MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
Kwa lugha nyingine wamepigwa panapouma-wamepewa ukweli mtupu. Hapo lazima wapanika na kutukana hovyo hovyo badala ya kutoa hoja na picha halisi za watu wao kiuchumi.Kuna kitu hapa nimegain...!watu wanaoitetea arusha wamepanic sana bila hoja..au tafiti.sababu tafiti upingwa na tafiti.
Mkoa wa Arusha unasifika pale mjini, lakini wilaya zake ni masikini mno, Ukisikia Arusha wala usitishike kabisa, shangai mkoa huu kuwa chini kwa kipato cha watu wake wakazidiwa hadi na Ruvuma.
Wilaya zilizopo mkoa wa Arusha zina hali mbaya, Wilaya kama ya Ngorongoro ambapo wakazi wake wakuu ni kabila dogo la Wasonjo makao makuu panaitwa Loliondo, huko kuna hali mbaya, hakuna barabara ya lami, hakuna umeme gridi ya Taifa, maji ni shida, watu wake hawana Elimu na ni maskini, mimba za utotoni zimejaa huko.
Wilaya zingine kama Monduli, Longido, Meru hakuna chochote cha maana, watu wa kule wengi ni wafugaji lakin bado wanaamini katika sifa za kuwa na mifugo mingi na sio kufanya maendeleo.
Ukitoa pale Arusha mjini na kidogo Karatu, wilaya nyingine hizo hali sio shwari kabisa.
Arusha ni mkoa makisini hilo halina ubishi.
Angalia hata pale mjini, hatua chache tu unakutana na nyumba za hovyo kuliko kawaida, mji haupanuki, mji umepangiliwa vibaya.
Arusha pamoja na potential ya utalii ambayo imekua nayo kwa miaka zaidi ya 30 lakini maendeleo hakuna.
Miji ya juzi hapa kama Kahama imekuja kuipiga chini Arusha mapema sana. Kuna senta zinakua kwa haraka miaka michache ijayo zitakua at par na arusha ama zaidi, senta kama Katoro, Runzewe, Nyakanazi, nk. Hata karatu ikipewa attention kwa miaka 5 inaifunika Arusha.
Wadanganye wasiopajua huko,katoro ni kijiji kikubwa kilichochangamka kibiashara ila sijui hata kamakuna tofauti na manzese,runzewe na nyakanazi bado sana japo kuna mishe na mzungukoArusha ni mkoa makisini hilo halina ubishi.
Angalia hata pale mjini, hatua chache tu unakutana na nyumba za hovyo kuliko kawaida, mji haupanuki, mji umepangiliwa vibaya.
Arusha pamoja na potential ya utalii ambayo imekua nayo kwa miaka zaidi ya 30 lakini maendeleo hakuna.
Miji ya juzi hapa kama Kahama imekuja kuipiga chini Arusha mapema sana. Kuna senta zinakua kwa haraka miaka michache ijayo zitakua at par na arusha ama zaidi, senta kama Katoro, Runzewe, Nyakanazi, nk. Hata karatu ikipewa attention kwa miaka 5 inaifunika Arusha.
Unajisahaulisha kuwa Wilaya ya Arumeru iko Arusha? Na hizo wilaya za Longido na Meru umezipata Arusha ipi?Mkoa wa Arusha unasifika pale mjini, lakini wilaya zake ni masikini mno, Ukisikia Arusha wala usitishike kabisa, shangai mkoa huu kuwa chini kwa kipato cha watu wake wakazidiwa hadi na Ruvuma.
Wilaya zilizopo mkoa wa Arusha zina hali mbaya, Wilaya kama ya Ngorongoro ambapo wakazi wake wakuu ni kabila dogo la Wasonjo makao makuu panaitwa Loliondo, huko kuna hali mbaya, hakuna barabara ya lami, hakuna umeme gridi ya Taifa, maji ni shida, watu wake hawana Elimu na ni maskini, mimba za utotoni zimejaa huko.
Wilaya zingine kama Monduli, Longido, Meru hakuna chochote cha maana, watu wa kule wengi ni wafugaji lakin bado wanaamini katika sifa za kuwa na mifugo mingi na sio kufanya maendeleo.
Ukitoa pale Arusha mjini na kidogo Karatu, wilaya nyingine hizo hali sio shwari kabisa.
Uko na akili fupi sana wewe kama mavi ya mbilikimo, kwani mji unaanzaje? Kariakoo miaka ya 60 ama 70 si ilikua kijiji kikubwa kilichochangamka, leo Kariakoo ni kijiji tena?Wadanganye wasiopajua huko,katoro ni kijiji kikubwa kilichochangamka kibiashara ila sijui hata kamakuna tofauti na manzese,runzewe na nyakanazi bado sana japo kuna mishe na mzunguko
Arusha sipajui siwezi kuiongelea ,katoro ni kijiji tu we kenge tuliza mshono,katoro inatanuka sawa ila hakuna mitaa wala mipanho miji bi vichochoro tu,kariakoo ilikuwa imepoa ila ilikuwa imepimwa tangu enzi za mjerumani,katoro ni manzese tuUko na akili fupi sana wewe kama mavi ya mbilikimo, kwani mji unaanzaje? Kariakoo miaka ya 60 ama 70 si ilikua kijiji kikubwa kilichochangamka, leo Kariakoo ni kijiji tena?
Miaka 10 iliyopita Katoro ilikuaje na sasa ikoje? Miaka 20 iliyopita Kahama ilikuaje kabla ya kuanza uzalishaji wa Buzwaji, leo miaka 20 baadae unaona kahama ilivyo?
Unasema umetembelea, niambie mijo inayokua kwa kasi hapa Tanzania, sasa kama inakua kwa kasi, miaka 20 ijayo itakua wapi?
Arusha miaka 20 iliyopita na sasa haina tofauti, Arusha ni ile ile miaka na miaka pamoja na potentials zote ambazo serikali imeipa lakini wapi. Katoro itaipita tu.
Sasa Arusha hupajui unabinasha na mimi wewe mavi. Mimi hii nchi nimefika wilaya zote na majimbo yote ya uchaguzi, na hii ni kazi naifanya kila mwaka kwa miaka 20 iliyopita, hii nchi naijua vizuri.Arusha sipajui siwezi kuiongelea ,katoro ni kijiji tu we kenge tuliza mshono,katoro inatanuka sawa ila hakuna mitaa wala mipanho miji bi vichochoro tu,kariakoo ilikuwa imepoa ila ilikuwa imepimwa tangu enzi za mjerumani,katoro ni manzese tu
Arusha,Mwanza na Dodoma ni Hali moja.Na Dodoma vipi mgogo wilaya zake.
Tindiga and hadzabe naoAfisa tabibu;
Ngoja nikufungue macho kiranga;
1. Wasonjo ni kabila dogo mno linaloishi vijiji vichache mno huko Loliondo.
Kwa uchache wao huwezi kuifanya Ngorongoro yote kuwa maskini.
Wasonjo ni kweli wako nyuma mno, si ajabu kumkuta binti mbichi wa 15-20 miaka akitembea kifua wazi yaani matiti nje na amefunika tako na uke pekee...hiyo ni mila zao na wanafurahia kuwa hivyo.
2. Pili kabila lingine kubwa Ngorongoro ni wamaasai...hawa sifa zake zinajulikana duniani kote.
Masai sio maskini isipokuwa life style yao ndivyo ilivyo...mwenye ng'ombe zaidi ya 1,000 huwezi kumlinganisha na mkwere mlima mihogo Pwani.
3. Karatu watu sio duni, hao ni wakulima wakubwa sana tu...japo fukara nao wapo.
4. Monduli..hii pia ni Wilaya ya wafugaji walewale sawa na Ngorongoro.
5. Meru.
Wakazi wake ni wa Meru, asili yao inalandana na Wachaga hasa Wamachame, hili kabila ni wapambani sana.Ni miongoni mwa makabila yanayojali sana makazi bora mno.Kijana wa kimeru hawezi kuoa bila kujenga nyumba yake ya kisasa.Meru ndilo eneo la ukanda wa kijani...mazingira bora kabisa kuishi.
Pitia...Tengeru, Usa river hadi Kikatiti wakazi wake sio haba kabisa..isipokuwa ukanda wa chini ya usariver na chini ya kikatiti ukitokea mlimani, huko kuna ukame na ndiko makabila duni toka mikoa ya Dodoma, Singida na kwingineko huishi.
Nb: nimetembea nchi nzima...wilaya kwa wilaya...Arusha ni bora sana Kilimanjaro kuliko mikoa mingi hali ni tete.
Tunayaangalia mambo kwa wastani na sio kwa kijiji kimoja au kata.
Nyakanazi Tena? Mwendo umezimaliza. pumzika kwa AmaniArusha ni mkoa makisini hilo halina ubishi.
Angalia hata pale mjini, hatua chache tu unakutana na nyumba za hovyo kuliko kawaida, mji haupanuki, mji umepangiliwa vibaya.
Arusha pamoja na potential ya utalii ambayo imekua nayo kwa miaka zaidi ya 30 lakini maendeleo hakuna.
Miji ya juzi hapa kama Kahama imekuja kuipiga chini Arusha mapema sana. Kuna senta zinakua kwa haraka miaka michache ijayo zitakua at par na arusha ama zaidi, senta kama Katoro, Runzewe, Nyakanazi, nk. Hata karatu ikipewa attention kwa miaka 5 inaifunika Arusha.
Arusha imefikia hapo kwasababu ya sera mbovu za CCM ilipaswa kuwa jiji la kielelezo la kitaliiumeongea kimhemuko kuliko uhalisia, hivi katika interval ya 5 years unalinganisha growth ya Arusha na Nyakanazi? wadanganye ambao hawajafika huko Nyakanazi wala Arusha!!
Yaani huyu ni popoma eti nyakanaziNyakanazi Tena? Mwendo umezimaliza. pumzika kwa Amani
Tafuta ngawira Arifu,achana kuhangaika na kuijadili Chuga. Machalii wa chuga ni wachakarikaji kinoma. Baada ya kazi muda kama huu,utawakuta wanakata kiu. Kawaulize TBL na TRA ni mkoa gani wa pili baada ya Dsm kuchangia kwenye pato la taifa.Mkoa wa Arusha unasifika pale mjini, lakini wilaya zake ni masikini mno, Ukisikia Arusha wala usitishike kabisa, shangai mkoa huu kuwa chini kwa kipato cha watu wake wakazidiwa hadi na Ruvuma.
Wilaya zilizopo mkoa wa Arusha zina hali mbaya, Wilaya kama ya Ngorongoro ambapo wakazi wake wakuu ni kabila dogo la Wasonjo makao makuu panaitwa Loliondo, huko kuna hali mbaya, hakuna barabara ya lami, hakuna umeme gridi ya Taifa, maji ni shida, watu wake hawana Elimu na ni maskini, mimba za utotoni zimejaa huko.
Wilaya zingine kama Monduli, Longido, Meru hakuna chochote cha maana, watu wa kule wengi ni wafugaji lakin bado wanaamini katika sifa za kuwa na mifugo mingi na sio kufanya maendeleo.
Ukitoa pale Arusha mjini na kidogo Karatu, wilaya nyingine hizo hali sio shwari kabisa.
Unaifananidhaje Arusha na walinda mpunga?Arusha ni mkoa makisini hilo halina ubishi.
Angalia hata pale mjini, hatua chache tu unakutana na nyumba za hovyo kuliko kawaida, mji haupanuki, mji umepangiliwa vibaya.
Arusha pamoja na potential ya utalii ambayo imekua nayo kwa miaka zaidi ya 30 lakini maendeleo hakuna.
Miji ya juzi hapa kama Kahama imekuja kuipiga chini Arusha mapema sana. Kuna senta zinakua kwa haraka miaka michache ijayo zitakua at par na arusha ama zaidi, senta kama Katoro, Runzewe, Nyakanazi, nk. Hata karatu ikipewa attention kwa miaka 5 inaifunika Arusha.
Hata kama sijafika ndio ulinganishe arusha na katoro au nyakanazi kweli ,unafananisha kichuguu na mlima,mi pia nimevuruga sana kanda ya ziwa naijua sana,bwanga chato buseresele biharamulo,ngara,karagwe,kibondo ,katoro ni manzese tuSasa Arusha hupajui unabinasha na mimi wewe mavi. Mimi hii nchi nimefika wilaya zote na majimbo yote ya uchaguzi, na hii ni kazi naifanya kila mwaka kwa miaka 20 iliyopita, hii nchi naijua vizuri.
Sasa kwa kukusaidia, Arusha hakuna mipango mji ni kama katoro tu, nchi hii ni sehemu chache sana zenye mipango miji inayoeleweka. Arusha imejengwa hovyo tu kama miji mingine.
Kuna watu wanasemaga katoro inaizidi Geita mjini??? Kwa sababu ya biashara ya mitumba[emoji28][emoji28]Hata kama sijafika ndio ulinganishe arusha na katoro au nyakanazi kweli ,unafananisha kichuguu na mlima,mi pia nimevuruga sana kanda ya ziwa naijua sana,bwanga chato buseresele biharamulo,ngara,karagwe,kibondo ,katoro ni manzese tu
Wajinga hao,katoro ni mji wa kibiashara mishe nyingi ila ni vurugu tu hakuna miundombinu mji umeachwa ujikuze wenyewe kama manzese japo hela ipoKuna watu wanasemaga katoro inaizidi Geita mjini??? Kwa sababu ya biashara ya mitumba[emoji28][emoji28]
Kumbe..Arusha,Mwanza na Dodoma ni Hali moja.
Umaskini wa hivyo huwezi kuukuta kwetu Nyanda za Juu Kusini, sio mgogo ,kwetu Njombe na Mbeya.