jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Wewe ulitaka apate shingapi??Kongamano la leo jamaa anaingiza billon 2...maan nasikia la Iringa alipata 1 billipn
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
#MaendeleoHayanaChama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ulitaka apate shingapi??Kongamano la leo jamaa anaingiza billon 2...maan nasikia la Iringa alipata 1 billipn
Sent from my TECNO CA6 using JamiiForums mobile app
Na hata akiweka kiingilio wataajazana tuPoleni na uchovu
Ivi kuna mtu mwingine anae weza jaza uwanja wa taifa ukitoa simba na yanga wanaweza kujaza uwanja
Hila huyu mtu kajua kuwateka wa tanzania hila sikuizi watu wanapenda miujiza haya
Na hapo bado njee kuna watu wanasubili kuingia tutegemee nini?
Inawezekana ila sijui mwenzangu umelewa maji ya aina ipi!Umelewa maji ya upako?
Pepo wasafi na wachafu wote ni pepo, pipa mwenzie ni ufuniko. Unajisifu kwa upuuzi.Hapo uwanjani kuna mtu nimemla leo na ameenda kwa Mwamposa. Sasa najiuliza ameenda kutubu au kushangaa.
TVENaona hapa yuko live sijui chanel gani hii
Ila Serikali haiko serious, imetukatia umeme kwenye mechi muhimu halafu inakuja kuruhusu unit zipotee kirahisi namna hii?
Kati ya mwanamke na mwanaume anaenza kushambuliwa sana na shetani au adui ni mwanamke hivyo ndiyo yupo kwenye hatari, uzao ni wa mwanamkeKawateka akina mama na akina dada saaana
Shetani haendagi mbali huwa anazunguka zuka karibu akitafuta wakummezaHajulikani huyo mwamposa nipo hp nje kuna madada poa kibao,tunakula neno + utelezi bure.
Kaenda kutubu na wewe katubu.Hapo uwanjani kuna mtu nimemla leo na ameenda kwa Mwamposa. Sasa najiuliza ameenda kutubu au kushangaa.
Kuelewa nini kiongozi?Hivi Ni Mimi peke yangu TU ndo sijaelewa[emoji848]