Mkoa wa Mbeya Wavunja rekodi ya Makusanyo ya Mapato kwa asilimia 105% Mwaka 2021/2022

Sehemu zote zenye baridi huwa productive,watu active na intelligent tofauti na huko kwenu kwenye joto Kazi yenu ni kupigana miti na kuuana kugombea vibanda vya urithi.
Mzee una shida pahala kwani mimi nimeponda huo mkoa wa mbeya, ulisoma comment ya mtu niliyemreply!? πŸ™†β€β™‚οΈ

πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
πŸ˜€πŸ˜€ sina cha kukujibu kutokana na imani yako. Ungefuatilia vizuri huenda zingefika hata makusanyo ya 150% kutokana na mfumko mkali wa bei. Hapo bado makusanyo ni ya chini sana.
Mfumuko wa bei unaongeza rates za ushuru uliopangwa?

Hoja yako haina mashiko kwa sababu Makisio yamewekwa na yanakusanywa kutoka kwenye rates zilizoidhinishwa sasa mfumuko wa bei unaingiaje hapo?
 
Kwa hiyo unasemaje ? Huko Mbeya wafanyakazi wamepewa nyongeza kubwa kuliko sehemu zingine ? Unapoteza muda wako kusifia makusanyo ambayo wanaofaidika ni wachache. Pole sana.
 
Safi Sana
 
Miaka yote mapato ya Mbeya walikuwa wanayapeleka Chato. Marehemu alisema pesa haitapelekwa Jimbo Ambalo linaongozwa na upinzani.

Hakuishia hapo akamfunga gerezani mbunge wetu.

Tulikuwa na kiongozi mbaguzi na mshirikina mwenye roho ya kishetani.
 
Hizo Kodi zote zinakwenda Kwa koo mbili ,kikwete,samia ,makamba,lowassa
 
Kafulila kapigwa chini yuko wapii sasaaa? Kekele miiingiii
 
Kwa hiyo unasemaje ? Huko Mbeya wafanyakazi wamepewa nyongeza kubwa kuliko sehemu zingine ? Unapoteza muda wako kusifia makusanyo ambayo wanaofaidika ni wachache. Pole sana.
Tanzania sio ya wafanyakazi pekee,kama vipi acha Kazi kama una jeuri.
 
Bora yenu nyie mbeya mmejengewa vyuo vingi tu vya serikali vipo Mbeya je Mwanza na kanda ya ziwa kwa ujumla kuna chuo kikuu cha serikali ata kimoja? Sisi wana Mwanza tulishachukua hatua zamani tu za kujitegemea wenyewe na kuwa wazalendo kwa mji wetu na tutaujenga.
Mkiwa na mawazo ya kukimbilia Dar ni sawa na kudumaza miji yenuπŸ™πŸ™πŸ™
 
Vyuo gani tumejengewa wewe pimbi
 
Vyuo gani tumejengewa wewe pimbi
Unataka kusema mbeya hakuna vyuo vikuu vya serikali na sasa mnajengewa chuo kingine campus ya udsm. Upumbavu wako utaisha lini? Nataka uniambie kanda ya ziwa nzima kuna chuo kikuu ata kimoja cha serikali???
 
Unataka kusema mbeya hakuna vyuo vikuu vya serikali na sasa mnajengewa chuo kingine campus ya udsm. Upumbavu wako utaisha lini? Nataka uniambie kanda ya ziwa nzima kuna chuo kikuu ata kimoja cha serikali???
Vyuo vikuu ndio vinafungua fursa ya kilimo na biashara wewe fala?

Nani kakwambia Mbeya wanahitaji vyuo Vikuu? Kwa nini tusibadilishane nyie ambao mnaongiza kwa ujinga mjengewe vyuo vikuu na sisi tujengewe miundombinu harafu baada yaiaka 5 tuje kufanya tathmni yupi kafaidika..

Stupid kabisa,vyuo vikuu vitalingana na daraja moja la bil.700 wewe kima?

Kwanza vyuo vyenyewe ndio vinakuja na mipango ya kujenga maeneo fulani fulani na sio Serikali..

Mbeya kuna wanaopenda elimu tofauti na nyie wapenda kuchunga ng'ombe nani awaletee chuo?
 
Leo ndio nimejua kwanini una chuki na Mwanza pamoja na hayati magufuliπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Kumbe ulitaka daraja la kigongo busisi lijengwe ziwa nyasaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…