Queen Kan
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 5,226
- 8,961
Sasa we babu unasomesha hadi leo kwani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa we babu unasomesha hadi leo kwani?
Kwenye channel yakeNaona hapa yuko live sijui chanel gani hii
Ila Serikali haiko serious, imetukatia umeme kwenye mechi muhimu halafu inakuja kuruhusu unit zipotee kirahisi namna hii?
Wenzio wapo live kwa imani zao dhabit.Mimi bado hajanishawishi
Sema izi mambo bhana kila mtu na angke yake... Yan me ndo napata taarifa kwamba kuna hii mambo apa.Poleni na uchovu
Ivi kuna mtu mwingine anae weza jaza uwanja wa taifa ukitoa simba na yanga wanaweza kujaza uwanja
Hila huyu mtu kajua kuwateka wa tanzania hila sikuizi watu wanapenda miujiza haya
Na hapo bado njee kuna watu wanasubili kuingia tutegemee nini?
Arise and shine no 117 stertimeNaona hapa yuko live sijui chanel gani hii
Ila Serikali haiko serious, imetukatia umeme kwenye mechi muhimu halafu inakuja kuruhusu unit zipotee kirahisi namna hii?
Ng'ombe hazeeki maini...Sasa we babu unasomesha hadi leo kwani?
Pole sana mzee..Kuna demu wangu mmoja leo tu jioni nimetoka kumuonga kaenda hapo. Nimeumia pesa yangu ya kuonga itaenda kwa huyu mzee wa upako
Nimeshapoa mzee babaPole sana mzee..
Miguu si anachanua lakini?
Basi hapo utakuta mechi ya playoff kesho umeme unakatikaArise and shine no 117 stertime
Humpumzishi hata baada ya kutoka kupokea upako mzee..[emoji3][emoji3]aah kmmmkNimeshapoa mzee baba
Anachanua kama kawa. Kesho tu hapo tushakubaliana namchanua na upako wake
Hii ni mechi ya imani kwa mwanadamu na Mungu lazima wajae na umeme haukatiki, ila kesho ni mechi ya warabu wa ulaya na wazungu umeme ni amri na si ombi lazime fyuuuuuuu Giza Nene.Basi hapo utakuta mechi ya playoff kesho umeme unakatika
Yani kwenye vile vitu muhimu lazima umeme ukatike
Watu wamejaa uko hakuna pakupumuaSema izi mambo bhana kila mtu na angke yake... Yan me ndo napata taarifa kwamba kuna hii mambo apa.
Sent from my SO-01K using JamiiForums mobile app
Wanatak ndoa na watotoKawateka akina mama na akina dada saaana
Usinitishe tena KOMA KABISA kawatishe watu wakijijini kwenuNakuonya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]km umeonga 30 dem anaenda kutoa vuka na chako 20 ,ten anabaki nalo kwa ajili ya matumiz yake,yaan mwamposa anakula 20 safiiiii kupitiaa jasho lako na dem wako ..Kuna demu wangu mmoja leo tu jioni nimetoka kumuonga kaenda hapo. Nimeumia pesa yangu ya kuonga itaenda kwa huyu mzee wa upako
Mbona wanahema kwa amani ya muumba wa mungu!. Wako Safi usihofu.Watu wamejaa uko hakuna pakupumua