Mkopo alioutoa Madaraka Nyerere wamuhamisha mtu nchi

Mkopo alioutoa Madaraka Nyerere wamuhamisha mtu nchi

Tatizo baba yao. Penda sana sifa za kijinga kupeleka pesa na rasilimali zetu kukomboa watu na mataifa uchwara yasiyo nashukran eti akidhani ataacha legacy. Matokeo yake Kaambulia tu jina lake kubakia kwenye vibarabara uchwara vya uchochoroni kwenye hizo nchi. Na huku kwetu katuachia mifisi na mchwa inatafuna nchi kwa fujo bila aibu.

#MboweSiyoGaidi

#MboweForever
Kwaiyo ulitaka wakina makongoro nao wawe kama wakina lizimoja mpumbavu mmoja wewe.
 
Back
Top Bottom