matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
- #61
Dini ndio inaelekeza Mungu aliumba ke na me. Atheism inakubali vyote maana haina source ya kusimamia.Ushoga una ingiaje hapa?
Ushoga ni tabia ya mtu kama ilivyo ulevi,wizi, uongo, umbea n.k
Hakuna uhusiano wowote wa Atheism na ushoga.
Mkisha ishiwa hoja mna ingiza ushoga maana mnapenda sana ku usikia na ku utaja taja, Bila shaka hata wewe ni shoga.
Ndio maana viongozi wenu wa makanisa, Ma askofu na Papa wanadhamiria kuhalalisha ndoa za jinsia moja.
Makanisani na nyumba nyingi za ibada ndio zina ongoza kwa matendo ya ulawiti na ushoga.
Manguli propagator wa Atheism ni mashoga. Ukibisha nakuwekea mmoja ambaye anapendwa sana vitabu vyake na JF members na wakuu wa atheism humu.