Mkoa gani hata ukipewa nyumba na gari hauwezi kuishi?

Duuuh mawazp finyu kabisa umeandika leo
Kwanza sijui unatokea mkoa gan unapata mda wa kuwaza ujinga namna hii,atakayekupa hiyo nyumba ba gari bure ni nani may be we ni chai maharage
 
Watu na vijimaneno, mbona wengi tu wapo USA na huko ughaibuni lakini kazi zao kubwa ni kusafisha vibibi vya kizungu vinapojiharishia, lakini wameshindwa kuwaangalia mama zao na bibi zao. Africans wake up!
 
Hakuna huo mkoa. Labda ungeliboresha useme my be nchi gani huwezi kuishi hata upewe hizo facilities.
 
Ukiona binadamu yeyote anayeshindwa kujiamulia sehemu sahihi ya kuishi,huyo hana tofauti na mnyama.
 
Utakuwa chizi labda,Tzn hapa hakuna sehemu inayofaa zaidi ya nyingine
 
Utakuwa chizi labda,Tzn hapa hakuna sehemu inayofaa zaidi ya nyingine
To be fair- Kama choices zipo,kuna sehemu ni bora kuliko nyingine ndani ya Tanzania.Based on my own experience-kuna sehemu kuna ulozi kiasi kwamba huwezi kufanya shughuli za kimaendeleo kama ni mgeni- ni changamoto.Kuna sehemu swala la usafiri ni janga,hospitali ni hadithi
 
Mkuu kama umezaliwa hapo Dom na umekulia hapo hauwezi elewa hii kitu endelea kula vumbi
Dom ipi yenye vumbi,kuna Mji wenye mtandao mkubwa wa lami kama Dom kwa sasa? Na bado ring road bado utalinganisha Dom na hivyo vi slum town vyenu kweli? U can't be serious..Dom is Abuja to come
 
Kuna jamaa humu amewahi kukiri kwamba amekaa sumbawanga miaka 13 hajawahi kurogwa ila alipohamia Daslam anapigwa ndere za kufa mtu,
Just incase Umeikataa swax sabab ya ndere

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Sumbawanga siyo pabaya kiukweli,labda sijajua kwann mhusika amepa-disqualify.Uzuri au ubaya wa sehemu huwa ni choices ya mtu binafsi.
 
Sasa kwa taarifa yako ulozi uko Tanga Pwani yote hadi Mtwara,Tabora na Mbeya .Swax huwa ni story tuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…