Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?

Mkeo ni wa kundi gani kati ya haya?

Mkuu, mke hakutengei maji ya kuoga na hakupakulii chakula/ hakutengei chakuka mezani na kukukaribisha halafu unasema UMEOA??
Au sijakuelewa mkuu??
.............Yah mkuu nilichoandika wala sijakosea ila sijasema hanitengei chakula mezani au hanikaribishi na hata asiponikaribisha unadhani kwenye ndoa ni kitu cha kufuatilia hiki,utafuatilia mangapi na utahoji mangapi?kama amepika vizuri chakula na umekikuta mezani kimekamilika kuna haja gani tena kuulizana mbona hujanikaribisha?na huko kuhoji hoji sana vitu vidogo vidogo ndiko mnapokuta mmezusha vurugu zisizo na kichwa wala miguu unless uniambie unatafuta sababu za kumuacha maana maisha ya ndoa ni continuous viapo ni kuishi milele na kuvumiliana.

Falsafa yangu nayoiishi ktk ndoa yangu ni “sikuowa mke aje kunitumikia” bali kuwa msaidizi wangu pamoja na kuendeleza kizazi changu,nimesema mwanzo akifanya yote hayo ila family ilipoongezeka hayo hanifanyii na nilielewa wala sijawhi kuhoji niliona tu mwenyewe siku za weekend nikiwa home hiyo battle ya watoto humo ndani hakukaliki na kama mimi kukaa na watoto nusu saa tu siwezi yeye anakaa nao kutwa nzima itakuwaje?maana hawaelekezeki kirahisi.iko hivi;nina watoto mmoja 6 aged na mwengine mwaka 1/10,muda ninaoingia home kutoka job ni saa 20:00 usiku nikifika namkuta wife amemsimamia huyu mkubwa ili ale akalale kesho aamkie shule (bahati mbaya ni mtundu mno) akiachiwa upenyo ale mwenyewe chakula utakikuta kwenye basin la vyombo vichafu hakijaguswa hata kidogo.niambie wewe kama baba,utamwambia mkeo aache kumsimamia mtoto akakuandalie maji ya kuoga?je kabla hujamuowa hukuwa unaoga wewe,aliyekuwa anakuandalia maji ni nani?

Baada ya hapo aje kwa huyu mdogo naye amuogeshe kisha aanze kumpa chakula na huyu akiwa analishwa anataka azunguke nyumba nzima hatulii sehemu moja,muda huo ndo nimeshaoga na mimi nipo dinning nataka kula na pale mezani zana zote wezeshi za mimi kuendelea zipo unataka kuniambia nisijipakulie chakula nile ila niite kwa sauti ya mamlaka “wewe mwanamke njoo unipakulie chakula”,well ataweza kutii but vipi mtoto akipaliwa chakula kule aliko umeshafikiria hasara zake?au kuniandalia nguo asubuhi,huo muda wa kufanya hivyo sasa hana tena muda huo anautumia kwa mtoto ili awahi shule yani nilichoandika pale juu ni kitu nakiishi na nimekishuhudia na mke wangu kuweka house girl hataki nilihoji akanipa sababu zake,ukweli hazikuwa na mashiko ila ikabidi nielewe kiutu uzima maana mama mwenye nyumba ameshasema ning'ang'anizane naye kwa faida gani?na naridhika na maisha tunayoishi!

Maisha ya ndoa siyo bongo movie yanataka hekima na busara ukitaka kuamini kama baba na mama yako wapo pamoja mpaka sasa chunguza je bado mama anampelekea mzee maji bafuni?zile ni longolongo tu za uchanga wa penzi wala usizizingatie sana life likishakolea mbona utajikuta upo ndani ya ndoa ila unaishi as if upo kwenye u-bachelor na ukiwa mwelewa hakuna siku utapishana hovyo kauli na mkeo.
 
Ujue kuna muda huwa najitafakari tabia zangu nimekuja kujua kweli inawezekana nina kichaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna tarehe naweza kuwa mpole sana mpaka ukafurahi kuna tarehe ni hatarii hakuna jema atakalo fanya,sifanyi kusudi hii hali huwa inatokea tu baada ya kufanya utopolo ndio nashtuka kwanini nilikuwa mkali hivyo
Ndiyo ivyo mkuu,binadamu wote kila mmoja anakichaa chake........
 
.............Yah mkuu nilichoandika wala sijakosea ila sijasema hanitengei chakula mezani au hanikaribishi na hata asiponikaribisha unadhani kwenye ndoa ni kitu cha kufuatilia hiki,utafuatilia mangapi na utahoji mangapi?kama amepika vizuri chakula na umekikuta mezani kimekamilika kuna haja gani tena kuulizana mbona hujanikaribisha?na huko kuhoji hoji sana vitu vidogo vidogo ndiko mnapokuta mmezusha vurugu zisizo na kichwa wala miguu unless uniambie unatafuta sababu za kumuacha maana maisha ya ndoa ni continuous viapo ni kuishi milele na kuvumiliana.

Falsafa yangu nayoiishi ktk ndoa yangu ni “sikuowa mke aje kunitumikia” bali kuwa msaidizi wangu pamoja na kuendeleza kizazi changu,nimesema mwanzo akifanya yote hayo ila family ilipoongezeka hayo hanifanyii na nilielewa wala sijawhi kuhoji niliona tu mwenyewe siku za weekend nikiwa home hiyo battle ya watoto humo ndani hakukaliki na kama mimi kukaa na watoto nusu saa tu siwezi yeye anakaa nao kutwa nzima itakuwaje?maana hawaelekezeki kirahisi.iko hivi;nina watoto mmoja 6 aged na mwengine mwaka 1/10,muda ninaoingia home kutoka job ni saa 20:00 usiku nikifika namkuta wife amemsimamia huyu mkubwa ili ale akalale kesho aamkie shule (bahati mbaya ni mtundu mno) akiachiwa upenyo ale mwenyewe chakula utakikuta kwenye basin la vyombo vichafu hakijaguswa hata kidogo.niambie wewe kama baba,utamwambia mkeo aache kumsimamia mtoto akakuandalie maji ya kuoga?je kabla hujamuowa hukuwa unaoga wewe,aliyekuwa anakuandalia maji ni nani?

Baada ya hapo aje kwa huyu mdogo naye amuogeshe kisha aanze kumpa chakula na huyu akiwa analishwa anataka azunguke nyumba nzima hatulii sehemu moja,muda huo ndo nimeshaoga na mimi nipo dinning nataka kula na pale mezani zana zote wezeshi za mimi kuendelea zipo unataka kuniambia nisijipakulie chakula nile ila niite kwa sauti ya mamlaka “wewe mwanamke njoo unipakulie chakula”,well ataweza kutii but vipi mtoto akipaliwa chakula kule aliko umeshafikiria hasara zake?au kuniandalia nguo asubuhi,huo muda wa kufanya hivyo sasa hana tena muda huo anautumia kwa mtoto ili awahi shule yani nilichoandika pale juu ni kitu nakiishi na nimekishuhudia na mke wangu kuweka house girl hataki nilihoji akanipa sababu zake,ukweli hazikuwa na mashiko ila ikabidi nielewe kiutu uzima maana mama mwenye nyumba ameshasema ning'ang'anizane naye kwa faida gani?na naridhika na maisha tunayoishi!

Maisha ya ndoa siyo bongo movie yanataka hekima na busara ukitaka kuamini kama baba na mama yako wapo pamoja mpaka sasa chunguza je bado mama anampelekea mzee maji bafuni?zile ni longolongo tu za uchanga wa penzi wala usizizingatie sana life likishakolea mbona utajikuta upo ndani ya ndoa ila unaishi as if upo kwenye u-bachelor na ukiwa mwelewa hakuna siku utapishana hovyo kauli na mkeo.
Mkuu, sawa nimekuelewa, ila hapo kwa wazazi wangu umekosea.

Mimi mama yangu (76-80 age) bado anamtngea maji mzee na anamkaribisha chakula. Siawahi kuona mzee anajipakulia chakula wala kujitengea maji ya kuoga.

Sio kwa wazaz wangu tu, hata mabroo zangu wote Ni hivo.

Mnawaendekeza wake zenu dadeki
 
Namba mbili wapo wengi balaaa


Nilivyooa ndo nikathibitisha ukweli wa kuwa mwanamke hakosei ukitaka Vita na mkeo wewe mwambie kakosea sehemu flani...

Wife bwana chochote unachomwambia ameteleza ujue lazima atakirudisha kwako mpk saivi imebidi uwe utani tu


Mke maji ya kunywa ulikumbuka kuchemsha? mtu mwenyewe hata nikichemsha hunywi.[emoji3][emoji3]

Nimerudi zangu home saa 7mchana badala ya saa 9/10 niliyozoea kurudi.Mke chakula tyr?Mke :Bado,mtu mwenyewe wewe hutabiriki unarud sa ngap nilichelewa kidogo kupika.

Mke umesahau kumpigia mama ulisema utaongea nae leo?wewe huyo hujanikumbusha...[emoji38][emoji38][emoji38]

Mimi:mke punguza sauti ya TV Kuna kazi inachanganya nahitaji umakini kdg,wewe hata ukiwa free hupendi niangalie movies za kikorea...

Mke chumvi leo imezidi kdg wewe huyo unakuja kunipigisha story wakati napika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Nimeamka zangu asubuh najiandaa kwenda kwenye mishe nikaanzisha story mke umeamka tyr?mbona mapema?Wewe huyo unazunguka zunguka chumbani mpk usingizi umekata

Juzi kadondosha grass ya maji mi nikageuka tu nikamuangalia nikampa pole nikasikia wewe huyo unaniangalia sanaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Maskini hata hajui keshazoea mi saivi akiboronga namwambia sio kosa lako mi Mimi huyo nimesababisha,anachekaaaa balaaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Blaza una ndoa nzuri, umeweza kuishi naye kwa akili.
 
Niko namba 1 hapo ila ndo mpaka unikojo...... ukichelewa naswitch no 2 hii hata Mi mwenyewe najiogopaga sometimes

Lakini kwa ujumla maisha yangu ya mahusiano asilimia nyingi naishi kwenye moja,
Namuomba mdogo wako(wakike), natumai mmetoka chungu kimoja.
 
Nimemcheki kwenye kundi la kwanza nikamuona kwa mbaaaalii .nikamchek kwenye kundi la pil nikaona anakua af anapotea.
Nadhan ukija na kundi la 3 anaweza akajaa mzima mzima ila kwa hapo hayupo kivilee 😂😂
 
Back
Top Bottom