Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?

Ndoa inahitaji hekima na busara na sio upendo tu peke yake.

Umenena vyema.
 
Wale tunaotumaga msg ndefuuuuuuuu za malalamiko tuko kundi lipi?
Ina maana huoni kabisa hapo, wazee wa magazeti dawa yenu majibu mafupi mafupi tu. Ok!...Sawa!...Poa! huwa yanapendeza sana.
 
Reactions: amu
Mkeo ni kama mbilimbi 🤣🤣🤣 mchachu ila akipikwa mtamu.
 
Dawa yao wa kundi la pili kuwaonesha ulichofanya ukiwashirikisha jambo kabla unaleta mvurugano.
Eeh nafikiria ni approach nzuri zaidi, aoneshwe matokeo tu sio process maana anaweza kukukatisha tamaa.
 
Ukweli sijui kama kuna wanaume wapo wanaopenda hao kundi la pili? maana hao ni kipengele.
Hao namba 2 ubaya wao wengi ni impostors at first sight.

Ukianzana nae anakuwa kama namba 1 ila mkishafika mbali sana anakuchenjia gia angani anaanza kuishi katika tabia zake halisi ambazo ni za namba 2!

Hapo ndio utajua hujui kudadadeki😂😂😂!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…