Mkono wa vita ya China na US unanukia

Hivi mnaposema China atapigika,mnatumia vigezo gani?
US ana allies.

Allies wa China ni nani? India? Russia? North Korea?

US ana military bases allover the world. Anakupiga toka kona zote za dunia.

Mpaka umfikie kwake ushachakaa vya kutosha.

Kabla ya hapo anakuvuruga na vikwazo. China yenye uchumi unaoegemea exports, akipigwa vikwazo kwisha habari yake.
 
Acha kamba zako wewe kadanganye wajinga wenzako huko kwenye vijiwe vya kahawa. Mchina katawaliwa wee na mjapani alifanya nini. Mchina hajui vita bwana.
 
Hilo watu wala hawaliwekei maanani kwamba Wachina wana mpaka missiles ambazo Merikani hawana kinga dhidi ya missiles hizo hatari, zina uwezo wa kushambulia karibu miji yote muhimu nchini Merikani.
vijana mnafurahisha nyie yaani china awe na silaha za kupiga Newyork afu Us asiwe na silaha za masafa marefu ya kupiga us to beijing [emoji1787][emoji1787][emoji1787] burudan kama hizi utakutana nazo kweny vijiwe vya gahawa tu
 
Kama kawaida wababe kuonea wakimya.
Marekani ameshapoteza heshima yake tayari, angeheshimika tena kama angethubutu kwenda kucheza ngoma zake karibu na maeneo ya wanaume. au ngoja niseme Russia.

Binafsi naamini hakuna vita ni kupigiana mikwara tu.
kwa hiyo china ni wanawake mzee mbona mnajitoa ufahamu namna hii mwanzo mlisema mtalipua ndege ya kibibi bibi katimba taiwan na speech katoa kisha uyo macho madogo mme baki kubung'aa tu uko ukraine mnachezeshwa shere tu mmerud miji ya mipakan uko si ndo dalil za kushindwa hizo ukraine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…