Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?

Wewe tunafanana kabisa
 
Kuigiza ni kipaji hata me cwezagi!
Ukinifurahisha nafurahi ukinikera nakasirika!
Eti uniudhi AF nkuchekee cwezi kuiga kabisaaaaa


Yani ni ngumu wanaweza tu wenye vipaji vyao.
 
Tena wanakuwaga waongo waongo wasaliti drama nyingiiiiii lkn ndio wenyewe wanawaona ndio no.1 hao πŸ™„
[emoji3][emoji3][emoji3]kwakweli.

Huwezi kuwa no1 maisha yako yote aisee vinginevyo uwe tu muigizaji.
 
Ni jambo jema brother kuujua udhaifu wa mkeo! Afu mbona kama unanisema mimi hahahaa
 
Kunywa soda nakuja kulipa
 
Mke wangu yuko kundi la kwanza ila ana mambo flan flan ambayo nnajitahd kuyapuuza sababu siku nikiyafuatilia kiundani nadhani itatakiwa niwe nishapata mbadala wake.
Tatizo na nyie mnajikuta hamkosei
 
Unakua kama umeoa mamako mzazi
 
Hahaa kuachwa tunaogopa
 
Huyu wife to be ni namba moja ila sasa kuna muda anakuwa na elements za namba mbili ili tu penzi liwe "dramatic"
Kwa hiyo cha muhimu ni kuishi nao kwa akili maana mwanzoni mambo huwa motomoto ila baadae inakuwa tafrani kutokana na kuwepo kwenye comfort zone na kujisahau mambo yalikuwa vipi mwanzoni. Ukiingia kichwa kichwa na kuanza kulaumu bila kutumia busara hapo ndipo vita vinaanza. Na nilichojifunza ni kuwa ukileta pigo za kutaka kukomoana ni sawa na kuwa mwanamke ndani ya nyumba badala ya kuwa mwanaume na kutumia hekima na busara kama kiongozi.
 
Unakua kama umeoa mamako mzazi
Acha kabisa yani, its really boring aisee!

We all need that adrenaline rush at times ila cheerful moments ndio zinaleta more excitement katika mahusiano. Una patner sometimes akiwa katulia unamkonyeza tu na kusmile, unataka umshike kiuno umnong'oneze kitu mara mnapiga selfie. Unataka umtekenye astuke umvute umkiss alimradi fujo tu. Mnakuwa fully free with eachother.

ila hamna kitu kinaboa kama mtu kufanya kitu ukapata response ya povu. Yani patner wako unaogopa ku act crazy infront of him/her sababu unahisi anaweza kukutolea povu tu.

"Lione mtu unakuwa kama litoto lidogo argh!"....."Si ukae kwa kutulia aisee".….. "We nini lakini, si utulie bana"

Aina hii ya majibu sucks my motherfucking balls!!! Intention ilikuwa kutengeneza amazing moment ila ukiwa na patner kama mzazi wako ndio madhara yake. Lazima
 
Huyo atakuwa katokea zile familia ambazo wanaona wanapoteza muda kizembe bila kufanya maendeleo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…