Hilo tamasha ni umoja wa vyuo Karistimatiki Katoliki hufanyika kila mwaka maarufu kama usiku wa sifa! Huko pia uwanja wa uhuru kumejaa wana vyuo! Kutakuwa na misa itayoongozwa na Askofu mkuu then usiku wa sifa unaanza. Ni tamasha kubwa sana .... nafikiria hali itakuwaje pale ...Mmm kwanini nao wasipange siku tofauti? Kazi ipo !
Hilo la Kanisa Katoliki ni tamasha la kila mwaka huandaliwa na umoja wa vyuo Karistimatiki Katoliki! Hivyo asilimia kubwa ni wanachuo wa vyuo mbalimbali lakini idadi yao huwa ni kubwa sana. Sasa nafahamu stage na sound wanayofunga huwa si kitoto alafu Mwaposa nae amefunga! Hatari!Inshort..ngapi ngapi huko?
Maana kuna bifu kubwa sana kwenye haya madhehebu.
Hakuna uchawi mzuri haswa ule wa kumtegemea Mungu, kweli nakueleza wejaribu kusali kwa bidii au kuswali mengi mabaya yatakupita na amani moyoni mwako itakuwepo muda wote. sema Amen.Huyo jamaa Ni mchawi.
Wivu huzaa chuki.anazungumzia mpigaji mwamposa
Natoa vibali nao mmm [emoji3] wana lao jambo si bure.Hilo tamasha ni umoja wa vyuo Karistimatiki Katoliki hufanyika kila mwaka maarufu kama usiku wa sifa! Huko pia uwanja wa uhuru kumejaa wana vyuo! Kutakuwa na misa itayoongozwa na Askofu mkuu then usiku wa sifa unaanza. Ni tamasha kubwa sana .... nafikiria hali itakuwaje pale ...
Kama ni mali safi nakupa moyo ng'ang'ana nayo.Na ndio ndoto zake ananiita eti mume wake [emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimepanga tu kuchakata nisepe. So far nimekula mzigo mara moja
Watakuelewa wachacheRuhusu sayansi itawale maisha yako sio miujiza
Ndo dem wako anamkubali mno haina boboAsante kaka
Kuna demu wangu mmoja leo tu jioni nimetoka kumuonga kaenda hapo. Nimeumia pesa yangu ya kuonga itaenda kwa huyu mzee wa upako
Huyu nabii huwa simkubaligi kabisa
Duh!Hilo la Kanisa Katoliki ni tamasha la kila mwaka huandaliwa na umoja wa vyuo Karistimatiki Katoliki! Hivyo asilimia kubwa ni wanachuo wa vyuo mbalimbali lakini idadi yao huwa ni kubwa sana. Sasa nafahamu stage na sound wanayofunga huwa si kitoto alafu Mwaposa nae amefunga! Hatari!
Kama amebama kdot yuko pembem hapaPoa tu cha muhimu ananipa utelezi wenye upako 🤣🤣🤣
Bwana Yesu asifiwe?
Bila shaka asilimia 70 ya watanzania wamchao Mungu, muda huu wenye tvs watakuwa live kufuatilia kongamano kubwa la VUKA NA CHAKO ikiwa ni maono ya mtumishi Boniphace Mwamposa yenye maudhui ya kuupokea mwaka mpya ukiwa tayari umeshapokea Baraka, uponyaji, Rehema na Mambo mengine kwa uweza wa Bwana Yesu.
Nimeona nikuwekee tukio hili kwasababu siyo kongamano dogo, uwanja umejaa kabisa.
Kongamano hili lipo live kupitia channel ya ARISE AND SHINE TV
Jiungamanishe nawe uvuke na chako.
=========
Mpaka saa 22:42 apostle Mwamposa alikuwa hajapanda kwenye madhabahu yaliyoandaliwa katika uwanja wa mpira wa Benjamin Mkapa, ila kwaya na ahuhuda , sadaka na matangazo ya kawaida yalikuwa yanaendelea
======
23:10 Apostle Mwamposa aliwasili na kuanza ya Mkesha kwa kufugua na sala ya BABA YETU ULIYE MBINGUNI
View attachment 2449383View attachment 2449384View attachment 2449383
View attachment 2449385
Kama watu wanatoa pesa na wanapokea matamanio ya mioyo yao, yaani wanafanikishwa, acha watoe, ukidhani nivirahisi, itisha kongamano na wewe uone kama utawapata hao watu. Tusiwe na mawazo yenye mlengo hasi tu, tujifunze pia kwanini Boniphace Mwamposa kafanikiwa hivi na iwe chachu kwenye maisha yetu
Poleni na uchovu
Ivi kuna mtu mwingine anae weza jaza uwanja wa taifa ukitoa simba na yanga wanaweza kujaza uwanja
Hila huyu mtu kajua kuwateka wa tanzania hila sikuizi watu wanapenda miujiza haya
Na hapo bado njee kuna watu wanasubili kuingia tutegemee nini?
View attachment 2449376
Watanzania wanajaza uwanja Kwa Simba na Yanga, diamond,zuchu,mwamposa
Wapi Jiodevidi 🧐 yeye huwa anajaza uwanja wa A town eeh
M 60 wamefikaa hapo na wengine wamepakatanaa n kwelii mkuu au???
Jutaid hudhulie tule keki ya upako bhnaNilishasema naamini katika Mungu namuomba natoa kwa wenye uhitaji ila sitoenda kwenye makanisa hadi wafute sadaka