Mkoa wa Iringa utolewe Nyanda za Juu Kusini na kupelekwa Kanda ya Kati iwe Pamoja na Dodoma na Singida

Mkoa wa Iringa utolewe Nyanda za Juu Kusini na kupelekwa Kanda ya Kati iwe Pamoja na Dodoma na Singida

Walitoa Manyara ,Kanda ya Kaskazini itabakiwa na Mikoa ipi? Maana Tanga kiuhalisia inatakiwa kuwa Pwani ila inalazimishiwa kuwa Kanda ya Kaskazini.

Manyara iachwe Kanda ya Kaskazini ndiko wanafanana kijamii.
btw, arusha, k'njaro, na manyara ni kaskazini mashariki, na sio kaskazini.......

mwanza, mara na kagera ndio kaskazini kwa tanzania
 
Hoja nyingi zinazotolewa humu kuhusu hizi Kanda (Kijamii,kiutamaduni,kimazingira) zinaiweka Tabora Kanda ya ziwa zaidi kuliko iliko sasa.

Mchawi jiografia tu.
 
Mikoa 26 ya Tanzania Bara imegawanywa kwenye Kanda 7 za Kiutawala.

Mkoa wa Iringa Kwa Sasa uko Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.

Ingefaa Kwa Serikali kuiondoa Iringa Nyanda za Juu Kusini na kuihamishia Kanda ya Kati Kwa sababu zifuatazo

1.Sababu za Kijiografia.

Mkoa wa Iringa u ko jirani na Dodoma Makao Makuu ya Nchi na Kanda ya Kati kuliko Mbeya(Makao Makuu ya Nyanda za Juu Kusini).

Kutoka Iringa Hadi Dodoma ni km 260 vs Iringa Mbeya km 350.As we speak Iringa na Dodoma Ina Muingiliano mkubwa wa Watu via usafiri kuliko Iringa na Mbeya,so ni sahihi Kwa Iringa kuwa included Central Zone.

2.Sababu za Kijamii(Muingiliano wa Kikabila)

Kabila la Wagogo ambao ndio kabila kuu la Mkoa wa Dodoma pia linapatikana Kwa Baadhi ya maeneo ya Iringa hasa Wilaya ya Iringa hivyo Muingiliano wa Kijamii na Kitamaduni ni mkubwa baina ya Iringa na Dodoma kuliko Iringa na Mbeya..Aidha Kabila la Wahehe pia wapo Dodoma..

3.Sababu za Kimazingira.

Iringa Ina Haki ya hewa ya semi -Arid (Nusu jangwa) sawa sawa kabisa na hali ya Dodoma au Kanda ya Kati kiukumla.
Ukitoa Wilaya ya Mufindi na Baadhi ya maeneo ya Kilolo ,Iringa yote ni Semi Arid..

4.Sababu ya Kiuchumi/Biashara na Kijamii.

Mkoa wa Iringa unategemea Huduma zake nyingi kutoka Dodoma na Dar lakini sio Mbeya kutokana na kuwa jirani na Dodoma..

Sasa Kwa sababu hizo ni Wazi Iringa inafaa iwe Kanda ya Kati badala ya kuwa Nyanda za Juu.

Kwenye Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ni Iringa Pekee ambako unaweza Kuta nyumba za udongo na nyasi ambazo zinapatikana Kwa wingi Dodoma,Singida na maeneo ya Kanda ya Ziwa na Pwani huko..View attachment 2657397
Leo ndio nimejua kuwa Mbeya inapakana na Tabora
 
Hoja nyingi zinazotolewa humu kuhusu hizi Kanda (Kijamii,kiutamaduni,kimazingira) zinaiweka Tabora Kanda ya ziwa zaidi kuliko iliko sasa.

Mchawi jiografia tu.
Kanda ya Ziwa Kiaje Mzee? Kwanza hata Shinyanga haikutakiwa kuwa Lake Zone
 
Tafuta kwanini eneo lile la Iringa,Ruvuma,Mbeya pamoja na Rukwa iliitwa nyanya za juu kusini.

Open main menu
Wikipedia
Search

Southern Highlands, Tanzania​


Article Talk

The Southern Highlands is a highland region in southwestern Tanzania, at the northern end of Lake Malawi. The highlands include portions of Mbeya, Njombe, Rukwa, Ruvuma, and Songwe regions, bordering Malawi, Mozambique, and Zambia.[1] Mbeya is the largest city in the highlands.


GeographyEdit

The highlands comprise a group of plateaus and volcanic mountains, including the Mbeya Mountains, Poroto Mountains, Kipengere Range, Mount Rungwe, Kitulo Plateau, Umalila Mountains, and Matengo Highlands. The Ufipa Plateau extends northwest, between Lake Tanganyika and Lake Rukwa.[2] The eastern and western branches of the East African Rift converge in the highlands, and the Western Rift continues south as the valley of Lake Malawi. To the northeast, the Makambako Gap separates the Southern Highlands from the Eastern Arc Mountains.[3]

Lake Ngozi in the Poroto Mountains.
Mt. Rungwe (2,960 metres), and Mtorwe (2961 m) in the Kipengere Range, are the highest peaks in the highlands. Other peaks include Chaluhangi (2933 m) and Ishinga (2688 m) in the Kipengere Range, Ngozi (2621 m) in the Poroto Mountains, and Mbeya (2826 m), Loloza (2656 m), and Pungulomo (2273 m) in the Mbeya Mountains.[4]
The northern and eastern slopes of the Mbeya Mountains and the eastern portion of the Ufipa Plateau drain into the closed basin of Lake Rukwa. The Great Ruaha River, a tributary of the Rufiji River, drains the eastern slopes of the Mbeya and Kipengere mountains.
Rivers flowing into Lake Malawi drain the southern portion of the highlands. The Songwe River drains the western and southern Umalila Mountains, and forms the boundary between Tanzania and Malawi. The Kiwira River drains the east slope of the Umalila Mountains, south slope of the Poroto Mountains, and western slope of Mount Rungwe. The Lufilyo River drains the east slope of Mount Rungwe and the Livingstone Forest in Kitulo National Park. A number of smaller streams descend the steep western escarpment of the Kipengere Range and western Matengo Highlands. The Ruhuhu River drains the southern portion of the Kipengere Range and northern Matengo Highlands.
The eastern slopes of the Matengo Highlands drain into the Ruvuma River.


Climate​


Ecology​


Transport​


References​


Bibliography​


Last edited 2 years ago by JJMC89 bot III

Wikipedia


24px.svg

Maandishi halisi

Kadiria tafsiri hii
Maoni yako yatatumika kusaidia kuboresha huduma ya Tafsiri ya Google
 
Mikoa 26 ya Tanzania Bara imegawanywa kwenye Kanda 7 za Kiutawala.

Mkoa wa Iringa Kwa Sasa uko Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.

Ingefaa Kwa Serikali kuiondoa Iringa Nyanda za Juu Kusini na kuihamishia Kanda ya Kati Kwa sababu zifuatazo

1.Sababu za Kijiografia.

Mkoa wa Iringa u ko jirani na Dodoma Makao Makuu ya Nchi na Kanda ya Kati kuliko Mbeya(Makao Makuu ya Nyanda za Juu Kusini).

Kutoka Iringa Hadi Dodoma ni km 260 vs Iringa Mbeya km 350.As we speak Iringa na Dodoma Ina Muingiliano mkubwa wa Watu via usafiri kuliko Iringa na Mbeya,so ni sahihi Kwa Iringa kuwa included Central Zone.

2.Sababu za Kijamii(Muingiliano wa Kikabila)

Kabila la Wagogo ambao ndio kabila kuu la Mkoa wa Dodoma pia linapatikana Kwa Baadhi ya maeneo ya Iringa hasa Wilaya ya Iringa hivyo Muingiliano wa Kijamii na Kitamaduni ni mkubwa baina ya Iringa na Dodoma kuliko Iringa na Mbeya..Aidha Kabila la Wahehe pia wapo Dodoma..

3.Sababu za Kimazingira.

Iringa Ina Haki ya hewa ya semi -Arid (Nusu jangwa) sawa sawa kabisa na hali ya Dodoma au Kanda ya Kati kiukumla.
Ukitoa Wilaya ya Mufindi na Baadhi ya maeneo ya Kilolo ,Iringa yote ni Semi Arid..

4.Sababu ya Kiuchumi/Biashara na Kijamii.

Mkoa wa Iringa unategemea Huduma zake nyingi kutoka Dodoma na Dar lakini sio Mbeya kutokana na kuwa jirani na Dodoma..

Sasa Kwa sababu hizo ni Wazi Iringa inafaa iwe Kanda ya Kati badala ya kuwa Nyanda za Juu.

Kwenye Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ni Iringa Pekee ambako unaweza Kuta nyumba za udongo na nyasi ambazo zinapatikana Kwa wingi Dodoma,Singida na maeneo ya Kanda ya Ziwa na Pwani huko..View attachment 2657397
Hayataki tu
 
Basi kama ni hivyo: Arusha iende Kenya, Nyasa iende Malawi, Kigoma iende Burundi na Rwanda. Kagera iende Uganda.
 
Ukiachana na mambo ya bandari, mkuu ametoa hoja ya maana sana.
[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Mikoa 26 ya Tanzania Bara imegawanywa kwenye Kanda 7 za Kiutawala.

Mkoa wa Iringa Kwa Sasa uko Kanda ya Nyanda za Juu Kusini.

Ingefaa Kwa Serikali kuiondoa Iringa Nyanda za Juu Kusini na kuihamishia Kanda ya Kati Kwa sababu zifuatazo

1.Sababu za Kijiografia.

Mkoa wa Iringa u ko jirani na Dodoma Makao Makuu ya Nchi na Kanda ya Kati kuliko Mbeya(Makao Makuu ya Nyanda za Juu Kusini).

Kutoka Iringa Hadi Dodoma ni km 260 vs Iringa Mbeya km 350.As we speak Iringa na Dodoma Ina Muingiliano mkubwa wa Watu via usafiri kuliko Iringa na Mbeya,so ni sahihi Kwa Iringa kuwa included Central Zone.

2.Sababu za Kijamii(Muingiliano wa Kikabila)

Kabila la Wagogo ambao ndio kabila kuu la Mkoa wa Dodoma pia linapatikana Kwa Baadhi ya maeneo ya Iringa hasa Wilaya ya Iringa hivyo Muingiliano wa Kijamii na Kitamaduni ni mkubwa baina ya Iringa na Dodoma kuliko Iringa na Mbeya..Aidha Kabila la Wahehe pia wapo Dodoma..

3.Sababu za Kimazingira.

Iringa Ina Haki ya hewa ya semi -Arid (Nusu jangwa) sawa sawa kabisa na hali ya Dodoma au Kanda ya Kati kiukumla.
Ukitoa Wilaya ya Mufindi na Baadhi ya maeneo ya Kilolo ,Iringa yote ni Semi Arid..

4.Sababu ya Kiuchumi/Biashara na Kijamii.

Mkoa wa Iringa unategemea Huduma zake nyingi kutoka Dodoma na Dar lakini sio Mbeya kutokana na kuwa jirani na Dodoma..

Sasa Kwa sababu hizo ni Wazi Iringa inafaa iwe Kanda ya Kati badala ya kuwa Nyanda za Juu.

Kwenye Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini ni Iringa Pekee ambako unaweza Kuta nyumba za udongo na nyasi ambazo zinapatikana Kwa wingi Dodoma,Singida na maeneo ya Kanda ya Ziwa na Pwani huko..View attachment 2657397
Kama ni hivyo basi Tabora ilipaswa kuhamishiwa kanda ya kati kiutawala maana ina sifa hizo ulizoainisha zaidi hata ya Iringa.
 
Kama ni hivyo basi Tabora ilipaswa kuhamishiwa kanda ya kati kiutawala maana ina sifa hizo ulizoainisha zaidi hata ya Iringa.
Sifa zipi? Kutoka Tabora Hadi Dom ni zaidi ya km 400 tofauti na kutoka Tabora kwenda Kigoma
 
Back
Top Bottom