Kumbe mlishakulana asee, duuh 😆😆😆Nampendea swagger zake tu chalii ya R chuga na ile show yake tuliyopiga first time ya “Wagombanao ndio wapatanao” ndio kazidi kunivuruga [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Halafu sio bahili kabisaa upande wa faranga[emoji39]
Na km huamini subiri afike uone nitakavyooga pesaa [emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kumbe mlishakulana asee, duuh [emoji38][emoji38][emoji38]
Nikki wa 2 hacheleweshi asee, [emoji28][emoji28]
Dada, mbona mimi huyu binti wa jila la double F kanipenda na sina hela...🤣Sasa mwanaume utampendea nini zaidi ya hela jamani😊
Hivi kwani hujapata? Au hujaridhika na wewe...muoneKwakweli natakiwa kua makini sana😂😂😂
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unataka ukubwa sana? Subiri ukue utafika huku ukubwani.Sawa dogo acha nitulie [emoji16][emoji16][emoji16],
Watu weweeeeeeee na wenye babee zenuuu, Countrywide njoo hapa uduguu upokee maua yakooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nampendea swagger zake tu chalii ya R chuga na ile show yake tuliyopiga first time ya “Wagombanao ndio wapatanao” ndio kazidi kunivuruga [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Halafu sio bahili kabisaa upande wa faranga[emoji39]
Na km huamini subiri afike uone nitakavyooga pesaa si eti baby Countrywide
[emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakupendi anakuchuuza🤣🤣🤣🤣Dada, mbona mimi huyu binti wa jila la double F kanipenda na sina hela...🤣
We phalla mjanja sana yaani 😂😂Nampendea swagger zake tu chalii ya R chuga na ile show yake tuliyopiga first time ya “Wagombanao ndio wapatanao” ndio kazidi kunivuruga [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Halafu sio bahili kabisaa upande wa faranga[emoji39]
Na km huamini subiri afike uone nitakavyooga pesaa si eti baby Countrywide
[emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna siku waifu aliwahi kuniambia kwamba.... eti ukorofi wangu unamfanya ajione yupo salama sana...🤣Ukorofi wake ni muhuni fulani hivi amaizing....ila kiukweli kabisa nimempendea nanihii tuu
Bado binti yule, ebu kua na adabu kwenye kitu kinacho nipa raha...🤨Eee ndo utuambie umempendea nini kikongwe😀😀😂😂😂🙈
bado sijapata wa kufanana nae 😎😀😀Hivi kwani hujapata? Au hujaridhika na wewe...muone
Dada, mbona wifi wako bado kigori kabisa....🤗Hakupendi anakuchuuza🤣🤣🤣🤣