Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
🙆🙆Eee mungu saidianaijua mbona,,so itakuja apo soon
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙆🙆Eee mungu saidianaijua mbona,,so itakuja apo soon
😂😂 Ameeeeen🙆🙆Eee mungu saidia
Ushajua address yangu nipe yako bas😂😂 Ameeeeen
Nipo Hapa Morogoro, Ukienda Kiloka Unachotaka Utapata Vingi SanaNaomba kujua experience yako kwenye vitu vya kula kula me nilionaga dodoma labda ndo ardhi yake Safi Sana kuanzia karanga na Nyanya na Viazi na mboga za majani za dodoma ni bora zaidi. Yaani viwe ambavyo vya asili kabisa sio vya Madawa Madawa mengi. Mkoa gani una hiyo ardhi sijafika bukoba, kilimanjaro, iringa, morogoro kuna ardhi tu lazima itakuwepo iliyojaliwa TASTE.
fanya nilvofanya mimi adi kujuaUshajua address yangu nipe yako bas
Ndio hali inayotokea Iringa na Mbeya... ardhi inawekwa mbolea kiasi wasipoweka hawapati kitu.Kama inapitia vipindi virefu vya mapumziko bila kulimwa kwa ukosefu wa mvua , lazima ardhi iwe na rutuba , sehemu nyingne zinazotumia mbolea ya kuwekwa unakuta linalimwa hata kwa mwaka mara tatu kama kilimanjaro , ardhi haina mapumziko lazima uongezee mbolea ya mifugo kidogo .
Ulifanyaje kunijuafanya nilvofanya mimi adi kujua
Ndugu yake Tundu Lissu to be specific, 😅Kumbe ni wasingidani !.. hongera sana.. Japo toka nisikie vijiji vyenu ni makao makuu ya nyoka. Stimu ilikata kabisa hata kupatembelea 😁
Ushaweka picha ya wanyaturu na wanyiramba kichwani 😁😁Binti kiziwi lazima awe toto zurizuri mimi sio mchawi lakini.
Kawaida tu rafiki yangu.Binti kiziwi lazima awe toto zurizuri mimi sio mchawi lakini.
Kawaida kwako ni ajabu kwangu.Kawaida tu rafiki yangu.
Kwa hiyo binti umeona mimi ni wa kukaribishwa mlenda mweusi kuliko kuku aliyenona 😁Ndugu yake Tundu Lissu to be specific, 😅
Hamna nyoka yoyote we njoo bana tukupikie mlenda mweusiii 😂
Wala sijawahi kuwaona hao ila nasikia tu. Kiufupi nimefuata mkumbo.Ushaweka picha ya wanyaturu na wanyiramba kichwani 😁😁
Hivi eenhee nilisahau tuna kuku!! Kuna mama yangu mdogo kijijini, ana kuku kibao halafu hachinji, ila tukifika sisi anachinja double double,.Kwa hiyo binti umeona mimi ni wa kukaribishwa mlenda mweusi kuliko kuku aliyenona 😁
Kwa kuwa umesema, siwezi kubisha Ila wasingidani ni rahisi kuwajua maana, features zao ni sawa na wambulu tuWala sijawahi kuwaona hao ila nasikia tu. Kiufupi nimefuata mkumbo.
Hapo umeongea, next time usisahau point muhimu 😁 nitakaribiaHivi eenhee nilisahau tuna kuku!! Kuna mama yangu mdogo kijijini, ana kuku kibao halafu hachinji, ila tukifika sisi anachinja double double,.
Mgeni njoo...
niliuliza kwa watuUlifanyaje kunijua
Nn?M
mmmmh!
HapanaaaHivi ni kitu kimoja boss
Chenyeweee uduguuu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uduguu hiyo chikandi ndio chikanda? Hiko km sausage?