Tyrone Kaijage
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 1,617
- 3,405
Somo refu Sana... Nakushauri fuatilia masomo ya mtumishi mmoja anaitwa Katekela, yuko U tube alikuwa huko walioko hao.... A najua mambo mengi Sana ya ulimwengu wa roho na tricky wanazotumia kuteka watu wengi wa mungu
Ndio hoja pekee mliyobakiza..mkishindwa kumwagusha sasa mmebaki kutukana tu.Ni muda wake huu..acha apige pesa
Ahahahaha.Hio Ni pesa ya bwana
Kila mtu ale kwa urefu wa kamba yakeMawazo yangu binafsi
Watu wanakejeli eti waliohudhulia huo mkesha ni wajinga na wanamtajirisha Mwamposa, lakini najaribu kuwaza, tatizo nikutoa kwa Mwamposa au nikwasababu wanatoa wengi? Maana hata wewe ambaye hujahudhulia, huko unakoabudu bado unatoa pesa, hata Kama uitafutie majina mazuri namna gani lakini bado unatoa pesa. Mwamposa amebarikiwa kuwa na Mvuto au kibali Cha watu, huenda wakati wake ukapita, lakini atabaki kwenye kumbukumbu za waamini Mungu kuwa, Mwamposa alikuwa na kibali. Mafundisho yake yapo OPEN Sana, anakuambia ukweli kabisa, kwamba, kuendesha kipindi Cha Tv LIVE kwenye station, ni gharama, anakuomba, Kama unaweza, changia elf 50, 20 au 10, lakini hakulazimishi Wala hakusimangi kwanini hujatoa. Wote wanaotoa, wanatoa kwa hiari yao. Na kusema ukweli tu, watu wanaotoa sadaka,popote, iwe msikitini, kanisani au kwa waganga ndiyo wanaofanikishwa zaidi, maskini ndiye mwenye tabia zakuona anaibiwa na bado hata hafanikiwi pamoja na ubahili wake.
Hayo ni maoni yangu binafsi
Nimekwambia Ni pesa ya bwana wewe unataka upeleke mtoto shuleAhahahaha.
Nenda kaombe milioni 2 umpeleke mtoto shule ndo utajua kazi ya wale ma bodyguard wa manabii
bwawa Mwamposa?Nimekwambia Ni pesa ya bwana wewe unataka upeleke mtoto shule
Kuna jamaa kasema demu wake alikua mkeshan leo baadae wanakutana lodge hiki ndio kunachonishangaza inakuaje mtu habadiliki bada ya kwenda huko....Haohao wanaokanyaga mafuta ndio huliwa mpaka tigo.
Dini gani isiyobadili mwenendo wa mtu?
Akili kichwani
Ni masharti ya Ibilisi kuwa ukihuburi usikemee dhambi wala kumtajataja .Kuna jamaa kasema demu wake alikua mkeshan leo baadae wanakutana lodge hiki ndio kunachonishangaza inakuaje mtu habadiliki bada ya kwenda huko....
Ila dhambi hamtaki kuacha.Niliweka nadhiri ya kusoma kitabu cha ZABURI
zaburi ina masomo 150 nilisoma na kutafakari asubh na usiku mpk kumaliza nilitumia miezi mitatu.....sikupata majibu ya maombi yangu..
Jinsi ilivyo kua ngumu kwa mtu kama mimi kwenda kusali makanisa kilokole na wokovu.....
Dada angu mmoja rafik wa brother angu alikuaga ananambia mara kwa mara Am 4 real twende kwa mwamposa....
In short nilikaa na kujitafakari sana siku moja miaka mingi sana iliyo pita nikaenda kwa mwamposa
For sure kama una mtu kwenu mwenye tatizo au jambo lolote jaribu kwenda pale hata kama hauna imani...
Ninashuhudia nimeshuhudia matendo makuu ya MUNGU kupitia arise & shine...
Utakuja hapa nakuahid utakuja kutupa ushuhuda......
Acha watu wafunguliwe,nchi inahitaji sana maombi hiiBwana Yesu asifiwe?
Bila shaka asilimia 70 ya watanzania wamchao Mungu, muda huu wenye tvs watakuwa live kufuatilia kongamano kubwa la VUKA NA CHAKO ikiwa ni maono ya mtumishi Boniphace Mwamposa yenye maudhui ya kuupokea mwaka mpya ukiwa tayari umeshapokea Baraka, uponyaji, Rehema na Mambo mengine kwa uweza wa Bwana Yesu.
Nimeona nikuwekee tukio hili kwasababu siyo kongamano dogo, uwanja umejaa kabisa. Kongamano hili lipo live kupitia channel ya ARISE AND SHINE TV. Jiungamanishe nawe uvuke na chako.
=========
Mpaka saa 22:42 apostle Mwamposa alikuwa hajapanda kwenye madhabahu yaliyoandaliwa katika uwanja wa mpira wa Benjamin Mkapa, ila kwaya na ahuhuda , sadaka na matangazo ya kawaida yalikuwa yanaendelea
======
23:10 Apostle Mwamposa aliwasili na kuanza ya Mkesha kwa kufugua na sala ya BABA YETU ULIYE MBINGUNI
View attachment 2449383View attachment 2449384View attachment 2449383
View attachment 2449385
Wewe ndiobwawa Mwamposa?
Umaskini na uchawi wa asili ndio inawasumbua angekuwa Mondi au zuchu anaimba nyimbo za ngono au Kofi Olomide mngeshinda mnasifia hapa Kwa kuwa ni kazi ya mungu sioni ajabu wewe ajenti wa shetani au mpinga kristowacha wakanyage hayo mafuta safari wafe hata 400akili iwakae sawa
Watu walikanyaga mafuta usiku je ni kweli? Na wengine eti wameanguka na kuumia au kufa je ni kweli?Bwana Yesu asifiwe?
Bila shaka asilimia 70 ya watanzania wamchao Mungu, muda huu wenye tvs watakuwa live kufuatilia kongamano kubwa la VUKA NA CHAKO ikiwa ni maono ya mtumishi Boniphace Mwamposa yenye maudhui ya kuupokea mwaka mpya ukiwa tayari umeshapokea Baraka, uponyaji, Rehema na Mambo mengine kwa uweza wa Bwana Yesu.
Nimeona nikuwekee tukio hili kwasababu siyo kongamano dogo, uwanja umejaa kabisa. Kongamano hili lipo live kupitia channel ya ARISE AND SHINE TV. Jiungamanishe nawe uvuke na chako.
=========
Mpaka saa 22:42 apostle Mwamposa alikuwa hajapanda kwenye madhabahu yaliyoandaliwa katika uwanja wa mpira wa Benjamin Mkapa, ila kwaya na ahuhuda , sadaka na matangazo ya kawaida yalikuwa yanaendelea
======
23:10 Apostle Mwamposa aliwasili na kuanza ya Mkesha kwa kufugua na sala ya BABA YETU ULIYE MBINGUNI
View attachment 2449383View attachment 2449384View attachment 2449383
View attachment 2449385
Bado sadaka tuseme kila mtu elfu mojaMakadirio ya chini ni 120000000.
Mafuta chupa 1. 60000000
Maji chupa 1. 60000000.
Ukitoa gharama za kuendesha kongamano milioni 30. Anabakiwa na milioni 90. Mfukoni
Wakristo hawaliwi Tozo ovyo nenda Zanzibar ,, au angalia hata majina yao Asha zungu, yule Amber rutty Ni Muslim na bwana ake wanavaa msuli na barakasheeHaohao wanaokanyaga mafuta ndio huliwa mpaka tigo.
Dini gani isiyobadili mwenendo wa mtu?
Akili kichwani
Wengu Sana hawatoi sadaka huwezi pata average ya 1000tzs kwa watu walioendaBado sadaka tuseme kila mtu elfu moja
Sio udini Kishki ni nani? Mimi mkristo sijui,tuanzie hapoAcha uzishi wewe, uliuliza dini zao kwa kila aliyeingia pale? Kumbuka hatuzungumzii dini za walioingia Bali kujaa uwanja
Habar yako bwana sandali Ali....Ila dhambi hamtaki kuacha.
Muujiza mkuu mbele za Mungu ni binadamu kuacha dhambi.
Haya mambo mengine hata wabudha, waislamu, Wakristo na waganga huvifanya