kujaa sokoni kiasi kwamba hata laki 5 kwa mwezi kuipata ilianza kuwa ngumu, 2020 niliachana na aliewahi kuwa mke wangu, sababu ikiwa pesa zilimchanganya sana + entitlement ya kuona anaweza kutumia pesa kivyovyote bila kuhojiwa, nilipoanza kutia mkazo yakaanza malumbano, yani hata nikimuachia elf 30 kwa siku analalamika haimtoshi !! yeye anataka kuishi maisha ya kibongo muvi na ya kuspend kwa kushindana ama kutaka kusifiwa na wenzake, akajazwa upepo wa kishenzi kwamba tuachane, ilikuwa hivyo na aliambulia milioni 40, gari moja, kiwanja, n.k. >> Jinsi jinamizi la mafanikio kiuchumi lilivyomfanya mke wangu kuwa kiburi, jeuri na hatimae ndoa kuvunjika kisa tamaa ya mali

Kwa sasa nipo na mwanamke mwengine natumia mbinu nyingine kuishi nae hata akiniona na pesa apunguze tamaa ya kukimbilia mahakamani kunipiga pasu kwa pasu (mahakama zina upendeleo wa hali ya juu sana kwa wanawake)

So far so good i cant complain,, Ni kwamba huwa namwambia nina madeni niliyowekea bond nyumba, kiwanja, magari, mashamba, n.k. lengo ni yeye kujua kwamba hata akipata hizo mali ajue hataweza kuzimiliki,

Ila kuna muda hii mbinu huwa ina backfire mfano kawahi kuniambia auze shamba lake la urithi huko kwao anishaidie kupunguza marejesho, kawahi kunipa milioni 1 cash aliniambia alikuwa anazitunza kwenye hela nazompa zinisaidie marejesho, ananiombea sana kwa kitu ambacho hakipo, Nikimnunulia kitu kizuri huwa inabidi nimbembeleze sana akipokee huwa namwambia ni kweli nadaiwa ila kwavile nampenda siwezi jibana kwake, ni sharti lazima nile nyumbni au niondoke na chakula hii kitu alipiga sana kelele migahawa inanimalizia pesa, n.k.

Advantage nazopata nadhani ni Loyalty ya yeye kuweza kuishi nami huku akijua hata tukiachana anaweza asiambulie hata sahani, Kwa upande wa sex nampa 10/10 ni sehemu ambayo labda kaiona aitumie kunitolea mawazo ya madeni, mara nyingi huniomba pesa za muhimu tu,She is very supportive na huwa ananipa peace of
 
Sasa huyu si ndiyo mke bora sasa anayetakiwa umzingatie!

Halafu si kila mwanamke ana mawazo ya talaka na mgawanyo wa mali.

Pamoja na kuwa tayari umekwisha jifunza kutokana na changamoto ya ndoa yako ya kwanza, kuna jambo laweza kukukuta bila wewe kutarajia na mkeo huyo akashindwa kunufuaika na chochote na kupoteza haki zake kwa kutokuelewa uhalisi wa umiliki wako wa vitu ama mali.

Je wafahamu kuna kifo cha ghafla?

Umejipangaje na hilo?
Sacrifices must be made, ila ntacheki utaratibu kama naweza kuacha will kimya kimya
 
Kuna ile hoja kwamba sheria inamlipa mwanamke kwa juhudi zake alizoweka kwenye mahusiano(kuzaa na kulea, kutunza nyumba, kutofanya kazi kwa wengine ili wahudumie ndoa)

Lakini sasa unajiuliza hivyo vitu ke anafanya kumnufaisha nani si karidhia mwenyewe?

Halafu ni kwamba mnagawana 50/50 bila shauri au kuna vigezo kama muda mliodumu, watoto, mmeachana vipi... eti Mgeni wa Jiji DR Mambo Jambo
Ngoja niipitie nitatia neno..
Ni Sheria ya Ndoa "The marriage Ordinance"
 
Back
Top Bottom