matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
-
- #61
Dini ndio inaelekeza Mungu aliumba ke na me. Atheism inakubali vyote maana haina source ya kusimamia.Ushoga una ingiaje hapa?
Ushoga ni tabia ya mtu kama ilivyo ulevi,wizi, uongo, umbea n.k
Hakuna uhusiano wowote wa Atheism na ushoga.
Mkisha ishiwa hoja mna ingiza ushoga maana mnapenda sana ku usikia na ku utaja taja, Bila shaka hata wewe ni shoga.
Ndio maana viongozi wenu wa makanisa, Ma askofu na Papa wanadhamiria kuhalalisha ndoa za jinsia moja.
Makanisani na nyumba nyingi za ibada ndio zina ongoza kwa matendo ya ulawiti na ushoga.
Yeah,Hakuna mchawi, wala uchawi
Itategemea upo upande ganiKuomba na kufunga ni kutafuta maelekezo ya Mungu ikiwemo kufanya hayo matendo ya baraka mkuu.
Ukijifanyia tu utagundua moja ya sharti la freemason kwenye low level ni charity, kufanya matendo ya huruma ndio maana wakina hayati Chande walijenga visima vingi na kusaidia watu.
Hakikisha kila unachofanya unamstari wake na unakifanya kutokea kwenye kuomba. Maana kila maelekezo ya Mungu wachawi, wafanga na vijana wa ibrisi wameagizwa kufanya ili wachanganye mashabiki.
Wanaomba bila kujua kanuni za kupata.Mungu ni wa kanuni na Sio kuomba tu.Hi swali najiuliza kila siku ...
Watu waombaji maisha yao ni ya kawaida..
Hata makanisani na kwenye nyumba za ibada kumejaa mashoga na walawiti.Dini ndio inaelekeza Mungu aliumba ke na me. Atheism inakubali vyote maana haina source ya kusimamia.
Manguli propagator wa Atheism ni mashoga. Ukibisha nakuwekea mmoja ambaye anapendwa sana vitabu vyake na JF members na wakuu wa atheism humu.
Ni kina nani hao kabla yenu?...tukaambiwa, tumeteremshiwa funga kama waliokua kabla yetu...
Ndio amri tuliyopewa kama ni kubadilisha ratiba sawa,sipingi mawazo Yako una hako ya kutoa maoniNyie mnafunga au mnabadikisha ratiba ya kula toka kula mchana na mnashinda kula usiku?[emoji3][emoji2][emoji1][emoji16][emoji38][emoji28][emoji1787][emoji23]
Sahihi kabisa ukijitoa kweli kweli Mungu hakuachiKuna mmomlnyoko wa dhati wa imani.
Ila naamini ukijitoa kwa Mungu kwelikweli Waganga na hao wachawi hawakugusi.
Naunga mkono hoja, wapo waislam waaminifu katika imani zao kwenye biashara.
Sisi funga sio ramadhana tu Kuna Sunna za j3 na Alhamisi,funga za masiku meupe,funga za ukiwa na jambo lako unaomba ,funga ya Arafa,Kuna funga ya Nabii Adam as n.k ni vile tu zingine Sunnah ila ya lazima ni hii ya ramadhani Kwa wote ila hakuna akatazwae kufunga mfano kijana kama hajaoa au kuolewa anashauriwa kufunga Ili kujiepusha na matamanio ya kimwili...Sasa hayo ni makubaliano yao kwa misingi ya imani yao, sio sahihi kuwabeza maana ndio imani yao. Labda kuwashawishi ukiacha ile ya mfungo wa Ramadhan wawe na funga zao binafsi kwa ajili ya mambo yanayowahusu wao ili Mungu aingilie kati.
Maana hata wabudha na wachina wanafunga kwa taratibu zao.
Katika hili ni busara kuheshimu tu watu na imani zao
Kaumu zilizopitaNi kina nani hao kabla yenu?
Hayo mambo ni mind set tu, ukiyaweka akili lazima uhisi yanakutikea na kukuzibia mafanikio.Nimekuwa kqnisani nikajifunza jambo la ajabu.
Wafanyabiashara na waajiriwa wakubwa ndio wasiopenda maombi na kufunga. Wengi hata wakati wa mambo siriasi ya kiroho hawana muamko nayo.
Huko kwenye biashara na ofisini hawa jamaa wanatoboa vipi? Maana kwa uzoefu wangu hata ukifungua kigenge chenye mtaji wa 10K TSh utashambuliwa kama ni billionea. Inabidi huwe ngangari ndio utoboe.
Wale wenzetu hutumia uganga, nyie huo ujasiri wa kuwa wakavu kiroho alafu mnatafuta mali bila maombi na kufunga mnatoboaje huko?
Amina sister. Nilikutania tu. Mungu akutie nguvu Dada yangu.Ndio amri tuliyopewa kama ni kubadilisha ratiba sawa,sipingi mawazo Yako una hako ya kutoa maoni
Sisi tunafata tulivoamrishwa na vitabu vyetu funga kabla jua kuchomoza na fubgua jua linapozama
Sisi funga ni ibada na msingi wa nguzo za Uislam
Nilikuwa nawashtua tu jamaa zangu. Sikumaanisha vibaya mkuu.Jimmy gete gete umenichekesha kinomaa😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaaaaa, pole yako mkuresh wa Dongobeshi. Ebu kunywa maji kwanza ushushe pressure. Dini gani ya kuletewa?Ili iwe funga inabidi iweje?
Mbona una lazimisha funga iwe kama vile unavyojua?
Kama sala, ibada, maombi hamfanani na wote mnaita majina hayo hayo kwanini funga yao unaibeza?
Kila mtu anafunga vile alivyofundishwa. We kama unaamini ili iwe funga usile kabisa sawa endelea kufanya hivyo, na wale wengine waache wafanye walivyofundishwa.
Dini zote za kuletewa halafu kuna mmoja anajifanya ana dini sahihi. Pathetic
Mbona unapenda kuisifia mvua dogo? Vipi unaliwa kiboga nini? Mbona umeleta na kuongelea ushoga kwenye issue zisizo husband nao. Unajipa promo dogo. Tutolee harufu ya mavi yako humu. Hatutaki hilo K lako. Pelekea wengine. Ptuuuuuuuuuuuuu.Hakuna makaratasi kipindi yao ilikuwa gold na walikunayo .hakuna mbadala wa kutokuwa na hela za makaratasi kama huna ww ni katuni na shoga
Haya hongereni mkuu. Nilikuwa natania tu kaka.Afadhali hilo kulikp kibugia misosi 24/7.
Mungu anacheki na jitihada zetu kumsaka