The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
- Thread starter
-
- #161
Yaani unashindwa hata kutambua ID yangu ina terminology ya Economics?Vitu kama hivi we mnyasa huwezi kuvielewa .unachojua ni ushirikina tu wa nyumba nitu
Tulia andika vizuri..,[emoji16][emoji16][emoji23]we jamaa kweli ni kipofu hata kuona ulijokunya huoni basi hata harufu husikiii...soma screenshot shot yako hii .angalia low na column ya mwanza na mbeya
Siku ukielewa tofauti ya GDP ,GNP, per capital income,NNI, purchasing power parity,inflation, demand and supply , investment,fiscal policy, monetary policy, na labour economics nitag tubishane ..Ila sasa kalime mchele Kyela hukoMwanza mkashindane na maskini wenzenu sio Mbeya [emoji116]
Ukitaka kujua idadi ya maskini unatumia parameter ipi? Tuanzie hapo kwanza.Siku ukielewa tofauti ya GDP ,GNP, per capital income,NNI, purchasing power parity,inflation, demand and supply , investment,fiscal policy, monetary policy, na labour economics nitag tubishane ..Ila sasa kalime mchele Kyela huko
Kwamba hii hujaituma ...ebu soma figures sasa .we mndali wa ilejeTulia andika vizuri..
Hii hapa top 5[emoji116]
Ceterius peribus .. other factors remain constant ..unatumia NNIUkitaka kujua idadi ya maskini unatumia parameter ipi? Tuanzie hapo kwanza.
Saizi tuko kwenye Bil.45 tumeshavuka hiyo robo ya 3 na ndio maana nimeanzisha Uzi huu..Kwamba hii hujaituma ...ebu soma figures sasa .we mndali wa ilejeView attachment 2301632
Nataka ya particular year sitaki hiyo inayo account na previous income..Ceterius peribus .. other factors remain constant ..unatumia NNI
Huna hoja ,, kwanza topic ya thread yako haiko proffesional ,,unaleta mawazo ya mtu , hotuba ya mkuu wa mkoa ...badala ya kutuletea data za tamisemi zilizo kwenye figures au NBS unaleta hotuba ya mkuu wako wa mkoa ... tunaamini vip anasema kweli ,,, huoni thread yako ni ya mchongoSaizi tuko kwenye Bil.45 tumeshavuka hiyo robo ya 3 na ndio maana nimeanzisha Uzi huu..
Katafute ya kwenu ,mtakuwa mumepigwa za USO ndio maana RC wenu anaona Soo kutoka na Takwimu hadharani.
Leta wew sasa ambaye huokoti ,,,,na hoja kamili ya kutetea unachokisemaNataka ya particular year sitaki hiyo inayo account na previous income..
Leta common parameter usitokote kama uji
Mawazo ya mtu yanakuja na figures za Halmashauri au? Unatapatapa sasa π¬π¬..Huna hoja ,, kwanza topic ya thread yako haiko proffesional ,,unaleta mawazo ya mtu , hotuba ya mkuu wa mkoa ...badala ya kutuletea data za tamisemi zilizo kwenye figures au NBS unaleta hotuba ya mkuu wako wa mkoa ... tunaamini vip anasema kweli ,,, huoni thread yako ni ya mchongo
GDP per Capita Income ππππLeta wew sasa ambaye huokoti ,,,,na hoja kamili ya kutetea unachokisema
[emoji3][emoji3][emoji3]we ni chizi kweli ..aliyekuambia GDP per capital income ni exact and valid measure ya umasikini ni nani .hata NBS wanapopima umaskini wa kaya hawatumii GDP per capital ,,, wanatumia consumption measurement....GDP per Capita Income [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
I mean china ni USD 10000[emoji3][emoji3][emoji3]we ni chizi kweli ..aliyekuambia GDP per capital income ni exact and valid measure ya umasikini ni nani .hata NBS wanapopima umaskini wa kaya hawatumii GDP per capital ,,, wanatumia consumption measurement....
Kama ni hivyo china yenye GDP per capital ya USD 1000 ni taifa maskini ukilinganisha na Oman yenye GDP per capital USD 40000....
per capital inapima mgawanyo wa uchumi kwa kila mtu aliyepo nchini ..unachukua pato la mkoa unagawanya kwa idadi ya watu ndo unapata per capital [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]..
Nini maana ya huo mgawanyo wa uchumi kwa kila mtu?[emoji3][emoji3][emoji3]we ni chizi kweli ..aliyekuambia GDP per capital income ni exact and valid measure ya umasikini ni nani .hata NBS wanapopima umaskini wa kaya hawatumii GDP per capital ,,, wanatumia consumption measurement....
Kama ni hivyo china yenye GDP per capital ya USD 1000 ni taifa maskini ukilinganisha na Oman yenye GDP per capital USD 40000....
per capital inapima mgawanyo wa uchumi kwa kila mtu aliyepo nchini ..unachukua pato la mkoa unagawanya kwa idadi ya watu ndo unapata per capital [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]..
Huna mawe ww nzi wa uyole ....kazi kuruka ruka kuokoteleza ..huna hoja wala fact ... Hamna Sehemu utaenda kupotosha nisije kusafisha...nitapangua uongo wako wote .Mawazo ya mtu yanakuja na figures za Halmashauri au? Unatapatapa sasa [emoji51][emoji51]..
Usitafute pa kutokea,kalete mapato ya Mwanza,Tumeona ya Mbeya na Simiyu..
Hata ukiruka ruka Waziri wa Tamisemi atayatoa tuu na ntanyoka na nyie..
Kesho mtanikuta nawapa nyundo kwenye Uzi wa Dodoma vs Mwanza,Nina Mawe ya kutosha.
Umebadili GIA angani? ππ..I mean china ni USD 10000
ChinaUmebadili GIA angani? [emoji23][emoji23]..
Nataka uweke Takwimu za Oman na China ndio tuendelee na mjadala.