Mkoa gani hata ukipewa nyumba na gari hauwezi kuishi?

Kama wewe ni boda boda ulikuja dodoma kuanza maisha,au ulikuja kutafuta centre za kufundishia watoto tuition au ulikuja kufanya kilimo cha maindi lazma upadiss dodoma…

Kwa taarifa yenu dodoma kuna hela,hali ya hewa nzuri na watu tunapata pesa malundo kwa malundo..unasema unapauka wakati unapaka babygel asbhi..

Washamba..nyie labda mlifika kongwa,mpwapwa au bahi mnasema mpo dodoma..dodoma njoo na hela ndo utaenjoy..
 
Kweli kabisa. Sehemu yoyote inategemea jinsi ulivyo adaptable.
 
We boya umenichekesha sana kwamba jioni navaa soks na malapa meupe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mi mlume ndago mtafutaji nafuga raia kadhaa kula na shopping zao
Unafuga raia... Kuna aliyechangia akiashiria una kiburi (cha pesa).
 
Kwa sisi wenye akili za kwenye kibakuli tumewaza hv.........
Mwenye kuutunga huu uzi probably


Ni akili yangu mbov imeyaona hayo.
Lastly, Dodoma ni moja ya mikoa yenye mzunguko mzuri sana kipesa (kwa wale wanaharakati wanaojishughulisha kwa chochote),.. Unless uwe na akili za aloleta huu uzi.
 
Mkuu kama umezaliwa hapo Dom na umekulia hapo hauwezi elewa hii kitu endelea kula vumbi
We unaonekana bado dogo sana na maisha hujayaanza, watu tumeanzia maisha Dodoma mika ya 90 na tuliyamudu vizuri tu.
 
Katika sehemu zilinifanya nienjoy japo sikuwa na pesa ni Tanga mjini nako pazuri ukiwa una pesa hauchoki wala kudhoofu afya.
Moshi Kilimanjaro au Arusha mjini mpaka hiyo meru ni kuzuri good Weather.
Iringa nayo nimekaa kidogo sana napo patakuwa pazuri.

Dodoma kama huna kipato au pesa ni ngumu kwako na ukaamua kuishi ili mradi siku ziende. Nyumba mbovu, msosi duni lazima Upauke kila kitu kuanzia ngozi, nywele, nguo unayovaa tena ukute ni moja, utachomwa na jua kali na vumbi kwako la upepo kama lote na usiku baridi ni yako na kipindi cha mbuu ni chako, maji ya kunywa ya chumvi kali kiu haikati😅
Dodoma ya watanzania bhana 😅 ukitaka uishi pale vizuri basi Shariti uwe na kipato na pesa ya uhakika lakini vinginevyo lazima ufubae na hizo ghasia hapo, nimeishi huko napajua. Ankara lazima kwa dodoma.
 
Hapa inabidi iwe mikoa ambayo nilishakanyaga, Dar es salaam, Mwanza, Arusha, Dom, Singida, Tabora, Shinyanga....kati ya hii Singida sikai hata nipewe vieite.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapa inabidi iwe mikoa ambayo nilishakanyaga, Dar es salaam, Mwanza, Arusha, Dom, Singida, Tabora, Shinyanga....kati ya hii Singida sikai hata nipewe vieite.
Kila mkoa uko na maeneo ambayo ukiishi kwe hayo maeneo either utayapenda or utayachukia, so Probably ulikuwa somewhere ndichi sana, ndo maana hupaelewi...
Fanya kampango upate ka hela uje uishi sehem panaitwa ""unyakhae"" au mtaa wa freemanson.....
Naimani hutokaa uidiss singida.
Welcom mtaan kwetu[emoji23][emoji23].
Kikubwa uwe na jax tu, mana huku hawastahimili wenye vi pesa vya mawazo
 
mkuu umechafukwa[emoji119][emoji119][emoji23][emoji23]
 
Kiukweli sehemu nitayoishi mimi maisha ya kupumzika na familia yangu lazima nizingatie vitu viwili vikubwa cha kwanza ni hali rafiki ya kijeografia na pili ni wakazi wa eneo husika ni watu wa aina gani tosha.
Ila kwa kipindi hiki cha uhangaikaji popote kambi kwa kweli.
 
Hata nipewe na burungutu la pesa, singida sikai....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…