Mkono wa vita ya China na US unanukia

Mkono wa vita ya China na US unanukia

Narumu kwetu

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2015
Posts
1,888
Reaction score
4,489
Marekani imeanza mazoez ya kijeshi mpakani kwa China kwenye boda inayopitia India ,hii ni baada ya China kuanza kupeleka vifaa na zana za kijeshi mpakan mwa Taiwan.MUNGU ATUNUSURU SISI HUKU MAANA HUU MKONO UKIPIGWA DUNIA ITASIMAMA KWA MDA
CNN)The United States is to take part in a joint military exercise with India less than 100 kilometers (62 miles) from the South Asian country's disputed border with China.
The military drills will be held in mid-October at an altitude of 10,000 feet in Auli in the Indian state of Uttarakhand and will focus on high-altitude warfare training, according to a senior Indian Army officer with knowledge of the matter.
 
MIMI NIULIZE SWALI KWANINI MAREKANI WANAENDA KUFANYA MAZOEZI KATIKA MPAKA WA CHINA, KIPI KINAKUA KIGUMU KWA CHINA NAO KWENDA KUFANYA MAZOEZI KARIBU NA MIPAKA YA MAREKANI.

SASA VITA IKITOKEA WANANCHI WA MAREKANI SI HAWATOGUSWA? LAKINI WACHINA WATAGUSWA?
 
Back
Top Bottom