cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Zipoo had mawungu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Numbu zipo uko au unasifia tu kwenu[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipoo had mawungu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Numbu zipo uko au unasifia tu kwenu[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] pitiku ni majani ya maboga.Aah pitiku mwenzio dagaa [emoji23][emoji23]
Aina ya Togwa yaan Juice huku Dar mnaita ShurubatiMkuu komoni ni pombe?
Kadanganye walevi wew 😂😂😂Zipoo had mawungu, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
👊👊Nimekuelewa vzr kakaAina ya Togwa yaan Juice huku Dar mnaita Shurubati
Ushalishwa matango pori mshkaji wanguniliuliza kwa watu
Wambulu nawajua mno ila wapo overrated mno.Kwa kuwa umesema, siwezi kubisha Ila wasingidani ni rahisi kuwajua maana, features zao ni sawa na wambulu tu
hua sili hayo ni machungu balaaUshalishwa matango pori mshkaji wangu
Hasa huku pande za mitomoniRuvuma!!!!
Ndo inaongozaa! Toka vyakula, vinywaji, matunda etc.
Bro huko kuna matumizi makubwa ya mbolea. Karibia 70% ya hizi mbolea za ruzuku inaishia hukoNjoo Kanda ya Nyanda za Juu Kusini
Mara ya kwanza kuona watu wanatumia mbolea za viwandani hata kwenye kulima mahindi basi ilikuwa ukanda huo.Njoo Kanda ya Nyanda za Juu Kusini
Si unaelewa Uzuri upo machoni pa mtu. Ngoja nikifika karatu nitakuja tuzungumzeWambulu nawajua mno ila wapo overrated mno.
Ko hutaki au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kadanganye walevi wew [emoji23][emoji23][emoji23]
SureSi unaelewa Uzuri upo machoni pa mtu. Ngoja nikifika karatu nitakuja tuzungumze
Ila binafsi sijawahi kuwaelewa kabisa.Si unaelewa Uzuri upo machoni pa mtu. Ngoja nikifika karatu nitakuja tuzungumze
😂😂😂Ko hutaki au? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yah ni kweli lakini kwa Mbeya kuna wilaya kama Rungwe ina ardhi nzuri ya rutuba,haina haja sana ya mbolea ya viwandani,ila Mbozi,Ileje wanatumia sana mbolea ya viwandaniMara ya kwanza kuona watu wanatumia mbolea za viwandani hata kwenye kulima mahindi basi ilikuwa ukanda huo.
Nikavishika vile vichengachengaa nkajisemea mmh kumbe hii ndo mbolea.
WAkati huo nimetokea zangu Dodoma, tushazoea kutia mbegu shambani na kusubiri neema kutoka juu.
JidanganyeMhm dodoma mbona naona kma ni nusu jangwa
Mkuu uko sawa! Nimesoma Milambo sec.school enzi za Mwalimu nimeshuhudia na nimekula vyakula hivyo sana.Tabora ni kitovu cha vitamu.Utapata muhogo,viazi vitamu,mahindi,mpunga,karanga,njugu,kunde,mbaazi,dengu,maharage,mbogamboga za asili kama mrenda,uyoga,nsansa n.k.Upande wa matunda mwitu unapata ntalali,nfulu,mbula,Ndati, ntonga,nsalasi,magogonti,zambalau n.k.Upande wa matunda ya kawaida unapata embe Bolibo,embe dodo,embe sindano,embe kunguni,Pera,papai ni.k.
Karibu sana.