btw, arusha, k'njaro, na manyara ni kaskazini mashariki, na sio kaskazini.......Walitoa Manyara ,Kanda ya Kaskazini itabakiwa na Mikoa ipi? Maana Tanga kiuhalisia inatakiwa kuwa Pwani ila inalazimishiwa kuwa Kanda ya Kaskazini.
Manyara iachwe Kanda ya Kaskazini ndiko wanafanana kijamii.
Sio Kaskazini Bali ni Kaskazini Magharibibtw, arusha, k'njaro, na manyara ni kaskazini mashariki, na sio kaskazini.......
mwanza, mara na kagera ndio kaskazini kwa tanzania
Kwa maoni yako huu ushauri una faida gani, hasa kiuchumi kwa wananchi wa kawaida?Kwa nini mkuu,ni Ushauri tuu
Watu wengi Hawajui jiografia ya mkoa wa iringa wanajua imeishia mafinga kitu ambacho sio kweli na wakumbuke Kuna watu wapo jilan na lupembe idete kote hko ni iringa[/QUOTE umefika hadi idete!!?
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Labda kama utakuwa ulikosea wewe Mkuu, mada inahusu Mkoa wa Iringa nami ndicho nilicho unga mkono.Babati ni mkoa tena?hapo nahisi umekosea mkuu
Leo ndio nimejua kuwa Mbeya inapakana na TaboraMikoa 26 ya Tanzania Bara imegawanywa kwenye Kanda 7 za Kiutawala.
Mkoa wa Iringa Kwa Sasa uko Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.
Ingefaa Kwa Serikali kuiondoa Iringa Nyanda za Juu Kusini na kuihamishia Kanda ya Kati Kwa sababu zifuatazo
1.Sababu za Kijiografia.
Mkoa wa Iringa u ko jirani na Dodoma Makao Makuu ya Nchi na Kanda ya Kati kuliko Mbeya(Makao Makuu ya Nyanda za Juu Kusini).
Kutoka Iringa Hadi Dodoma ni km 260 vs Iringa Mbeya km 350.As we speak Iringa na Dodoma Ina Muingiliano mkubwa wa Watu via usafiri kuliko Iringa na Mbeya,so ni sahihi Kwa Iringa kuwa included Central Zone.
2.Sababu za Kijamii(Muingiliano wa Kikabila)
Kabila la Wagogo ambao ndio kabila kuu la Mkoa wa Dodoma pia linapatikana Kwa Baadhi ya maeneo ya Iringa hasa Wilaya ya Iringa hivyo Muingiliano wa Kijamii na Kitamaduni ni mkubwa baina ya Iringa na Dodoma kuliko Iringa na Mbeya..Aidha Kabila la Wahehe pia wapo Dodoma..
3.Sababu za Kimazingira.
Iringa Ina Haki ya hewa ya semi -Arid (Nusu jangwa) sawa sawa kabisa na hali ya Dodoma au Kanda ya Kati kiukumla.
Ukitoa Wilaya ya Mufindi na Baadhi ya maeneo ya Kilolo ,Iringa yote ni Semi Arid..
4.Sababu ya Kiuchumi/Biashara na Kijamii.
Mkoa wa Iringa unategemea Huduma zake nyingi kutoka Dodoma na Dar lakini sio Mbeya kutokana na kuwa jirani na Dodoma..
Sasa Kwa sababu hizo ni Wazi Iringa inafaa iwe Kanda ya Kati badala ya kuwa Nyanda za Juu.
Kwenye Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ni Iringa Pekee ambako unaweza Kuta nyumba za udongo na nyasi ambazo zinapatikana Kwa wingi Dodoma,Singida na maeneo ya Kanda ya Ziwa na Pwani huko..View attachment 2657397
Kanda ya Ziwa Kiaje Mzee? Kwanza hata Shinyanga haikutakiwa kuwa Lake ZoneHoja nyingi zinazotolewa humu kuhusu hizi Kanda (Kijamii,kiutamaduni,kimazingira) zinaiweka Tabora Kanda ya ziwa zaidi kuliko iliko sasa.
Mchawi jiografia tu.
Una faida maana Kuna Huduma inaambiwa nenda Makao Makuu ya KandaKwa maoni yako huu ushauri una faida gani, hasa kiuchumi kwa wananchi wa kawaida?
Hakuna kosa ,ni sahihi kabisaBinafsi huwa naona kosa kubwa lililofanyika ni kuitenga Iringa na njombe tu!
Bora wangehamisha ofisi ya mkuu wa mkoa ikae eneo lenye uwiano!
Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Tafuta kwanini eneo lile la Iringa,Ruvuma,Mbeya pamoja na Rukwa iliitwa nyanya za juu kusini.
Hayataki tuMikoa 26 ya Tanzania Bara imegawanywa kwenye Kanda 7 za Kiutawala.
Mkoa wa Iringa Kwa Sasa uko Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.
Ingefaa Kwa Serikali kuiondoa Iringa Nyanda za Juu Kusini na kuihamishia Kanda ya Kati Kwa sababu zifuatazo
1.Sababu za Kijiografia.
Mkoa wa Iringa u ko jirani na Dodoma Makao Makuu ya Nchi na Kanda ya Kati kuliko Mbeya(Makao Makuu ya Nyanda za Juu Kusini).
Kutoka Iringa Hadi Dodoma ni km 260 vs Iringa Mbeya km 350.As we speak Iringa na Dodoma Ina Muingiliano mkubwa wa Watu via usafiri kuliko Iringa na Mbeya,so ni sahihi Kwa Iringa kuwa included Central Zone.
2.Sababu za Kijamii(Muingiliano wa Kikabila)
Kabila la Wagogo ambao ndio kabila kuu la Mkoa wa Dodoma pia linapatikana Kwa Baadhi ya maeneo ya Iringa hasa Wilaya ya Iringa hivyo Muingiliano wa Kijamii na Kitamaduni ni mkubwa baina ya Iringa na Dodoma kuliko Iringa na Mbeya..Aidha Kabila la Wahehe pia wapo Dodoma..
3.Sababu za Kimazingira.
Iringa Ina Haki ya hewa ya semi -Arid (Nusu jangwa) sawa sawa kabisa na hali ya Dodoma au Kanda ya Kati kiukumla.
Ukitoa Wilaya ya Mufindi na Baadhi ya maeneo ya Kilolo ,Iringa yote ni Semi Arid..
4.Sababu ya Kiuchumi/Biashara na Kijamii.
Mkoa wa Iringa unategemea Huduma zake nyingi kutoka Dodoma na Dar lakini sio Mbeya kutokana na kuwa jirani na Dodoma..
Sasa Kwa sababu hizo ni Wazi Iringa inafaa iwe Kanda ya Kati badala ya kuwa Nyanda za Juu.
Kwenye Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ni Iringa Pekee ambako unaweza Kuta nyumba za udongo na nyasi ambazo zinapatikana Kwa wingi Dodoma,Singida na maeneo ya Kanda ya Ziwa na Pwani huko..View attachment 2657397
Angalia ramani.Chunya kuelekea Sikonge via Pembampazi.Leo ndio nimejua kuwa Mbeya inapakana na Tabora
Eti jamani... wahehe na wagogo wapi na wapi
Kama ni hivyo basi Tabora ilipaswa kuhamishiwa kanda ya kati kiutawala maana ina sifa hizo ulizoainisha zaidi hata ya Iringa.Mikoa 26 ya Tanzania Bara imegawanywa kwenye Kanda 7 za Kiutawala.
Mkoa wa Iringa Kwa Sasa uko Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.
Ingefaa Kwa Serikali kuiondoa Iringa Nyanda za Juu Kusini na kuihamishia Kanda ya Kati Kwa sababu zifuatazo
1.Sababu za Kijiografia.
Mkoa wa Iringa u ko jirani na Dodoma Makao Makuu ya Nchi na Kanda ya Kati kuliko Mbeya(Makao Makuu ya Nyanda za Juu Kusini).
Kutoka Iringa Hadi Dodoma ni km 260 vs Iringa Mbeya km 350.As we speak Iringa na Dodoma Ina Muingiliano mkubwa wa Watu via usafiri kuliko Iringa na Mbeya,so ni sahihi Kwa Iringa kuwa included Central Zone.
2.Sababu za Kijamii(Muingiliano wa Kikabila)
Kabila la Wagogo ambao ndio kabila kuu la Mkoa wa Dodoma pia linapatikana Kwa Baadhi ya maeneo ya Iringa hasa Wilaya ya Iringa hivyo Muingiliano wa Kijamii na Kitamaduni ni mkubwa baina ya Iringa na Dodoma kuliko Iringa na Mbeya..Aidha Kabila la Wahehe pia wapo Dodoma..
3.Sababu za Kimazingira.
Iringa Ina Haki ya hewa ya semi -Arid (Nusu jangwa) sawa sawa kabisa na hali ya Dodoma au Kanda ya Kati kiukumla.
Ukitoa Wilaya ya Mufindi na Baadhi ya maeneo ya Kilolo ,Iringa yote ni Semi Arid..
4.Sababu ya Kiuchumi/Biashara na Kijamii.
Mkoa wa Iringa unategemea Huduma zake nyingi kutoka Dodoma na Dar lakini sio Mbeya kutokana na kuwa jirani na Dodoma..
Sasa Kwa sababu hizo ni Wazi Iringa inafaa iwe Kanda ya Kati badala ya kuwa Nyanda za Juu.
Kwenye Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ni Iringa Pekee ambako unaweza Kuta nyumba za udongo na nyasi ambazo zinapatikana Kwa wingi Dodoma,Singida na maeneo ya Kanda ya Ziwa na Pwani huko..View attachment 2657397
Sifa zipi? Kutoka Tabora Hadi Dom ni zaidi ya km 400 tofauti na kutoka Tabora kwenda KigomaKama ni hivyo basi Tabora ilipaswa kuhamishiwa kanda ya kati kiutawala maana ina sifa hizo ulizoainisha zaidi hata ya Iringa.