Mkeo aliwahi kukulaza lock up, baada ya kutoka maisha yalikuwaje?

Hata ukimsamehe huwezi muthamini wala kumpenda tena huyo mwanamke,ata ulazimishe moyo wako kurudia hali ya mwanzo hutaweza-mtaishi bora siku zisogee.

Ushauri wangu kama upo na kipato kizuri,achana naye angalia namna ya kutunza watoto.
 
Kwahiyo baba yako ni malaika, halafu wazee wanafiki kama huyo ndiyo hao unakuta hata watoto anaosema wake wanakuwaga ni walezi tu kujifanya ubabe
 
Hapo wote muna makosa kikubwa unapofanya maamuzi tumia hekima na busara ikuongoze mkuu watu humu wanashauri ushauri tofauti wengine wanasema muachane tafuta mke mwingine la asha halmashauri na maisha yako ww ndio unajua umwache au msameeane maisha yaendelee kingine ushauri unaopewa chuja si kila anayeshauri basi ufate ushauri wake maisha ni yako mkuu akili kichwani mwako
 
Yaweza tafsiriwa kuwa amekosea n ..Ila umekosea pia mzee.

Ambacho amefanya kimeweza kukushtua pia kuwa uwe na mipaka...

Kaka, kuua ni Jambo linaloweza tokea kwa haraka Sana...na naamin ulipokuwa lock up ulitafakari mengi...ule ugumu wa kuwa lock up kwa masaa machache Nina Imani kabisa utaogopa kurudia makosa ya hivyo...

Ya Kupiga yanatokea...haipaswi kuwa Sana.
 
Aombe msamaha mwanaume! haupo sawa wewe.
Vikao vya ndoa havijawahi kuimarisha ndoa.
Hapo wawili wakutane wao peke yao,wajadiliane kama kuna haja ya kuendelea na ndoa ama la.
Wakiona.faida za kuendelea na ndoa waanze upya,wakiona hawawezi kudhibiti hasira zao kila mtu aendelee na maisha yake.
 
Kuna wanawake bila kubondwa akili hazikai pahala pake.
 
 
Wewe ndo mwenye maamzi mkuu na unajua ukweli wa na uzito wa hicho kipigo ulicho mpiga.

Je kosa lilikuwa kubwa sana hadi ukampiga? ni mara ngapi una mpiga?.
Mimi siwezi kumpiga ni kitendo cha kumwambia fata fimbo lala nikuadhibu kama njia ya kujutia kosa lake akigoma huna mke make plan nyingine.

Mwanamke akokosea huwa chini sana kukubali shaishe lakini wewe ulimshambulia tena kwa mkanda.Laza chini tandika fimbo5 halafu simamia ukucha
 
Wewe ingekuwa mi ndo huyo mkeo, ningempa na buku 10 poti akushughulikie vizuri ili ukirudi uraiani uwe raia mwema. Huna adabu, unapigaje mkeo na mkanda ukimuua??

Mwambie mkeo anitumie namba nimtumie pesa ya soda, kanifurahisha sana’aaa.!! 😹🤣
 
Huyu ilitakiwa achapike vidole vivimbe km virungu vya bendi hata kutype kutupa habari ashindwe 😹😹😹

Hii story yake ilitakiwa atupe baada y’a mwaka, baada ya kupona 🤣
 
Msa
Msamehe tuu maana sio tukio la kupeana talaka hili ...lakin je Kwan moyo wako hausemi samehe??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…