Mkesha wa VUKA NA CHAKO: Kutoka Uwanja wa Benjamin Mkapa na prophet Boniphace Mwamposa - 16/12/2022

Mkesha wa VUKA NA CHAKO: Kutoka Uwanja wa Benjamin Mkapa na prophet Boniphace Mwamposa - 16/12/2022

Unajua mechi ngapi muhimu umeme ulikuwa wakusuasua?

Huwezi amini tulifikiria pengine tukifika hatua ya robo fainali hii zahma itakoma lakini wapi

Juzi mpaka kwenye mechi ya nusu fainali France na Morrocco bado kuna maeneo walikosa mechi hiyo kwasababu ya umeme

Leo hii huoo kwa Mkapa unawaka utafikiri sio hui uliokuwa unakatika (ambao unaweza kukatika na tena kesho kwenye playof
Huwez bishana na serikali.. huwa haikosi majibu
 
Jamaa anapesa sana na anazilipa chanel zikimpa airtime
Sasa hapa naweza kupata concept

Kuna uwezekano huu muda anaoutumia kunadi sera zake kwa kuchezea umeme kwa yale ma spot light haujatolewa bure
 
Back
Top Bottom