Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁Asante kaka
Kuna demu wangu mmoja leo tu jioni nimetoka kumuonga kaenda hapo. Nimeumia pesa yangu ya kuonga itaenda kwa huyu mzee wa upako
Huyu nabii huwa simkubaligi kabisa
😂😂😂😂 unataka nishtakiwe na jamuhhuri
Uponyaji kwa imani yako.
Uponyaji kwa imani yako.
Jana aliniambia atakuwa huko nikamuuliza VUKA NA CHAKO lengo lake ni nini
Jamaa anawaambia kabisa wapambane wavuke na chao mkononi sasa akaona awajaribu kama wamemuelewa hapo alipo yupo surprised kwamba kumbe hawakumuelewa wamemletea tena awatunzie."vuka na chako"
anaenda kuomba anataka avuke na wewe mkuu hadi 2023Jana aliniambia atakuwa huko nikamuuliza VUKA NA CHAKO lengo lake ni nini
Akaniambia mfano kuvuka na uzima, kazi, mume, mke, nyumba, mavuno, afya, cheo kazini, ujenzi n.k
Nikaona huyu mwamba kawateka wanawake. Hawa viumbe ni rahisi sana kudanganyika aisee.
Mimi bado hajanishawishiUponyaji kwa imani yako.
Na ukiona mkeo ameanza kuwasikiliza hawa jamaa kama mali zako uliziandika randomly kwa mtiririko wa kifamilia kaa chini tulia ziandikie vizuri maana muda wowote mnaweza kugawana vitu.Jana aliniambia atakuwa huko nikamuuliza VUKA NA CHAKO lengo lake ni nini
Akaniambia mfano kuvuka na uzima, kazi, mume, mke nyumba, mavuno, afya, cheo kazini, ujenzi n.k
Nikaona huyu mwamba kawateka wanawake. Hawa viumbe ni rahisi sana kudanganyika aisee.
Na ndio ndoto zake ananiita eti mume wake 🤣🤣🤣 nimepanga tu kuchakata nisepe. So far nimekula mzigo mara mojaanaenda kuomba anataka avuke na wewe mkuu hadi 2023
Hakika yule jamaa anawaroga si bureNa ukiona mkeo ameanza kuwasikiliza hawa hawa jamaa kama mali zako uliziandika randomly kwa mtiririko wa kifamilia kaa chini tulia ziandikie vizuri maana muda wowote mnaweza kugawana vitu.
ngoja mhuni apige pesatu. siwanaji peleka wenyewe. 🤣🤣🤣Na ukiona mkeo ameanza kuwasikiliza hawa hawa jamaa kama mali zako uliziandika randomly kwa mtiririko wa kifamilia kaa chini tulia ziandikie vizuri maana muda wowote mnaweza kugawana vitu.