UDSM Alumni
JF-Expert Member
- Jan 25, 2015
- 2,530
- 1,370
Kwa hizo specifications ni Mbeya tu utazipata
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhm dodoma mbona naona kma ni nusu jangwaDodoma wanalima mazao yote kuanzia kupanda hadi kuvuna hawatumii mbolea za kisasa wala madawa ya kilimo....Ardhi yao imebarikiwa sana.Imagine hadi Mahindi wanapanda na kuvuna hawalazimiki kuweka mbolea wala matuta.
😆😆Ingekua ni jangwa wasingeongoza kwa kilimo cha Zabibu,Karanga,Mtama,Uwele,Rosella,Tende,Ufuta,Mbaazi n.k.Mhm dodoma mbona naona kma ni nusu jangwa
Sio kweli dodoma pako vzr mkuu mazao ya nakubali nahisi ardhi yao iko virginMhm dodoma mbona naona kma ni nusu jangwa
Mazao ukiyotaja yote ni mazao yanayolimwa semehu yenye nusu jagwa.😆😆Ingekua ni jangwa wasingeongoza kwa kilimo cha Zabibu,Karanga,Mtama,Uwele,Rosella,Tende,Ufuta,Mbaazi n.k.
-Umewahi kusikia soko la kimataifa la Mahindi+ nafaka Kibaigwa
Togwa sio pombe hata kitogo.Hivi ni kitu kimoja boss
Rafiki, tatizo la Dodoma na Singida si ardhi yake bali ni upatikanaji wa mvua, na hali ya hewa yake kwa ujumla. Ardhi ni nzuri sana.Mhm dodoma mbona naona kma ni nusu jangwa
Kumbe ni wasingidani !.. hongera sana.. Japo toka nisikie vijiji vyenu ni makao makuu ya nyoka. Stimu ilikata kabisa hata kupatembelea 😁Rafiki, tatizo la Dodoma na Singida si ardhi yake bali ni upatikanaji wa mvua, na hali ya hewa yake kwa ujumla. Ardhi ni nzuri sana.
Mi mpaka nakua mkubwa kijijini kwetu Singida sikuwahi ona chochote kikilimwa kwa kutumia mbolea, na yield ni yakutosha.
Kama inapitia vipindi virefu vya mapumziko bila kulimwa kwa ukosefu wa mvua , lazima ardhi iwe na rutuba , sehemu nyingne zinazotumia mbolea ya kuwekwa unakuta linalimwa hata kwa mwaka mara tatu kama kilimanjaro , ardhi haina mapumziko lazima uongezee mbolea ya mifugo kidogo .Rafiki, tatizo la Dodoma na Singida si ardhi yake bali ni upatikanaji wa mvua, na hali ya hewa yake kwa ujumla. Ardhi ni nzuri sana.
Mi mpaka nakua mkubwa kijijini kwetu Singida sikuwahi ona chochote kikilimwa kwa kutumia mbolea, na yield ni yakutosha.
Binti kiziwi lazima awe toto zurizuri mimi sio mchawi lakini.Kumbe ni wasingidani !.. hongera sana.. Japo toka nisikie vijiji vyenu ni makao makuu ya nyoka. Stimu ilikata kabisa hata kupatembelea 😁
NdioMkuu komoni ni pombe?
Numbu zipo uko au unasifia tu kwenu😂😂Ruvuma!!!!
Ndo inaongozaa! Toka vyakula, vinywaji, matunda etc.
Njoo nkuonjeshe aseeeeMkuu komoni ni pombe?
Togwa inapikwa,, ulanzi unagemwa kwenye mianzi,,,komoni sjajua inaandaliwa vip😄 ila sio kitu kimojaHivi ni kitu kimoja boss
Au nikupe address untumieNjoo nkuonjeshe aseeee
naijua mbona,,so itakuja apo soonAu nikupe address untumie
Dodoma hasa Kondoa bado vitu ni vya asili hata ukila ugali wa mahindi wa Kondoa ni tofauti sana na maeneo mengi.Naomba kujua experience yako kwenye vitu vya kula kula me nilionaga dodoma labda ndo ardhi yake Safi Sana kuanzia karanga na Nyanya na Viazi na mboga za majani za dodoma ni bora zaidi. Yaani viwe ambavyo vya asili kabisa sio vya Madawa Madawa mengi. Mkoa gani una hiyo ardhi sijafika bukoba, kilimanjaro, iringa, morogoro kuna ardhi tu lazima itakuwepo iliyojaliwa TASTE.
Aah pitiku mwenzio dagaa 😂😂Pitiku
Libonongo
Chikandi
Mfusulela
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sidhani.Mbeya kaka . The top