Mkono wa vita ya China na US unanukia

Mkono wa vita ya China na US unanukia

Hivi mnaposema China atapigika,mnatumia vigezo gani?
US ana allies.

Allies wa China ni nani? India? Russia? North Korea?

US ana military bases allover the world. Anakupiga toka kona zote za dunia.

Mpaka umfikie kwake ushachakaa vya kutosha.

Kabla ya hapo anakuvuruga na vikwazo. China yenye uchumi unaoegemea exports, akipigwa vikwazo kwisha habari yake.
 
Si ndio hapo mkuu, nilisha wambia watu hapa kwamba China iliwahi kupigana vita na Merikani ana kwa ana na matokeo hayakuwa mazuri kwa upande wa jeshi la Amerika lilivurumishwa vikali mpaka likarudishwa nyuma - mwanzo US ilidharau jeshi la China lakini walipo pambana ana kwa ana walipata kisago cha nguvu hawakurudia tena kudharau jeshi la China - kiongozi wa jeshi la Merikani aliadhilika katika operation hiyo kwa aibu kaomba idhini ya Rais wa Merikani wa wakati huo Harry Truman ili amuruhusu kutumia mabom ya Nuclear dhidi ya China lakini Truman alimkatalia mpaka wakafikia hatua ya kufarakana, akatimuliwa kazi unceremoniously. That was almost 70 years ago, je,
hivi sasa jeshi la China limekwisha piga hatua gani in terms of science na teknolojia kwenye medani za uundaji wa silaha za kisasa kabisa na space exploration - Wachina si wanadamu wa kuchukulia poa hata kidogo.
Acha kamba zako wewe kadanganye wajinga wenzako huko kwenye vijiwe vya kahawa. Mchina katawaliwa wee na mjapani alifanya nini. Mchina hajui vita bwana.
 
Hilo watu wala hawaliwekei maanani kwamba Wachina wana mpaka missiles ambazo Merikani hawana kinga dhidi ya missiles hizo hatari, zina uwezo wa kushambulia karibu miji yote muhimu nchini Merikani.
vijana mnafurahisha nyie yaani china awe na silaha za kupiga Newyork afu Us asiwe na silaha za masafa marefu ya kupiga us to beijing [emoji1787][emoji1787][emoji1787] burudan kama hizi utakutana nazo kweny vijiwe vya gahawa tu
 
Kama kawaida wababe kuonea wakimya.
Marekani ameshapoteza heshima yake tayari, angeheshimika tena kama angethubutu kwenda kucheza ngoma zake karibu na maeneo ya wanaume. au ngoja niseme Russia.

Binafsi naamini hakuna vita ni kupigiana mikwara tu.
kwa hiyo china ni wanawake mzee mbona mnajitoa ufahamu namna hii mwanzo mlisema mtalipua ndege ya kibibi bibi katimba taiwan na speech katoa kisha uyo macho madogo mme baki kubung'aa tu uko ukraine mnachezeshwa shere tu mmerud miji ya mipakan uko si ndo dalil za kushindwa hizo ukraine
 
Back
Top Bottom