Shemeji yako ni dhaifu sana,Kuna shemeji yangu hivo hivo alimpiga dada akampeleka polisi alitolewa asubuhi na kesi akaifuta sasahivi wanaishi fresh tu ata ikitokea ugomvi anaondoka uko nje akirudi wanayazungumza yanaisha....nakushauri samehe tu mwanamke apigwi na akipigwa lisiwe pigo la kujeruhi mpige kofi moja tu begani au mgongoni ondoka katafute cha kukufanya hasira zipungue
Msamehe mlee watoto...Ila sasa alikuwa na hasira ndo akafanya maamuz hayo ila badae akafuta case.
Ushetani ni kukatana mapanga ila kupigwa makofi hata Mungu amebariki.Kama nimekuelewa ni kwamba mtu mmoja kumpiga mwingine ni maonyo, ila kupelekwa polisi kwa kosa la kudhuru mwili sio maonyo ni ushetani!!!!! Inafikirisha sana.
Nitachukua huo ushauri kama tunaishi nyumba ya kupanga,lakini kuacha nyumba niliyojenga ni ngumuNakushauri kama alivyokushauri mtu hapo juu. Rudi home beba nguo za kutosha na vitu vingine muhimu halafu potea sio chini ya mwezi. Chukua guest ya bei nafuu waombe discount kisha ishi huko bila mawasiliano nae wala kutuma matumizi
Utakuja kutushukuru baadae sana
Kosa kubwa mashosti.....hapo ndoa inakufa taratibuu.....ukute kumpiga kuna uhusiano na mashosyi.....mbaya kabisa....wameshamuuza huyo.....yaani unawakuta counter na mashosti huyo mke wako au hawala wa mrtaani..??Mbona makosa yamekua ya wife tena? Kiukweli hapo we ndo umezingua.
Ila sometimes hawa wamama wanakera
Epuka kupigana na mkeo ili ushinde hoja ,jaribu kupata muda wa kusiliza hoja zake kisha mwambie akupe muda wa kufikiria na kesho mkiwa mmetulia mpe jibu kwa nini unaona wewe uko sahihi,baada ya kipigo na polisi hamwezHali zenu?
Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.
Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.
Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.
Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini
Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.
Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.
Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.
Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?
Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
Sasa wewe umempiga yeye kakulaza ndani, si umsamehe maisha yasonge.Hali zenu?
Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.
Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.
Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.
Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini
Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.
Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.
Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.
Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?
Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
Halafu baada ya kutoka huko mahabusu unategemea Kuna ndoa hapo?Kwa hiyo yeye alivyompiga mwenzie sio kosa safi sana kwa huyo bibie iwe funzo kwa wenzieπ,Kwanza ulimshushia kipigo kikali sana mpaka akakupeleka police na huenda ndio tabia yako kumpiga ila siku hiyo ulizidisha dozi hata ningekuwa mimi ningekulaza Selo dadekii.
Kwani kama ndoa imekufa na uhai umekufa.Halafu baada ya kutoka huko mahabusu unategemea Kuna ndoa hapo?
Huyo sio wakusamehe mzeyaHali zenu?
Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.
Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.
Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.
Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini
Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.
Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.
Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.
Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?
Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
Potea miezi mitatu net dunia imfunze hakikisha hauna mawasiliano nae kabisa ila tumia njia za kiinteligensia kujua maendeleo ya watoto wako.. hakikisha hauna huruma kabisa mwache dunia imfunze kwanza na ukirudi usiwe na time nae kabisa ishi nae kama unaishi na adui yeye ndo ateseke kutafuta uwepo wako. Hakikisha ukirudi usiwe tena mwema kama ulivyokua mwanzo ajue kabisa yeye ndo source ya wewe kubadilika fanya hivyo kwa miezi mingine mitatu alafu tulia. Ukilegeza kamba daima lockup ndo itakua nyumbani kwako .Hali zenu?
Wakuu, siku ya jumatano majira ya saa 1 jioni nikiwa nimefika nyumbani kutoka mihangaikoni, kulitokea kutokuelewana na wife,nikajikuta napandwa na hasira nikamshika nikachomoa mkanda wangu wa suruali nikamtandika nao hatari alivyopata upenyo akakimbilia nje.
Kumbe mashosti zake wakawa wamemshauri akimbilie kushtaki polisi, akaenda kituo cha police kushtaki,baada kama ya lisaa hivi nikasikia nagongewa na balozi wa nyumba kumi akiwa kaambatana na Askari polisi wawili, wakaniambia nahitajika kituo cha police kwani mke wangu kaenda kushtaki kuwa nimempiga.
Sikuwa mbishi nikawaomba nibadili nguo na niweke mazingira ya nyumba sawa kwani watoto na dada wa kazi hawapo.
Basi bana nikafika kituo cha police pale kaunta nikamkuta wife kakaa yuko na mashosti zake kama wawiili nikachukuliwa maelezo yangu kisha nikafunguliwa kesi ya shambulio la kudhuru mwili, nikaingizwa lock up, kwa sababu ilikua usiku afande mmoja hivi akaniambia kosa linadhaminika kama kuna jamaa zangu wako around niwacheck waje wanidhamini
Lakini pia akanishauri kwa jinsi anavyoona nina hasira bora nilale tu mle lock up kuepusha madhara kwani nikisema nitoke usiku ule ningeweza kumdhuru zaidi wife na pale lock up ni sehemu salama zaidi. Basi nikawa nimemuelewa yule afande nikatulia mpaka asubuhi,kulivyokucha nikaomba simu yangu pale kaunta nikawapigia jamaa zangu wakaja wakaniwekea dhamana.
Hapa nilipo toka nitoke lock up nimeona nikae kwanza kwa jamaa angu kujiepusha na huyo mwanamke,ameisha enda police mwenyewe kuwaambia hana nia ya kuendelea na hiyo kesi hivyo anaomba ifutwe, Askari kama kawaida wamemtoa pesa kidogo.
Sasa toka jana naona ananitumia watu kuja kumuombea msamaha kuwa alikosea kunilaza lock up.
Hapa niko stranded nimsamehe au nimfanyaje na baada ya kumsamehe maisha yetu hapo ndani yatakuwaje?
Kama kuna yeyote amewahi kupitia hii changamoto anisaidie mawazo.
Kinachonishangaza kwa wanawake (Sina maana ya wewe) ni jinsi wanavyozitafuta na kuzitafuta ndoa Lakini wakato huohuo hawako tayari kuzingatia yale ya ndoa. Yaani ndoa Haina maana yoyote kwako Lakini wanakesha kwa manabii na mitume na novena kibao kutafuta ndoa hiyo hiyo ambayo hata km ikifa na uhai haufi.Kwani kama ndoa imekufa na uhai umekufa.
πππππmke wake atamtumia tena police wakamshike wamrudishe nyumbani...π€£
Mkuu ndoa ni masikilizano baina ya wawili,Ndoa ni furaha ndoa ni kujishusha,kusameheana na kitu ambacho Wanaume wengi hawana wao ni ubabe.Kinachonishangaza kwa wanawake (Sina maana ya wewe) ni jinsi wanavyozitafuta na kuzitafuta ndoa Lakini wakato huohuo hawako tayari kuzingatia yale ya ndoa. Yaani ndoa Haina maana yoyote kwako Lakini wanakesha kwa manabii na mitume na novena kibao kutafuta ndoa hiyo hiyo ambayo hata km ikifa na uhai haufi.
Uko sahihi Lakini kwa kiasi Fulani TU. Kila taasisi (ya ndoa ikiwemo) Ina masharti yake. Mwanafunzi (shule) Ina masharti au taratibu zake, kabisa, msikiti, chama Cha siasa, familia, nk nk zote hizi Zina taratibu zake. Ndoa (muunganiko wa watu wawili) nayo Ina taratibu zake na kwa asili yake na Mila na desturi za mahali, mwanaume ni mtawala wake. Ukikuta mwanaume anampiga mkewe ni kwa sbb taratibu za ndoa zimevunjwa (unless huyo mwanaume ana changamoto ya afya ya akili) na dawa ya kupigwa na mme sio polisi kwa kuwa kufanya hivyo ni sawa na kuivunjilia mbali taasisi hiyo. Mimi si muumini wa mapigano ktk ndoa Lakini najua vita hivyo hutokana na kutojitambuaMkuu ndoa ni masikilizano baina ya wawili,Ndoa ni furaha ndoa ni kujishusha,kusameheana na kitu ambacho Wanaume wengi hawana wao ni ubabe.