Mkoa upi hapa Tanzania wenye vitu vya asili kwa wingi vyenye Ladha nzuri?

Mkoa upi hapa Tanzania wenye vitu vya asili kwa wingi vyenye Ladha nzuri?

Naomba kujua experience yako kwenye vitu vya kula kula me nilionaga dodoma labda ndo ardhi yake Safi Sana kuanzia karanga na Nyanya na Viazi na mboga za majani za dodoma ni bora zaidi. Yaani viwe ambavyo vya asili kabisa sio vya Madawa Madawa mengi. Mkoa gani una hiyo ardhi sijafika bukoba, kilimanjaro, iringa, morogoro kuna ardhi tu lazima itakuwepo iliyojaliwa TASTE.
Nipo Hapa Morogoro, Ukienda Kiloka Unachotaka Utapata Vingi Sana
 
Kama inapitia vipindi virefu vya mapumziko bila kulimwa kwa ukosefu wa mvua , lazima ardhi iwe na rutuba , sehemu nyingne zinazotumia mbolea ya kuwekwa unakuta linalimwa hata kwa mwaka mara tatu kama kilimanjaro , ardhi haina mapumziko lazima uongezee mbolea ya mifugo kidogo .
Ndio hali inayotokea Iringa na Mbeya... ardhi inawekwa mbolea kiasi wasipoweka hawapati kitu.
 
Kumbe ni wasingidani !.. hongera sana.. Japo toka nisikie vijiji vyenu ni makao makuu ya nyoka. Stimu ilikata kabisa hata kupatembelea 😁
Ndugu yake Tundu Lissu to be specific, 😅

Hamna nyoka yoyote we njoo bana tukupikie mlenda mweusiii 😂
 
Kwa hiyo binti umeona mimi ni wa kukaribishwa mlenda mweusi kuliko kuku aliyenona 😁
Hivi eenhee nilisahau tuna kuku!! Kuna mama yangu mdogo kijijini, ana kuku kibao halafu hachinji, ila tukifika sisi anachinja double double,.

Mgeni njoo...
 
Back
Top Bottom