Mkoa wa Iringa utolewe Nyanda za Juu Kusini na kupelekwa Kanda ya Kati iwe Pamoja na Dodoma na Singida

Hasara wanayopata wana Iringa kuwa nyanda za juu kusini ni ipi?
Faida watakayopata wana Iringa wakihamia kanda ya Kati ni ipi?
 
Kwani unavyotoka Iringa au Morogoro kuitafuta Dodoma unashuka au unapanda?
Kutoka iringa kwenda Dom unakuwa unashuka mpaka unaikuta mtera dam, ndio level moja mpaka Dom

Moro to Dom ni normal tu...zote with almost the same height from sea level.

Iringa ipo mwinukoni mno,ukitoa kipande cha daraja la ruaha to unapoianza kitonga.
 
Kama issue ni Milima basi Morogoro au Kilimanjaro au Arusha zote zingekuwa Nyanda za Juu..

Nakwambia Muingiliano wa Kijamii ni mkubwa Dom kuliko Mikoa ya Nyanda za Juu Kusini..

Watu wa Iringa vipi mnakataa ndugu zenu? Nendeni Dom huko
Kilimanjaro na Arusha zinaweza kuwa nyanda za juu,ila sio za juu "kusini".

Hapa tunaongelea nyanda za juu kusini
 
Kilimanjaro na Arusha zinaweza kuwa nyanda za juu,ila sio za juu "kusini".

Hapa tunaongelea nyanda za juu kusini
Sasa kama ni ishu ya kuin,Iringa haipo Kusini bali central ,kwani hujaona ramani?
 
Namba 3 naipinga
Kwa hiyo Iringa sio Semi Arid si ndio? Kwamba apart from Mafinga kwingine huko kumejaa ukame ndio maana mumejenga vijumba vya udongo everywhere kama Dom tuu..
 
By the way Iringa ni Mkoa pekee maalumu wenye ambao Mkoa wote una kabila mmoja tu-Wahehe tofauti na Mikoa mingine ambapo unakuta kuna mchanganyiko wa makabila mengi.
 
Itasaidia nini labda iwekwe kati ya Emirates za Arab tena iwe imeungana na Dubai
 
Ruti za Mbeya Iringa ni nyingi mara 4 ya Dodoma Iringa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…