Mkesha wa VUKA NA CHAKO: Kutoka Uwanja wa Benjamin Mkapa na prophet Boniphace Mwamposa - 16/12/2022

Mkesha wa VUKA NA CHAKO: Kutoka Uwanja wa Benjamin Mkapa na prophet Boniphace Mwamposa - 16/12/2022

Mmm kwanini nao wasipange siku tofauti? Kazi ipo !
Hilo tamasha ni umoja wa vyuo Karistimatiki Katoliki hufanyika kila mwaka maarufu kama usiku wa sifa! Huko pia uwanja wa uhuru kumejaa wana vyuo! Kutakuwa na misa itayoongozwa na Askofu mkuu then usiku wa sifa unaanza. Ni tamasha kubwa sana .... nafikiria hali itakuwaje pale ...
 
Inshort..ngapi ngapi huko?

Maana kuna bifu kubwa sana kwenye haya madhehebu.
Hilo la Kanisa Katoliki ni tamasha la kila mwaka huandaliwa na umoja wa vyuo Karistimatiki Katoliki! Hivyo asilimia kubwa ni wanachuo wa vyuo mbalimbali lakini idadi yao huwa ni kubwa sana. Sasa nafahamu stage na sound wanayofunga huwa si kitoto alafu Mwaposa nae amefunga! Hatari!
 
Hilo tamasha ni umoja wa vyuo Karistimatiki Katoliki hufanyika kila mwaka maarufu kama usiku wa sifa! Huko pia uwanja wa uhuru kumejaa wana vyuo! Kutakuwa na misa itayoongozwa na Askofu mkuu then usiku wa sifa unaanza. Ni tamasha kubwa sana .... nafikiria hali itakuwaje pale ...
Natoa vibali nao mmm [emoji3] wana lao jambo si bure.
 
Hilo la Kanisa Katoliki ni tamasha la kila mwaka huandaliwa na umoja wa vyuo Karistimatiki Katoliki! Hivyo asilimia kubwa ni wanachuo wa vyuo mbalimbali lakini idadi yao huwa ni kubwa sana. Sasa nafahamu stage na sound wanayofunga huwa si kitoto alafu Mwaposa nae amefunga! Hatari!
Duh!
 
Bwana Yesu asifiwe?

Bila shaka asilimia 70 ya watanzania wamchao Mungu, muda huu wenye tvs watakuwa live kufuatilia kongamano kubwa la VUKA NA CHAKO ikiwa ni maono ya mtumishi Boniphace Mwamposa yenye maudhui ya kuupokea mwaka mpya ukiwa tayari umeshapokea Baraka, uponyaji, Rehema na Mambo mengine kwa uweza wa Bwana Yesu.
Nimeona nikuwekee tukio hili kwasababu siyo kongamano dogo, uwanja umejaa kabisa.
Kongamano hili lipo live kupitia channel ya ARISE AND SHINE TV
Jiungamanishe nawe uvuke na chako.
=========
Mpaka saa 22:42 apostle Mwamposa alikuwa hajapanda kwenye madhabahu yaliyoandaliwa katika uwanja wa mpira wa Benjamin Mkapa, ila kwaya na ahuhuda , sadaka na matangazo ya kawaida yalikuwa yanaendelea
======
23:10 Apostle Mwamposa aliwasili na kuanza ya Mkesha kwa kufugua na sala ya BABA YETU ULIYE MBINGUNI
View attachment 2449383View attachment 2449384View attachment 2449383
View attachment 2449385

Jamaa kajitahidi kuujaza uwanja wa mkapa sio issue ndogo. Anahitaji pongezi kwa Hilo.
 
Kama watu wanatoa pesa na wanapokea matamanio ya mioyo yao, yaani wanafanikishwa, acha watoe, ukidhani nivirahisi, itisha kongamano na wewe uone kama utawapata hao watu. Tusiwe na mawazo yenye mlengo hasi tu, tujifunze pia kwanini Boniphace Mwamposa kafanikiwa hivi na iwe chachu kwenye maisha yetu

Sema Mwamposa aangalie Hawa watoa ushuhuda, ipo siku watamuharibia.
 
Poleni na uchovu

Ivi kuna mtu mwingine anae weza jaza uwanja wa taifa ukitoa simba na yanga wanaweza kujaza uwanja

Hila huyu mtu kajua kuwateka wa tanzania hila sikuizi watu wanapenda miujiza haya

Na hapo bado njee kuna watu wanasubili kuingia tutegemee nini?

View attachment 2449376

Nadhani watu wamechoka. Serikali imeshindwa kutimiza ahadi zake na Maisha ni magumu. Mwamposa amekuwa Kama kimbilio.
 
Back
Top Bottom