US wamefanikiwa kuanzisha vita Ulaya,sasa wamehamia Asia kuanzisha vita nyingine. Kweli Lucifer yupo kazini.
Kwani ww umetumia kigezo kipi kwamba mchina hawezi kubondwa na mmarekaniWewe China umeipima kwa kutumia kigezo kipi mpaka useme atabondwa?
Acheni ushabiki maandazi
wenzio USA wana enda strategic areas ambazo China tyr ana migogoro nazo mf India na China wana ugomv wa mpk pili upande huo huo kuna jimbo linanyanyaswa na China plus upande wa pili Taiwan anapigana so USA anaeza asitumie watu wake sana ila akatumia silaha tu na trainers wachache ila fronts wanaenda kuwa hao wenyejHivi mnaposema China atapigika,mnatumia vigezo gani?
vita vipo Asia miaka na miaka , labda kama huijui Asia vzrUS wamefanikiwa kuanzisha vita Ulaya,sasa wamehamia Asia kuanzisha vita nyingine. Kweli Lucifer yupo kazini.
Kwel bwasheeHii vita itakuwa na athari kubwa sana kibiashara. Tutakufa.
... wanajua kujitoa ufahamu kichizi.Aliyeanzisha vita ulaya ni Putin
... mchezo umeuelewa vizuri sana Mkuu.wenzio USA wana enda strategic areas ambazo China tyr ana migogoro nazo mf India na China wana ugomv wa mpk pili upande huo huo kuna jimbo linanyanyaswa na China plus upande wa pili Taiwan anapigana so USA anaeza asitumie watu wake sana ila akatumia silaha tu na trainers wachache ila fronts wanaenda kuwa hao wenyej
Wataguswa marekani piaMIMI NIULIZE SWALI KWANINI MAREKANI WANAENDA KUFANYA MAZOEZI KATIKA MPAKA WA CHINA, KIPI KINAKUA KIGUMU KWA CHINA NAO KWENDA KUFANYA MAZOEZI KARIBU NA MIPAKA YA MAREKANI.
SASA VITA IKITOKEA WANANCHI WA MAREKANI SI HAWATOGUSWA? LAKINI WACHINA WATAGUSWA?
Wewe umetumia kipimo gani kuona hatabondwaWewe China umeipima kwa kutumia kigezo kipi mpaka useme atabondwa?
Acheni ushabiki maandazi
Kwenye ndoto labda.THE END OF USA [emoji631] JINIASI NIMESEMA
Mchina hana base ya jeshi marekani ila hawa super power wana base almost dunia nzima. Na lengo ni hilo wao kwenye vita hawaguswi nyumbani labda utume missile.MIMI NIULIZE SWALI KWANINI MAREKANI WANAENDA KUFANYA MAZOEZI KATIKA MPAKA WA CHINA, KIPI KINAKUA KIGUMU KWA CHINA NAO KWENDA KUFANYA MAZOEZI KARIBU NA MIPAKA YA MAREKANI.
SASA VITA IKITOKEA WANANCHI WA MAREKANI SI HAWATOGUSWA? LAKINI WACHINA WATAGUSWA?
PumbaMIMI NIULIZE SWALI KWANINI MAREKANI WANAENDA KUFANYA MAZOEZI KATIKA MPAKA WA CHINA, KIPI KINAKUA KIGUMU KWA CHINA NAO KWENDA KUFANYA MAZOEZI KARIBU NA MIPAKA YA MAREKANI.
SASA VITA IKITOKEA WANANCHI WA MAREKANI SI HAWATOGUSWA? LAKINI WACHINA WATAGUSWA?
Umeelewa swali? Au akili haipo?Pumba
Pumba kwasababu umesema vita ikitokea wananchi wa marekani hawataguswa eti kwasababu vita inapiganiwa Asia. Unafikili china ni sawa na nchi za Africa?Umeelewa swali? Au akili haipo?
Sio rahisi kama unavyodhani.Dah; halafu jamaa wanaingilia upande uleule waliko Uygur wanaonyanyaswa na nchi yao China!
Una uhakika China haijui Vita na hana historia na Vita?🤔Mchina haijui Vita Hana historia na Vita amejanjaruka juz tu tofauti na Russia na marekani wao n watu wa Vita enzi na enzi
Wakina nani hao wamwingilie China?🤔... wanapanga kumwingilia kote kote; mashariki na magharibi.
Wamemuwekea vikwazo.Dawa ya China ni Bibi Pelos