Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Senkiyu mjukuu wa Burito!ππππππ[emoji120][emoji120][emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Senkiyu mjukuu wa Burito!ππππππ[emoji120][emoji120][emoji120]
Abee...?!Senkiyu mjukuu wa Burito![emoji106][emoji106][emoji106][emoji23][emoji23][emoji23]
Amka.Mama mpendwa SSH anatuambia ..."kazi iendelee"...!Yule mama nampenda,yupo makini!ππππAbee...?!
Burito ndio nani kwanzaAmka.Mama mpendwa SSH anatuambia ..."kazi iendelee"...!Yule mama nampenda,yupo makini![emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
Ni baba wa Mwalimu Nyerere.Chifu wa Wazanaki.Burito.Inabidi ukatembee pale Kiabakari ,Nyamuswa hadi Butiama dadaa!Burito ndio nani kwanza
Twende na wewe basiNi baba wa Mwalimu Nyerere.Chifu wa Wazanaki.Burito.Inabidi ukatembee pale Kiabakari ,Nyamuswa hadi Butiama dadaa!
Inshallah!Tutaenda.Subiri inbobo!Twende na wewe basi
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Inshallah!Tutaenda.Subiri inbobo!
Umetabasamu hadi raha!ππππ[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Nimefurahi [emoji4]Umetabasamu hadi raha![emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
Sipendi unune ujue!Nimefurahi [emoji4]
I knowSipendi unune ujue!
That's lovely!ππI know
Kwaiyo ulitaka wakina makongoro nao wawe kama wakina lizimoja mpumbavu mmoja wewe.Tatizo baba yao. Penda sana sifa za kijinga kupeleka pesa na rasilimali zetu kukomboa watu na mataifa uchwara yasiyo nashukran eti akidhani ataacha legacy. Matokeo yake Kaambulia tu jina lake kubakia kwenye vibarabara uchwara vya uchochoroni kwenye hizo nchi. Na huku kwetu katuachia mifisi na mchwa inatafuna nchi kwa fujo bila aibu.
#MboweSiyoGaidi
#MboweForever
[emoji120][emoji120][emoji120]That's lovely![emoji177][emoji177]
Hata ningekuorodhoshea vipengere zaidi mwisho wa siku ungenena zaidi ya hilo uliloandika.Umeona kipengele ni upigaji tuu ....aseee siwezi kuwaa muhunzi mtoto wangu akawa konda
Alikuwa ni lepolepo hilo ni dongo[emoji17][emoji17]
Huyu naye kichwani kuna shida
DuhWanatumia jina la Nyerere kujipatia mlo, katiba ikibadilishwa hakuna mtu atakuwa na time na jina la Nyerere