Mkoa upi hapa Tanzania wenye vitu vya asili kwa wingi vyenye Ladha nzuri?

Mkoa upi hapa Tanzania wenye vitu vya asili kwa wingi vyenye Ladha nzuri?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Naomba kujua experience yako kwenye vitu vya kula kula me nilionaga dodoma labda ndo ardhi yake Safi Sana kuanzia karanga na Nyanya na Viazi na mboga za majani za dodoma ni bora zaidi. Yaani viwe ambavyo vya asili kabisa sio vya Madawa Madawa mengi. Mkoa gani una hiyo ardhi sijafika bukoba, kilimanjaro, iringa, morogoro kuna ardhi tu lazima itakuwepo iliyojaliwa TASTE.
 
Naomba kujua experience yako kwenye vitu vya kula kula me nilionaga dodoma labda ndo ardhi yake Safi Sana kuanzia karanga na Nyanya na Viazi na mboga za majani za dodoma ni bora zaidi. Yaani viwe ambavyo vya asili kabisa sio vya Madawa Madawa mengi. Mkoa gani una hiyo ardhi sijafika bukoba, kilimanjaro, iringa, morogoro kuna ardhi tu lazima itakuwepo iliyojaliwa TASTE.
Kilimanjaro na Kigoma
 
Naomba kujua experience yako kwenye vitu vya kula kula me nilionaga dodoma labda ndo ardhi yake Safi Sana kuanzia karanga na Nyanya na Viazi na mboga za majani za dodoma ni bora zaidi. Yaani viwe ambavyo vya asili kabisa sio vya Madawa Madawa mengi. Mkoa gani una hiyo ardhi sijafika bukoba, kilimanjaro, iringa, morogoro kuna ardhi tu lazima itakuwepo iliyojaliwa TASTE.
Tabora ni kitovu cha vitamu.Utapata muhogo,viazi vitamu,mahindi,mpunga,karanga,njugu,kunde,mbaazi,dengu,maharage,mbogamboga za asili kama mrenda,uyoga,nsansa n.k.Upande wa matunda mwitu unapata ntalali,nfulu,mbula,Ndati, ntonga,nsalasi,magogonti,zambalau n.k.Upande wa matunda ya kawaida unapata embe Bolibo,embe dodo,embe sindano,embe kunguni,Pera,papai ni.k.
Karibu sana.
 
mmhh saivi kuna kitu gani icho utalima na ukavuna pasi kutia haya madawa makali makali ya viwandani? labda ndizi sijui[emoji2369]
Dodoma wanalima mazao yote kuanzia kupanda hadi kuvuna hawatumii mbolea za kisasa wala madawa ya kilimo....Ardhi yao imebarikiwa sana.Imagine hadi Mahindi wanapanda na kuvuna hawalazimiki kuweka mbolea wala matuta.
 
Hebu njoo Mwanza hutojutia unapiga supu ya sangara ama sato km hutaki utakunywa maziwa na viazi vitam au makande,mchembe,matobholwa ama unakula ugali sato sangara dagaa waliokaangwa.Kuna mboga za fasta chap haraka km nzubo, nenda na karango ndugu huku ndo maana tuna nguvu vitu vyote hivo vinapikiwa mafuta og samuri.
 
Back
Top Bottom